CHADEMA mmezubaa, hamjajiandaa kushinda

CHADEMA mmezubaa, hamjajiandaa kushinda

CHADEMA walikua hawajajipanga kushinda toka walipomuweka mtu mwenye tuhuma za ufisadi kugombea.
Walikua na chance kubwa sana kama wangemsimamisha mtu kama Slaa, watu wangechagua mabadiliko kweli, ila bwana EL hakuna cha mabadiliko pale, katoka CCM na uchafu wake leo hii aende CDM achukue? Watakumbuka sana maneno ya Dr.Slaa
 
hakuna level playing ground ndugu. hujui team ya CHADEMA wamekamatwa wote kwa kosa la tallying. ..CCM WaPo free kufanya chochote
 
Kuna Wabunge walibebwa kwa hoja za Dr Slaa na walivyokosa adabu wakawa wanaongoza kumtukana mitandaoni ....kama huna unafiki lazima upige kura ya hasira ....
 
Ila UKAWA wana roho ngumu! Bado wanajipa moyo kwamba watashinda! Wamesahau Lubuva bado hajaangusha ngoma ya Mwanza, Simiyu, Geita, shinyanga, Kahama, Kagera, Tabora...
 
Lowasa hana tofauti na Juma Nature, watu wanajaa kwenye show lakini album hauzi
 
Inanisikitisha sana kwa chadema kutojipanga, ni kwamba haitoi taarifa zake kwa wakati. Makamba amewazidi sana. Kumruhusu mgombea kuongea na waandishi wa habari hakuna tija. Mmekuwa mkiwaachia maswali wanachama wenu mpaka majibu wayapate basi inakuwa too late.mbadilike nafasi bado mnayo ya kushinda huu uchaguzi
CCM ni Chama makini na kina viongozi na sio CHAGADEMA. Hivi hicho ni chama cha watu au cha mtu?
 
Wazee wa guinea mpo??

Halafu leo lowassa kapiga jezi ya chama tawala!
Kiongozi, jamaa wa Guinea tuliwaambie, hiyo tabia ya kuetengeza mafurko itawamaliza mapemaa sana hawakusikia, yaani hata Kikwete alisema kuwa mafuriko ya Chagadema ni ya kutengeneza wakafiria ni mchezo. Sasa wapo kimyaaa kama vile hawakuwai ishi. Mweeeee

Jamaa kasema Wapigieni kura wabunge na madiwani wa CCM. Hapo sasa
 
vihelehele na vidomodomo humu ndani vimekata baada ya kutangazwa baadhi ya majimbo eee mungu endelea kumpigania john pombe
 
Humu jf sio home kwa great thinkers lakin kumejaa maccm tu
 
Inanisikitisha sana kwa chadema kutojipanga, ni kwamba haitoi taarifa zake kwa wakati. Makamba amewazidi sana. Kumruhusu mgombea kuongea na waandishi wa habari hakuna tija. Mmekuwa mkiwaachia maswali wanachama wenu mpaka majibu wayapate basi inakuwa too late.mbadilike nafasi bado mnayo ya kushinda huu uchaguzi
Polisi wamevamia tallying center zao zote na kukamata kompyuta zao zote....au we husikilizi habari?
 
Nilisema tuta shut down kituo chao uchwara cha kutoa matokeo feki..jamaa wananyea debe hawatoki mpaka magufuli atangazwe.kuna mtu kamuona yerico nyerere humu?

Niende wapi mkuu wakati nishamaliza kukusanya matokeo?
 
Inanisikitisha sana kwa chadema kutojipanga, ni kwamba haitoi taarifa zake kwa wakati. Makamba amewazidi sana. Kumruhusu mgombea kuongea na waandishi wa habari hakuna tija. Mmekuwa mkiwaachia maswali wanachama wenu mpaka majibu wayapate basi inakuwa too late.mbadilike nafasi bado mnayo ya kushinda huu uchaguzi

Wanayo nafasi gani tena wakati wananchi tushaamua.
 
Back
Top Bottom