DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,970
Hujui unaloongea. We unasikia kova kakamata kompyuta na vijana karibia 200 wa chadema halafu unaleta ujinga hapa
Wale wakenya na wanaijelia tangu lini wamekuwa makamanda wa Ledi Bligedi?
Hujui unaloongea. We unasikia kova kakamata kompyuta na vijana karibia 200 wa chadema halafu unaleta ujinga hapa
Chadema wanabusara sio wakurupukaji sio kama makamba anauza sura tuu kwenye TV
Mungu yu pamoja nasi...
Na kwa taarifa tu ya magamba, ubunge wamechukua sehemu kubwa, ila urais tayali upo UKAWA kwa bara na visiwani.
Mungu yu pamoja nasi...
Na kwa taarifa tu ya magamba, ubunge wamechukua sehemu kubwa, ila urais tayali upo UKAWA kwa bara na visiwani.
Mbowe katulia zake Dubai nyie mnahangaika. Cally counting his billions!Sina imani na NEC.
Mbowe na timu yake imezubaa sana.
Lowasa hana tofauti na Juma Nature, watu wanajaa kwenye show lakini album hauzi
Mbowe katulia zake Dubai nyie mnahangaika. Cally counting his billions!
Hiki chama cha cdm kweli hawakujipanga.....na wagombea wao wengi wamenaswa na mtego wa fisadi LOWASA..........chama kishakufa angalieni speed ya ACT....wazalendo.Mbowe aliuza chama.
Ngoja matokeo yatangazwe alafu itokee hatujachukua nchi ndo mtaelewa? hakuna mtanzania asiyetaka mabadiliko...
Niende wapi mkuu wakati nishamaliza kukusanya matokeo?
Chagadema Kwisha habari yaoInanisikitisha sana kwa CHADEMA kutojipanga, ni kwamba haitoi taarifa zake kwa wakati.
Makamba amewazidi sana. Kumruhusu mgombea kuongea na waandishi wa habari hakuna tija.
Mmekuwa mkiwaachia maswali wanachama wenu mpaka majibu wayapate basi inakuwa too late.
Mbadilike nafasi bado mnayo ya kushinda huu uchaguzi.
Mungu yu pamoja nasi...
Na kwa taarifa tu ya magamba, ubunge wamechukua sehemu kubwa, ila urais tayali upo UKAWA kwa bara na visiwani.