CHADEMA mmepwaya kwenye kitengo cha propaganda. Someni alama za nyakati

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,654
Hakuna siasa bila propaganda. CHADEMA mnajifanya kufanya siasa safi hapo ndipo mnafail mchana kweupe.

Ingawa CCM inapiga propaganda za kitoto ila nyie chadema mmelala usingizi kabisa.

Wenzenu sasa hivi wameshika almost kila vyombo vya habari nchini. Yani ni sifa na utukufu kwa mwenyekiti 24/7.

Sasa na nyie someni alama za nyakati. Siasa ni science na sio kulialia kutafta huruma za watanzania huku Mnamtegemea Mange na kigogo tu.

Pigeni kazi haswa. Mwageni vijana wa kutosha kwenye mitandao ya kijamii Kama CCM walivyofanya. Ikiwezekana hata misikitini na makanisani nendeni pigeni kazi acheni kulialia apa.

Na uchaguzi huu nawashauri fanyeni kampain vijijini uko. Mijini huku watu wameshaamka na kujua kumbe CCM ndyo beberu. Uko kijijini Ndyo kutwa nzima wanasikilizaga TBC tu.

Ni ushauri ila sii lazima kuufata.
 
CHADEMA huwa wanapoteza point pale wanapoamua kutumia kila jambo kuwa ni sahihi ndani ya chama,nila ya kukubali kutengeneza makosa ya makusudi ya wakati mwingine ili kujionyesha kuwa wanauwezo wa kusimamia tatizo na kulifuta katika nji ya usawa.

Jambo jingine wanakofeli sana ni kufuata upepo wa kisiasa ni upepo wa kisiasa uwafuate wao.

Ni wakati sasa wa Chadema kujipanga kutengeneza viongozi wa baadae ambao wataandaliwa kuwa viongozi na wakati huo huo watengeneze na wanasiasa ambao watafaa kuwa wanasiasa.

Lazima waanadae watu hawa wa aina mbili kwa sababu.
 
Unawalaumu Cdm iliyodhibitiwa na vyombo vya dola na vya maamuzi siyo ?!. Chombo gani cha habari kiipromote Cdm isikutane na rungu la TCRA ?!.
Wana chanel zao, social media acc wanashindwa nini kufanya promotion? Wafungue na wao Radio na Tv zao. Najua ni vigumu ila Wanatakiwa kuthink out of the box. Sasa tukiwapa nchi wataweza?
 
Vijana wanapanga njia za kutoboa maisha wewe unataka wakapigie porojo mavyama mtandaoni...yawasaidie nini? Mimi ukija kwangu na mawazo fyoko kama haya ntakuweka buti la uso na uzee wako huo ukalazwe amana huko!
 
Vijana wanapanga njia za kutoboa maisha wewe unataka wakapigie porojo mavyama mtandaoni...yawasaidie nini? Mimi ukija kwangu na mawazo fyoko kama haya ntakuweka buti la uso na uzee wako huo ukalazwe amana huko!
Wewe umetoboa maisha?
 
Pamoja na ccm kutumia kila rasilimali ya serikali na zingine lakini wananchi wanazidi kuidharau kila uchao , hakuna kijiji ambacho hakijadhulumiwa na awamu hii , kama si ahadi za uongo basi kwenye mazao au labda kwenye majanga kama mafuriko au Tetemeko .
 
BTW: Hivi Idris sultan alikuwa anacheka koti lilivyompwaya mtu au Tanzania ilivyowapwaya watu?
😅 👊✌️✌️✌️💥
 
Wana chanel zao, social media acc wanashindwa nini kufanya promotion? Wafungue na wao Radio na Tv zao. Najua ni vigumu ila Wanatakiwa kuthink out of the box. Sasa tukiwapa nchi wataweza?
Ukiwapa nchi we na nani ?! Cdm wanao mtaji mkubwa wa watu wa kuwapa nchi. Sema vyombo vya maamuzi. Na Ccm wanajua hilo . Ni mara ngapi Ccm imeshindwa uchaguzi na hasa Zanzibari , Je wamewahi kukabidhi madaraka ?! Hujui unalolisema
 
Hakuna siasa bila propaganda. CHADEMA mnajifanya kufanya siasa safi hapo ndipo mnafail mchana kweupe.

Ingawa CCM inapiga propaganda za kitoto ila nyie chadema mmelala usingizi kabisa.

Wenzenu sasa hivi wameshika almost kila vyombo vya habari nchini. Yani ni sifa na utukufu kwa mwenyekiti 24/7.

Sasa na nyie someni alama za nyakati. Siasa ni science na sio kulialia kutafta huruma za watanzania huku Mnamtegemea Mange na kigogo tu.

Pigeni kazi haswa. Mwageni vijana wa kutosha kwenye mitandao ya kijamii Kama CCM walivyofanya. Ikiwezekana hata misikitini na makanisani nendeni pigeni kazi acheni kulialia apa.

Na uchaguzi huu nawashauri fanyeni kampain vijijini uko. Mijini huku watu wameshaamka na kujua kumbe CCM ndyo beberu. Uko kijijini Ndyo kutwa nzima wanasikilizaga TBC tu.

Ni ushauri ila sii lazima kuufata.
Siku ya kufa nyani miti yote huteleza.
 
CHADEMA huwa wanapoteza point pale wanapoamua kutumia kila jambo kuwa ni sahihi ndani ya chama,nila ya kukubali kutengeneza makosa ya makusudi ya wakati mwingine ili kujionyesha kuwa wanauwezo wa kusimamia tatizo na kulifuta katika nji ya usawa.

Jambo jingine wanakofeli sana ni kufuata upepo wa kisiasa ni upepo wa kisiasa uwafuate wao.

Ni wakati sasa wa Chadema kujipanga kutengeneza viongozi wa baadae ambao wataandaliwa kuwa viongozi na wakati huo huo watengeneze na wanasiasa ambao watafaa kuwa wanasiasa.

Lazima waanadae watu hawa wa aina mbili kwa sababu.
Hili suala la kuandaa viongozi vijana sijui huwa mnaliweka kwenye mtazamo upi, naona wengi wenu mnapenda kuliimba sana; hawa kina Mdee, Bulaya, Heche, Sugu, na wengine hivi ni wazee?

Kuwa na chuo cha kutengeneza viongozi wakati mwingine hakuleti tija inayokusudiwa, sio mara zote vyuo huleta matunda yaliyokusudiwa, unaweza kuwapeleka chuoni but wakakosa misimamo inayotakiwa, kutetea haki siku zote kunatoka ndani ya mtu, unaweza kumpeleka chuoni but mawazo yake yakawa yamejiegesha kwenye kutumia siasa kama mtaji, hasa ukizingatia malipo wanayopata huko siasani (bungeni).

Sasa hapo utakuwa unatwanga maji kwenye kinu!.wapo wanasiasa vijana wazuri tu na hawajasomea siasa popote, sisemi wasiende but kwenda pia sio final solution, labda kwenda chuo kujifunza hizo propaganda ambazo ni sehemu ya siasa, japo kimsingi haziwezi kumletea mwananchi wa kawaida maendeleo, kwangu propaganda ni uongo unaotengenezwa uonekane ukweli, na propaganda siku zote ni kwaajili ya kumnufaisha mwanasiasa, sio mwananchi wa kawaida.

Hapo unaposema Chadema wanafeli kufuata upepo wa kisiasa, unataka upepo wa kisiasa uwafuate wao, sijui kama umeelewa ulichoandika; kutaka upepo wa kisiasa uwafuate wao maana yake yale wanayoyapigia kelele ndio wayazungumzie tu, likitokea la tofauti waliache? au unataka CDM wawaache wananchi bila kuwaambia maovu yanayotendeka halafu wasubiri support ya wananchi automatically?

Upepo wa kisiasa ni matukio, na matukio huwezi kuya control huja automatically; na likija lazima useme huwezi kukaa kimya, na zaidi kwenye siasa huwezi kutegemea tukio moja tu uwe unalipigia kelele kila siku, nyakati huzusha matukio mapya na ili uonekane mpya siku zote lazima ubadilike kuendana na nyakati.
 
Unawalaumu Cdm iliyodhibitiwa na vyombo vya dola na vya maamuzi siyo ?!. Chombo gani cha habari kiipromote Cdm isikutane na rungu la TCRA ?!.
Kwani Ccm inakuwa promoted? Au mazuri inayofanya ndio watu wanaisifia? Humu ndani kuna polisi? Itv kuna polisi? Clouds kuna polisi?
 
Pamoja na ccm kutumia kila rasilimali ya serikali na zingine lakini wananchi wanazidi kuidharau kila uchao , hakuna kijiji ambacho hakijadhulumiwa na awamu hii , kama si ahadi za uongo basi kwenye mazao au labda kwenye majanga kama mafuriko au Tetemeko .
Hiyo ndio itakua sera yenu?
 
Hakuna siasa bila propaganda. CHADEMA mnajifanya kufanya siasa safi hapo ndipo mnafail mchana kweupe.

Ingawa CCM inapiga propaganda za kitoto ila nyie chadema mmelala usingizi kabisa.

Wenzenu sasa hivi wameshika almost kila vyombo vya habari nchini. Yani ni sifa na utukufu kwa mwenyekiti 24/7.

Sasa na nyie someni alama za nyakati. Siasa ni science na sio kulialia kutafta huruma za watanzania huku Mnamtegemea Mange na kigogo tu.

Pigeni kazi haswa. Mwageni vijana wa kutosha kwenye mitandao ya kijamii Kama CCM walivyofanya. Ikiwezekana hata misikitini na makanisani nendeni pigeni kazi acheni kulialia apa.

Na uchaguzi huu nawashauri fanyeni kampain vijijini uko. Mijini huku watu wameshaamka na kujua kumbe CCM ndyo beberu. Uko kijijini Ndyo kutwa nzima wanasikilizaga TBC tu.

Ni ushauri ila sii lazima kuufata.
Huu ni ujumbe muhimu sana! Hawafanyi lolote la propaganda! Mbowe weka vijana kla mahali, wape semina waseme nini na wakati gani na wapi? Mwanahabari Huru Twitter siwaoni sna ukiacha akina Mwaipaya and some few others! Piga propaganda , eleza maovu ya Jiwe etc! JF ni wachache wanakuja huku wapiga kura. Ingelikuwa kura ni za JF/Twitter, kazi ingelikuwa imekamilika. Kigogo2014 anafanya kazi nzuri kwa ajili yenu, muungeni mkono!
 
Huu ni ujumbe muhimu sana! Hawafanyi lolote la propaganda! Mbowe weka vijana kla mahali, wape semina waseme nini na wakati gani na wapi? Mwanahabari Huru Twitter siwaoni sna ukiacha akina Mwaipaya and some few others! Piga propaganda , eleza maovu ya Jiwe etc! JF ni wachache wanakuja huku wapiga kura. Ingelikuwa kura ni za JF/Twitter, kazi ingelikuwa imekamilika. Kigogo2014 anafanya kazi nzuri kwa ajili yenu, muungeni mkono!
Kigogo2014 anafanya kazi nzuri?
 
Back
Top Bottom