CHADEMA mmezubaa, hamjajiandaa kushinda

CHADEMA mmezubaa, hamjajiandaa kushinda

cjilo

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2011
Posts
884
Reaction score
447
Inanisikitisha sana kwa CHADEMA kutojipanga, ni kwamba haitoi taarifa zake kwa wakati.

Makamba amewazidi sana. Kumruhusu mgombea kuongea na waandishi wa habari hakuna tija.

Mmekuwa mkiwaachia maswali wanachama wenu mpaka majibu wayapate basi inakuwa too late.

Mbadilike nafasi bado mnayo ya kushinda huu uchaguzi.
 
Kwikwikwikwikwikwiiiiiii! Eti wanayo nafasi ya kushinda uchaguzi huu!
 
Nilisema tuta shut down kituo chao uchwara cha kutoa matokeo feki..jamaa wananyea debe hawatoki mpaka magufuli atangazwe.kuna mtu kamuona yerico nyerere humu?
 
Mungu yu pamoja nasi...
Na kwa taarifa tu ya magamba, ubunge wamechukua sehemu kubwa, ila urais tayali upo UKAWA kwa bara na visiwani.
 
Wazee wa guinea mpo??

Halafu leo lowassa kapiga jezi ya chama tawala!
 
Nimekosa imani kabisa na haya matokeo.Inamana Lowasa alikuja kuua upinzani? Je,kashfa zote za ufisadi ni Lowasa kazififisha kwa kujiunga UKAWA?Ama haya matokeo ni ya kupikwa? Kuna maana gani ya uchaguzi kama matokeo yako katika mrengo mmoja?Kama kweli Watanzania wanaimani na ccm kuna haja gani sasa ya upinzani? Si bora tuvunje upinzani na tuendelee na chama kimoja? Haiwezekani UKAWA mkakosa watu wakufuatilia kura zenu.Haya maswali yananiumiza sana kwakweli.
 
Hiki chama cha cdm kweli hawakujipanga.....na wagombea wao wengi wamenaswa na mtego wa fisadi LOWASA..........chama kishakufa angalieni speed ya ACT....wazalendo.Mbowe aliuza chama.
 
Hujui unaloongea. We unasikia kova kakamata kompyuta na vijana karibia 200 wa chadema halafu unaleta ujinga hapa

Aisee KOVA kawaweza kina MUSSA ALLAN ingekuwa ni vurugu tupu humu kumbe wanalipwa na FISADI LOWASSA
 
Hayo ndo maisha baada ya uchaguzi kuuuza chama ndo mazara yake kusafisha chooo sikazi kazi ni pakwenda kumwaga choooo
 
Nimekosa imani kabisa na haya matokeo.Inamana Lowasa alikuja kuua upinzani? Je,kashfa zote za ufisadi ni Lowasa kazififisha kwa kujiunga UKAWA?Ama haya matokeo ni ya kupikwa? Kuna maana gani ya uchaguzi kama matokeo yako katika mrengo mmoja?Kama kweli Watanzania wanaimani na ccm kuna haja gani sasa ya upinzani? Si bora tuvunje upinzani na tuendelee na chama kimoja? Haiwezekani UKAWA mkakosa watu wakufuatilia kura zenu.Haya maswali yananiumiza sana kwakweli.
kUMBUKA MATOKEO YALIYOTANGAZWA HAYAJAFIKIA HATA KURA 100,000, NA TUNATEGEMEA ZAIDI YA KURA 15,000,000++. nA YALIYOTANGAZWA HAYAJAGUSA SHEHEMU KAMA MBAGALA, MBEYA, IRINGA NK. sUBIRA NI MUHIMU

 
Sina imani na NEC.

Mbowe na timu yake imezubaa sana.
 
mtafuteni Pasco aliekuwa anwadanganya kwa kumsimanga dr slaa kisa mmekubali kumpokea mtu wake bila mashariti
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom