CHADEMA-Mikutano itakuwa barabara kuu!

CHADEMA-Mikutano itakuwa barabara kuu!

hata mkifanyia bafuni lakini cha moto mtakiona tu hii nchi haitaki wahuni kwa sasa.
nakupuuza maana ndo njia salama ya kumuelimisha m......................."
 
kunaeneo kubwa sana pale au pale boma

mkuu, hivi hujajua tu? hawa chadema hawataki kabisa kufanyia mikutano watakayolipua mabomu kwenye ardhi ya wachaga. utasikia mara Arusha, Mbeya, Morogoro, Iringa au Dar na pengine Mwanza. huwezi kusikia kwao Kilimanjaro wakifanya ujinga huo
 
Your're so stupid you threw a rock at the ground and missed.
Njooni kwa hoja zenye mashiko na siyo kuongea hovyo kama kawa yenu maccm,
tukiongelea mambo ya uzinifu maccm mmeoza anzia kwa baba.

Kwenye vitabu vya dini vinakataza kumzulia mtu jambo na kosa la uzinifu sharti washuhudie watu wasiopungua wanne. sasa tuulizane, Dr Slaa si Mzinifu? mbona kazalia watoto kibao wa zinaa. Je Freeman Mbowe si mzinifu, mbona kasababisha mimba zisizotarajiwa
 
Nakuunga mkono ila hapo
pa makanisa sipo na wewe. kuna makanisa hawakubaliani kabisa na uzinifu
wa Dr Slaa na mwenyekiti wake.

Ila kuna misikiti inayokubaliana na M/kiti wenu ya hadi kuwa na watoto hadi wengine aibu kuwa tambulisha watoto 7 umli mmoja?
 
kwani nyie chadema pamoja na mihela yote mnayopata kwa maliberali na mnazowakamua wananchi, mnashindwa kuzitumia kununulia viwanja ambavyo vitatumika kwa ajili ya mikutano yenu? huo ni ushauri wa bure. tengeni fedha kwa kila wilaya ili maeneo yenu hayo ndo myatumie kwenye shughuli za kichama badala ya kulialia pale wenye maeneowanapowakatalia. ni aibu kuona chama kinachojinadi kuwa kinataka kuchukua dola 2015 mpaka sasa hawamiliki hata futi moja ya eneo. makao makuu ya chama wamepanga, ofisi za mikoa ni za kupanga, halikadhalika huko wilayani. kwenye kata, ofisi ni nyumba za wanachama. wakihama chama na ofisi hakuna. mambo hayo yapo hadi huko vijijini.


Mliberali ni wewe na Cuf yako,na kwa nini tununue viwanja vya kufanyia mkutano wakati viwanja vya umma vipo?.CCM mmevitaifisha na kuvifanya mali yenu ,tutavirudisha vyote mikononi mwa raia we subiri tu.
 
Nakuunga mkono ila hapo pa makanisa sipo na wewe. kuna makanisa hawakubaliani kabisa na uzinifu wa Dr Slaa na mwenyekiti wake.

Mkuu kwani umekalia nini?,mbona unaweweseka hivyo?
 
mjomba umekosa cha kusema siku zote mnafanyia wapi ? au vurugu ndiyo uhai wa chama?


Hebu rudia kuisoma mada iliyo jamvini maana unavyoonekana hujaelewa tunachokijadili,umebakia tu na ushabiki usiojenga.
 
Zote hizi ni siasa za maji taka zinanonyesha huwa mnafikiria kwa makalio..Nuku from hon.Dr didas ma------ meya dar..najua pia ni hasira za Arusha zote.imekula kwenu ,mpe mwigulu matokeo.Nami namalzia hapa masomo phd hapa u.s.a nikija huko natua jimboni kwenu..
peoplesssssssssssssssssssssssssssss,,............................powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrsssssssssssssssssss

A man's ethical behavior should be based effectually on sympathy, education, and social ties; no religious basis is necessary. Man would indeed be in a poor way if he had to be restrained by fear of punishment and hope of reward after death." - Albert Einstein

 
Kwenye vitabu vya dini vinakataza kumzulia mtu jambo na kosa la uzinifu sharti washuhudie watu wasiopungua wanne. sasa tuulizane, Dr Slaa si Mzinifu? mbona kazalia watoto kibao wa zinaa. Je Freeman Mbowe si mzinifu, mbona kasababisha mimba zisizotarajiwa

Wote waliozini hawako hai walishakufa siku nyingi hata wewe hujawahi kuzini ndo maana unaishi, sisi tuongelee topic iliyoko ubaoni, usipoteze lengo.
 
