Tutaikataa hiyo katiba kwenye kura ya maoni !
Na nina uhakika wabunge wengi especially wale wanaotetea maslahi ya wananchi kwa uwazi ambao ni CDM, nao wataungana na wananchi kuipiga chini hiyo katiba ! Tofauti ni kwamba kama kura itakuwa ya siri, ninaamini mchakato wa bunge maalumu utakamilika ila katiba itakwama kwenye kura ya maoni ! Ila kama CCM watalazimisha kura ya wazi ili wapitishe serikali mbili ninaamini hata mchakato katika bunge la katiba hautakamilika. Utasambaratika kabla ya kufika kwenye kura ya maoni !
Na nina uhakika wabunge wengi especially wale wanaotetea maslahi ya wananchi kwa uwazi ambao ni CDM, nao wataungana na wananchi kuipiga chini hiyo katiba ! Tofauti ni kwamba kama kura itakuwa ya siri, ninaamini mchakato wa bunge maalumu utakamilika ila katiba itakwama kwenye kura ya maoni ! Ila kama CCM watalazimisha kura ya wazi ili wapitishe serikali mbili ninaamini hata mchakato katika bunge la katiba hautakamilika. Utasambaratika kabla ya kufika kwenye kura ya maoni !
vipi kama itapita kura ya siri na cdm watashindwa na serikali zao 3 wanazopigania?