Chadema mnako elekea ni kuzuri

Chadema mnako elekea ni kuzuri

socratess

Member
Joined
Apr 22, 2012
Posts
37
Reaction score
22
Kwa sasa kweli mabadiliko yanakaribia Tanzania kupitia kwa CHADEMA,nimesema hayo baada ya kufanya simple analysis.kwa propaganda ambazo CHADEMA wemetupiwa mwaka huu ni wazi kwamba ingekuwa enzi zile usingepata hata mtu mmoja kwenye mikutano ya CHADEMA,lakini hali imekuwa ni tofauti pamoja na kuambiwa kwamba ni Magaidi,Wadini,Wakabila na hata TBC kutorusha habari zao,lakini ukweli unabaki kuwa CHADEMA wanapata sana sapoti kwa watanzania kuanzia watoto hadi wazee na watu wanajaa sana kwenye mikutano yao,ndo maana nikadiriki kusema kuwa CHADEMA MNAKO ELEKEA NI KUZURi
 
Sifa kubwa ya mfuasi wa CHADEMA ni;

1. Kuvaa magwanda ya mgambo.

2. Kukunja uso huku unapiga kelele "popoooooooz bawaaaaa", hakuna kulala mpaka kieleweke, tulianza na Mungu na tunamaliza na Mungu.
 
Kuna mtu alikuwa anajaza nyomi kwenye mikutano kama mrema? Kama lipumba? Acha kuota ww. Hakuna mtanzania mjinga wa kuunga mkono magaidi
 
Sifa kubwa ya mfuasi wa CHADEMA ni;

1. Kuvaa magwanda ya mgambo.

2. Kukunja uso huku unapiga kelele "pipoz pawaa", hakuna kulala mpaka kieleweke, tulianza na Mungu na tunamaliza na Mungu.
ndivyo ilivyo au vipi are you missing this rudi hukuua utapokelewa tu
 
Kuna mtu alikuwa anajaza nyomi kwenye mikutano kama mrema? Kama lipumba? Acha kuota ww. Hakuna mtanzania mjinga wa kuunga mkono magaidi

Just simple culculation mrema alikuwa anajaza mikutano wakati huo wananchi walikuwa hawazomei MACCM lakini sasa ni mwendo wa kuzika CCM
 
Sifa kubwa ya mfuasi wa CHADEMA ni;

1. Kuvaa magwanda ya mgambo.

2. Kukunja uso huku unapiga kelele "pipoz pawaa", hakuna kulala mpaka kieleweke, tulianza na Mungu na tunamaliza na Mungu.

mkuu sumu, hebu rekebisha pale, ni popoooooozzzzz bawaaaaa sio pipoz powa... Halafu utaanzaje na mungu wakati unatembea na sumu mfukoni unataka kwenda kulisha watu? Huyo atakuwa mungu wa kuchora chini
 
mkuu sumu, hebu rekebisha pale, ni popoooooozzzzz bawaaaaa sio pipoz powa... Halafu utaanzaje na mungu wakati unatembea na sumu mfukoni unataka kwenda kulisha watu? Huyo atakuwa mungu wa kuchora chini
Hawa watu wanapenda sana vya kuchora.
Walichorewa mlango wakaanza kuugombania wapite
 
Kuna mtu alikuwa anajaza nyomi kwenye mikutano kama mrema? Kama lipumba? Acha kuota ww. Hakuna mtanzania mjinga wa kuunga mkono magaidi



Kuna watu walikuwa wanaishi na mifugo (ng'ombe,mbuzi nk) polini kama wamasai? je leo wapo wapi kama sio tunabanana nao mijini!

Kulinganisha mambo ya nyakati za zama za mawe na sasa nikujiabisha na kutoona mbele.
 
Kuna watu walikuwa wanaishi na mifugo (ng'ombe,mbuzi nk) polini kama wamasai? je leo wapo wapi kama sio tunabanana nao mijini!

Kulinganisha mambo ya nyakati za zama za mawe na sasa nikujiabisha na kutoona mbele.
Kwa hili umesema kweli,
Wamasai sio wapori pori tena. I hope na makamanda iko siku watakuwa sio misukule tena
 
Kuna mtu alikuwa anajaza nyomi kwenye mikutano kama mrema? Kama lipumba? Acha kuota ww. Hakuna mtanzania mjinga wa kuunga mkono magaidi

Mrema na Lipumba walikuwa magaidi?
 
mkuu sumu, hebu rekebisha pale, ni popoooooozzzzz bawaaaaa sio pipoz powa... Halafu utaanzaje na mungu wakati unatembea na sumu mfukoni unataka kwenda kulisha watu? Huyo atakuwa mungu wa kuchora chini


Ukiona darasani wengine wote wanaema o, halafu mmoja anaitamka hiyo o kwamba ni u, unapata mashaka na uwezo wa akili yake.
 
Sifa kubwa ya mfuasi wa CHADEMA ni;

1. Kuvaa magwanda ya mgambo.

2. Kukunja uso huku unapiga kelele "popoooooooz bawaaaaa", hakuna kulala mpaka kieleweke, tulianza na Mungu na tunamaliza na Mungu.

Endelea ukimaliza uanze na magamba tuende sawa
 
mkuu sumu, hebu rekebisha pale, ni popoooooozzzzz bawaaaaa sio pipoz powa... Halafu utaanzaje na mungu wakati unatembea na sumu mfukoni unataka kwenda kulisha watu? Huyo atakuwa mungu wa kuchora chini

Nimesharekebisha mkuu bungeni.

Hawa CHADEMA ni watu wa ajabu sana, wanawakaririsha wafuasi wao maneno bila hata ya kuelewa maana yake. Sasa sijui huyo Mungu anayewatuma wakafanye ugaidi, kuteka wananchi na kuwawekea watu sumu ni Mungu gani!

Mungu wao atakuwa ni wa kuchora chini.
 
Just simple culculation mrema alikuwa anajaza mikutano wakati huo wananchi walikuwa hawazomei MACCM lakini sasa ni mwendo wa kuzika CCM

Mrema kwani hakushinda? Acha hizo wewe
 
Back
Top Bottom