CHADEMA mmeanza lini kuwaonea huruma CCM?

CHADEMA mmeanza lini kuwaonea huruma CCM?

CHADEMA wanapinga kura ya wazi wanatoa hoja kuwa CCM wanataka kuwadhibiti watakaopinga serikali 3 na wanasema CCM wakiwajua hao watawafukuzwa uanachama.

Swali langu linakuwa: CCM wakiwafukuza wanachama si itakuwa faida kwao?CHADEMA wana huruma na CCM KWELI?

Hatuwahurumii ila tunataka wapewe muda wa kufanya maamuzi kwa uhuru..
 
Inawezekana siyo kosa lako ila huelewi au unaelewa wanachomaanisha lakini unaamua kupotosha kwa malengo yaleyale.
Wewe unafikiri suala la katiba ni jepesi kiasi hicho?ungependa cdm wafurahie ccm kufukuza wabunge wao hata kama:biggrin1: ni kwa gharama ya kuvuruga mchakato mzima wa katiba?kwani ccm ikifukuza wabunge,ruzuku ziendazo kwenye vyama kutokana na idadi ya wabunge wa chama husika zitahamia cdm?tatizo mnaongozwa na dhamira ovu,no wonder sendeka jana ametoka nje akilia utafikiri kupata katiba nzuri ni sawa na yeye kufiwa na baba,mama,mke na watoto wake kwa mpigo.mungu atakunyoosheni this time.poor magamba,kila mbinu chafu inabuma.
 
Serikali tatu zitashinda kwa kupigwa kura ya siri;---- maccm ambayo yana akili ila yana uoga.Ili kuwasaidia wasidhuriwe na ccm chumbani,tunataka wapige kura ya siri
 
Unamaanisha nini hapo??
mkuu mie sidonoi kuangalia maneno ila mkono umezoea kuchakata kiibodi, hivyo kuona maneno mawili yaliyokosewa ndani ya sentenso na ukashindwa kuelewa mwandishi alimaanisha nini unakuwa pia na moja kasoro!
 
Back
Top Bottom