Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Chadema tunawshukuru wa kupigia kelele ufisadi lakini una kitu kienishangaza .
Lakini kuna issue hii ya Nishati imetokea mmekaa kimya au kwa kuwa imeazishwa na magamba basi mnaona si haki na wajibu wenu kuindeleza.
Ukimya wenu unaweza kuwafanya watu wahisi kuwa wabunge wenu na wengine wa upinzani hasa ndio target ya kupewa hizi pesa zinazoitwa za "mawasiliano"( Ni rushwa).
Kama zipo na zimepokelwa za wizara nyingine bora mjisafishe mapema kabla upepo haujabadilika. .....
Mpaka sasa Huyo jairo a watendaji wengine waliogaziwa kutuma hizo pesa b ado hata haja hojahojiwa na kutoa maelezo ya awali polisi wala Takukuru na nyie mko kimya. kwa nini.?? Toeni press realease ya kueleza msimamo wenu.
Linapokuja suala la Ufisadi hata kama limeibuliwa na mwanamagamba likamateni .Hakuna hakimiliki kwenye vita ya UFISADI la sivyo...................
Nawasilisha
Lakini kuna issue hii ya Nishati imetokea mmekaa kimya au kwa kuwa imeazishwa na magamba basi mnaona si haki na wajibu wenu kuindeleza.
Ukimya wenu unaweza kuwafanya watu wahisi kuwa wabunge wenu na wengine wa upinzani hasa ndio target ya kupewa hizi pesa zinazoitwa za "mawasiliano"( Ni rushwa).
Kama zipo na zimepokelwa za wizara nyingine bora mjisafishe mapema kabla upepo haujabadilika. .....
Mpaka sasa Huyo jairo a watendaji wengine waliogaziwa kutuma hizo pesa b ado hata haja hojahojiwa na kutoa maelezo ya awali polisi wala Takukuru na nyie mko kimya. kwa nini.?? Toeni press realease ya kueleza msimamo wenu.
Linapokuja suala la Ufisadi hata kama limeibuliwa na mwanamagamba likamateni .Hakuna hakimiliki kwenye vita ya UFISADI la sivyo...................
Nawasilisha