CHADEMA-Mikutano itakuwa barabara kuu!

CHADEMA-Mikutano itakuwa barabara kuu!

Kwa hiyo unataka kusema Chadema ni mbwa?

Ni jina lipi chafu hamjatuita! Hebu ona mlivyo legelege!


1002316_555828297812696_2004089766_n.jpg
 
kwani nyie chadema pamoja na mihela yote mnayopata kwa maliberali na mnazowakamua wananchi, mnashindwa kuzitumia kununulia viwanja ambavyo vitatumika kwa ajili ya mikutano yenu? huo ni ushauri wa bure. tengeni fedha kwa kila wilaya ili maeneo yenu hayo ndo myatumie kwenye shughuli za kichama badala ya kulialia pale wenye maeneowanapowakatalia. ni aibu kuona chama kinachojinadi kuwa kinataka kuchukua dola 2015 mpaka sasa hawamiliki hata futi moja ya eneo. makao makuu ya chama wamepanga, ofisi za mikoa ni za kupanga, halikadhalika huko wilayani. kwenye kata, ofisi ni nyumba za wanachama. wakihama chama na ofisi hakuna. mambo hayo yapo hadi huko vijijini.

Mwana izaya mkubwa wewe... Tumia akili usitumi tigo. Mwenye ardhi ni nani? CCM inaongoza wajinga kama wewe. Huna hata haya kuongea vitu kama hivi. Ni bora uwe kuku wa mayai wananchi wako wapate virutubisho mwilini na wainue uchumi wao kuliko kuwa na mtu kama wewe. Tumia akili badala jicho. Humu sio kwa maliberali wenzako. Na unyamaze kimya kabisa...
 
Naunga mkono hoja, ila ingepgshwa harambee tupo tayar kununua sehem yetu, hatuna shda cc
 
Naona unakuja kinyumenyume sijui unataka nini! Is just three days tangu nitoke kwenye kibano cha ban manake mccm alikuja kiduwanzi nikampa za macho,

Anyway kama ni kufanyia mkutano ndani ya nyumba tutafanyia Ikulu ya magogoni ile ni ofisi ya wote
siyo pango la wanyang'anyi kama lilivyo kwa sasa.


Na kuna wanyang'anyi wengine wako speed kweli kuingia magogoni..
 
Tukisema tukutane uwanja wa mpira ambao tuliujenga sote, maccm wameukwapua,
au tuende Ngarenaro tayari pamesiribwa, labda Soweto japo jina lake lina historia ya maangamizi tangu South Africa, napo AICC wamepewa red alarm kwamba wakikubaliana na CHADEMA kufanya mkutano pale basi wao na CDM lao ni moja. Makanisani na misikitini haifai...
Na siyo jiji la Arusha pekee, ni pote Tanganyika.

Sasa mali ya umma na ardhi isiyokuwa na mwenyewe ni ipi?

Kote ni taabu mkuu, hapa Lushoto ilituchukua takribani wiki nzima kupata kibali cha kufanya mkutano wa hadhara, hata tulipopata tulipangiwa umbali mkubwa kutoka mjini. Hata hivyo lengo lilifikiwa kwani mwenyekiti wa baraza la vijana taifa J Heche alisikilizwa na idadi ya kutosha ya watu.
 
4 - bila tulizowapiga hapa arusha zimewafanya ccm mmekuwa na jazba sana.



Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Wakati Urassa anagongwa na yule Mlevi wa ile gari ulikuwa wapi?
Nasikia ulikuwa bwiii mpaka ukasaula, Mtakufa kwa kunyweshwa viroba, Jiulize kwanini hakukanyagwa Lema.
 
Kambi popote sasa maana tumechoka, uhuru wa kutembea na kukutanika unahujumiwa na waroho wanaopigana kubaki madarakani.Afrika kusini ilikuwa ubaguzi wa rangi, leo Tanzania kisa ubaguzi wa vyama watu wanahujumiwa wanapotaka kukutana!
 
Chama Hicho cha WACHAGA kina nguvu kubwa ARUSHA na MOSHI na maeneo yenye MAKANISA
Mengi.
mmesema sana cha wachaga, lakini ukweli mnajua kuwa mbeya, iringa, Dar, Mwanza, Shinyanga huko kote si kwa wachaga lakini chama kinazidi kuchanua.
 
Naona unakuja kinyumenyume sijui unataka nini! Is just three days tangu nitoke kwenye kibano cha ban manake mccm alikuja kiduwanzi nikampa za macho,

Anyway kama ni kufanyia mkutano ndani ya nyumba tutafanyia Ikulu ya magogoni ile ni ofisi ya wote
siyo pango la wanyang'anyi kama lilivyo kwa sasa.


Kwi! Kwi! Kwi! Kwi! Kula LIKE nene sana .
 
kwani nyie chadema pamoja na mihela yote mnayopata kwa maliberali na mnazowakamua wananchi, mnashindwa kuzitumia kununulia viwanja ambavyo vitatumika kwa ajili ya mikutano yenu? huo ni ushauri wa bure. tengeni fedha kwa kila wilaya ili maeneo yenu hayo ndo myatumie kwenye shughuli za kichama badala ya kulialia pale wenye maeneowanapowakatalia. ni aibu kuona chama kinachojinadi kuwa kinataka kuchukua dola 2015 mpaka sasa hawamiliki hata futi moja ya eneo. makao makuu ya chama wamepanga, ofisi za mikoa ni za kupanga, halikadhalika huko wilayani. kwenye kata, ofisi ni nyumba za wanachama. wakihama chama na ofisi hakuna. mambo hayo yapo hadi huko vijijini.

Hivyo viwanja na ofisi za CCM vilijengwa na wananchi wote kama Taifa nadhani walitakiwa percent flani wawe wanawaachia wenzao, kama ukumbi wa Chimwaga ambao kwa sasa ndio U-Dom ungekamilika kabla ya 1992 mfumo wa vyama vingi ulipoingia nao pia ungekuwa ni wa CCM, mwanzo mgumu kaka hata kina Nyerere walianza kuhutubia kwa kupanda kwenye kiti au boneti ya gari mwisho wa siku watanganyika wote wakashiriki kwenye kujenga hivyo viwanja
 
hahahaaaaaa! eti magogoni? pale hapafanyiwi mambo ya kihuni. utaitishaje mkutano magogoni halafu wanaohutubia ni wazinifu na wahuni? halafu pale hawaingii hovyohovyo isipokuwa kwa kibali maalum kama ilivyotokea wakati viongozi wa chadema walipoenda kutoa mawazo yao juu ya rasimu ya katiba mpya
Mwanaume aliyekamilika namaanisha rijali au shababi hawezi kushadadia hayo maneno ya kina mama ndo wanalamika kwamba sisi wanaume wazinifu au wahuni lkn kama wewe ni mwenzetu aibu! kwa kuwa hata tulimweka pale nae ni hivo hivo tu! ndo tulivo wanaume
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom