Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,038
- 13,467
CHADEMA wanapinga kura ya wazi wanatoa hoja kuwa CCM wanataka kuwadhibiti watakaopinga serikali 3 na wanasema CCM wakiwajua hao watawafukuzwa uanachama.
Swali langu linakuwa: CCM wakiwafukuza wanachama si itakuwa faida kwao?CHADEMA wana huruma na CCM KWELI?
Swali langu linakuwa: CCM wakiwafukuza wanachama si itakuwa faida kwao?CHADEMA wana huruma na CCM KWELI?