cjilo
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 884
- 447
Inanisikitisha sana kwa CHADEMA kutojipanga, ni kwamba haitoi taarifa zake kwa wakati.
Makamba amewazidi sana. Kumruhusu mgombea kuongea na waandishi wa habari hakuna tija.
Mmekuwa mkiwaachia maswali wanachama wenu mpaka majibu wayapate basi inakuwa too late.
Mbadilike nafasi bado mnayo ya kushinda huu uchaguzi.
Makamba amewazidi sana. Kumruhusu mgombea kuongea na waandishi wa habari hakuna tija.
Mmekuwa mkiwaachia maswali wanachama wenu mpaka majibu wayapate basi inakuwa too late.
Mbadilike nafasi bado mnayo ya kushinda huu uchaguzi.