Tukisema tukutane uwanja wa mpira ambao tuliujenga sote, maccm wameukwapua,
au tuende Ngarenaro tayari pamesiribwa, labda Soweto japo jina lake lina historia ya maangamizi tangu South Africa, napo AICC wamepewa red alarm kwamba wakikubaliana na CHADEMA kufanya mkutano pale basi wao na CDM lao ni moja. Makanisani na misikitini haifai...
Na siyo jiji la Arusha pekee, ni pote Tanganyika.

Sasa mali ya umma na ardhi isiyokuwa na mwenyewe ni ipi?

Ni barabara kuu/LAMI YA MAGARI
Tutafanyia mikutano yetu barabara kuu, hapa polisi itabidi mtoe maelekezo kwa madereva kubadili njia,
hapo ndo tutajua kuwa nani kaimiliki hiyo barabara manake kila tunapokwenda pamezibwa...
Ndo hivo.
hila yeyote inayofanywa na ccm dhidi ya chadema inawapaisha chadema na kula kwa ccm, kwa mfano wamewashawishi AICC kuwakatalia chadema kufanya mikutano yao katika viwanja vya soweto na wakabandika vibao kwamba haruhusiwi mtu yeyote au kikundi chochote kufanya kitu chochote hapo bila kibali cha utawala wa AICC,sasa hapo kuna timu za mpira na michezo mingine huwa zinafanya mazoezi hapo. sasa wate hao wanawachukia ccm kwa sababu hata wao wamezuiwa kwa hila za ccm


hila yeyote inayofanywa na ccm dhidi ya chadema inawapaisha chadema na kula kwa ccm, kwa mfano wamewashawishi AICC kuwakatalia chadema kufanya mikutano yao katika viwanja vya soweto na wakabandika vibao kwamba haruhusiwi mtu yeyote au kikundi chochote kufanya kitu chochote hapo bila kibali cha utawala wa AICC,sasa hapo kuna timu za mpira na michezo mingine huwa zinafanya mazoezi hapo. sasa wate hao wanawachukia ccm kwa sababu hata wao wamezuiwa kwa hila za ccm

 
Tukisema tukutane uwanja wa mpira ambao tuliujenga sote, maccm wameukwapua,
au tuende Ngarenaro tayari pamesiribwa, labda Soweto japo jina lake lina historia ya maangamizi tangu South Africa, napo AICC wamepewa red alarm kwamba wakikubaliana na CHADEMA kufanya mkutano pale basi wao na CDM lao ni moja. Makanisani na misikitini haifai...
Na siyo jiji la Arusha pekee, ni pote Tanganyika.

Sasa mali ya umma na ardhi isiyokuwa na mwenyewe ni ipi?

Ni barabara kuu/LAMI YA MAGARI
Tutafanyia mikutano yetu barabara kuu, hapa polisi itabidi mtoe maelekezo kwa madereva kubadili njia,
hapo ndo tutajua kuwa nani kaimiliki hiyo barabara manake kila tunapokwenda pamezibwa...
Ndo hivo.



Mikutano yenu haina tija ipigwe marufuku kabisa
 
Ila kuna misikiti inayokubaliana na M/kiti wenu ya hadi kuwa na watoto hadi wengine aibu kuwa tambulisha watoto 7 umli mmoja?

Hujui kitu. Dr slaa ni Mzinifu au siyo? mbona mnakwepa swali hili ili tujue uhalali wa yeye kwenda magogoni. mwalimu nyerere alituasa kuwa pale Ikulu ni mahali patakatifu. hawaendi watu hovyohovyo tu
 
mjomba umekosa cha kusema siku zote mnafanyia wapi ? au vurugu ndiyo uhai wa chama?

Mara zote wanaofanya vurugu ni polisi. Bosi wao kawaambia wafanye vurugu ili kuleta amani
 
Huu ndio Utawala bora na Democrasia ilivyo Tanzania. Kazi tunayo watz.
 
hila yeyote inayofanywa na ccm dhidi ya chadema inawapaisha chadema na kula kwa ccm, kwa mfano wamewashawishi AICC kuwakatalia chadema kufanya mikutano yao katika viwanja vya soweto na wakabandika vibao kwamba haruhusiwi mtu yeyote au kikundi chochote kufanya kitu chochote hapo bila kibali cha utawala wa AICC,sasa hapo kuna timu za mpira na michezo mingine huwa zinafanya mazoezi hapo. sasa wate hao wanawachukia ccm kwa sababu hata wao wamezuiwa kwa hila za ccm


AICC wamechukua uamuzi wa busara. ni baada ya CHADEMA kupanajisi kwa kuwaua ndugu zao na kusababisha umwagikaji mkubwa wa damu za watu wasio na hatia. naunga mkono hatua zilizochukuliwa na AICC
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom