CHADEMA mbona kimya? Mnatugusha

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Chadema tunawshukuru wa kupigia kelele ufisadi lakini una kitu kienishangaza .

Lakini kuna issue hii ya Nishati imetokea mmekaa kimya au kwa kuwa imeazishwa na magamba basi mnaona si haki na wajibu wenu kuindeleza.

Ukimya wenu unaweza kuwafanya watu wahisi kuwa wabunge wenu na wengine wa upinzani hasa ndio target ya kupewa hizi pesa zinazoitwa za "mawasiliano"( Ni rushwa).

Kama zipo na zimepokelwa za wizara nyingine bora mjisafishe mapema kabla upepo haujabadilika. .....

Mpaka sasa Huyo jairo a watendaji wengine waliogaziwa kutuma hizo pesa b ado hata haja hojahojiwa na kutoa maelezo ya awali polisi wala Takukuru na nyie mko kimya. kwa nini.?? Toeni press realease ya kueleza msimamo wenu.

Linapokuja suala la Ufisadi hata kama limeibuliwa na mwanamagamba likamateni .Hakuna hakimiliki kwenye vita ya UFISADI la sivyo...................



Nawasilisha
 
Tunatofautiana kufikiri Katibu yule amewekwa na wanamagamba na Mwenyekiti wa wanamagamba,nadhani c mfutiliaji mzuri wa kipindi cha bunge kwani ni mbunge yupi wa CHADEMA aliyesimama kuunga mkono bajeti? kwani nilazima kila kitu kisemwe na wanachadema? je kukataliwa kwa bajeti ni mfanikio kwa CCM au aibu kwa Wana CCM? je inteligensia ya wanamagamba ilikuwa wpi mda wote huu mpaka taifa linateswa na giza. kwa taarifa ni huyo katibu na Mwenyekiti wa Wanamagamba aliye shirikikiana katika uchimbaji madini kiholela ya Uranium kule Namtumbo.HIVYO FANYA UTAFITI,FUATILIA,NA UELEWE NA FIKIRI KWA FIKRA SAHIHI kwa hapa umedhalilisha uwezo wako wa kufikiri
 
Naona CDM wanatumia falsafa ya "ndugu wakigombana" Ni vyema CDM waktueleza wao watanfanya ama wangefanya nini.Si vibaya kama wako kimya kwasasa coz ni vyema tu "kimkakati"
However eventually ni muhimu watupe ideas kwamba wao wangefanyaje ama watafanyaje ikiwa watapewa nchi.
 
Chadema tunawshukuru wa kupigia kelele ufisadi lakini una kitu kienishangaza .

Lakini kuna issue hii ya Nishati imetokea mmekaa kimya au kwa kuwa imezishwa na magama basi mnaona si hai na wajibu wenu kuindeleza.

Ukimya wenu unaweza kuwafanya watu wahisi kuwa waunge wenu na wengine wa upinzani hasa ndio target ya kupewa hizi pesa zinazoitwa za "mawasiliano"( Ni rushwa).

Kama zipo na zimepokelwa za wizara nyingine bora mjisafishe mapema kabla upepo haujabadilika. .....

Mpaka sasa Huyo jairo a watendaji wengina waliogaziwa kutuma hizo pesa ado hata haja hojiwa nakutoe amelzoya awali polisi wala Takukuru na. Nyie mko kimya. kwa nini.?? Teni pess realease ya kueleza msimamo wenu.

Linapokuja suala la Ufisadi hata kama limeibuliwa na mwanamagamba likamateni Hakuna hakimiliki kwenye vita ya UFISADI la sivyo...................



Nawasilisha
kaka darasa la pili nini? ms?sokomoko?? kwa stahili hii hata hizo satanic verses zenu itakuwa kazi kuziandika! pole sana!
 
kaka darasa la pili nini? ms?sokomoko?? kwa stahili hii hata hizo satanic verses zenu itakuwa kazi kuziandika! pole sana!
Nadhani anahitaji kufanya editing.Hii hapo chini....
Mtazamaji said:
Chadema tunawashukuru kwa kupigia kelele ufisadi lakini kuna kitu kimenishangaza .

Kuna issue hii ya Nishati imetokea mmekaa kimya au kwa kuwa imeanzishwa na magama basi mnaona si hai na si wajibu wenu kuiendeleza?

Ukimya wenu unaweza kuwafanya watu wahisi kuwa wingi wenu na wengine wa upinzani hasa ndio target ya kupewa hizi pesa zinazoitwa za "mawasiliano"( Ni rushwa).

Kama zipo na zimepokelewa za wizara nyingine bora mjisafishe mapema kabla upepo haujabadilika. .....

Mpaka sasa Huyo jairo na watendaji wengine walioagizwa kutuma hizo pesa bado hata haija hojiwa nakutolewa maelezo ya awali polisi, wala Takukuru. Mbona Nyie mko kimya?kwa nini.?? Toeni pess release ya kueleza msimamo wenu.

Linapokuja suala la Ufisadi hata kama limeibuliwa na mwanamagamba likamateni Hakuna hakimiliki kwenye vita ya UFISADI la sivyo...................
Better now?
 
Nadhani anahitaji kufanya editing.Hii hapo chini....
quote_icon.png
By Mtazamaji
Chadema tunawashukuru kwa kupigia kelele ufisadi lakini kuna kitu kimenishangaza .

Lakini kuna issue hii ya Nishati imetokea mmekaa kimya au kwa kuwa imeanzishwa na magama basi mnaona si hai na si wajibu wenu kuiendeleza.

Ukimya wenu unaweza kuwafanya watu wahisi kuwa wingi wenu na wengine wa upinzani hasa ndio target ya kupewa hizi pesa zinazoitwa za "mawasiliano"( Ni rushwa).

Kama zipo na zimepokelewa za wizara nyingine bora mjisafishe mapema kabla upepo haujabadilika. .....

Mpaka sasa Huyo jairo na watendaji wengine walioagizwa kutuma hizo pesa bado hata haija hojiwa nakutolewa maelezo ya awali polisi, wala Takukuru. Mbona Nyie mko kimya?kwa nini.?? Toeni pess release ya kueleza msimamo wenu.

Linapokuja suala la Ufisadi hata kama limeibuliwa na mwanamagamba likamateni Hakuna hakimiliki kwenye vita ya UFISADI la sivyo...................


Better now?
not yet...inaelekea na wewe umejazwa upupu wa ilimu ahera...! nilikuwa napita tu!! enjoy!
 
Naona CDM wanatumia falsafa ya "ndugu wakigombana" Ni vyema CDM waktueleza wao watanfanya ama wangefanya nini.Si vibaya kama wako kimya kwasasa coz ni vyema tu "kimkakati"
However eventually ni muhimu watupe ideas kwamba wao wangefanyaje ama watafanyaje ikiwa watapewa nchi.

Heshima mbele mkuu

CDM hapndipo waliotakiwa kubinya zaidi. Si tuliona Polisi walivyokuwa fasta kumpeleka mbowe kwa Helikopta Arusha. Mbona Hao polisi hawawahoji hao kina jairo.? Tunajua hawewezi kumuhojii mbunge shelukindo sabaubu analindwa na kanuni za bunge .
Vipi
  • kuhusu katibu mkuu.
  • hao wakuu wa hizo idara zilizotuma Pesa.?
  • Kuhusu Wizara nyingine zilizoitisha bajeti?

Anywa kukaa kwao kimya labda wengine tunatafsiri tofauti. CDM wanatkaiwa waombe ichunguzwe kila wizara imepeleka shilingi ngapi na a kifungu gani wa matumizi yapi mkooni dodoma mwezi huu.

Kuna kasumba ipo kuwa hili limeazishwa na CDM CCM wanalipuuzia mpaka mamo yawe mabya. Hivyo Hivyo na CDM kuna vitu wanaacha kuzidi kuvishikia bago sababu vimeazishwa na CCM . Ni kosa

Kwa tathmini yangu ya haraka kuna bajeti za wizara zimeshapita. Simple logic ni kwamba kuna wabuge kadhaa na wakiwemo na wa CDM wameshapokea hivi vimilioni vya "mawasiliano"

Sasa CDM wakisubiri CCM wajipage jinsi ya kujibu mashambulizi sijui itakuwaje. Au ndo tuseme CCM na wapinzani wote inabidi wakubaliane jinsi ya kutudanganya wananchi.

Simple, hata wao hawawezi kutatua tatizo hili wakipewa nchi. Au wamepigwa ganzi ghafla!?

Naamin wamepigwa na butwaaaa sabbau wabunge wao wameshadaka za wizara nyigine zilizopita. teh teh teh


kaka darasa la pili nini? ms?sokomoko?? kwa stahili hii hata hizo satanic verses zenu itakuwa kazi kuziandika! pole sana!

Teh teh teh . Aksante sana kaka

not yet...inaelekea na wewe umejazwa upupu wa ilimu ahera...! nilikuwa napita tu!! enjoy!

Kweli kabisa ndio maana ikaitwa jamii forum na wenye elimu ahera tunaruhusiwa kutoa maoni. Na wewe mwenye elimuu sijui ni ya jehanam toa maoni na fanya tathmini tuone na tulinganishe na tuone tofauti . teh teh teh Otherwise thanks kwa kupita . enjoy
 
Sijawahi kushuhudia kipindi ambacho watanzania wamechoka,kata tamaa and wana matatizo mengi kama hiki! People are tired of CCM AND GOVERMENT YA JK! Watu wengi wapo tayari kwa lolote including me! Wazee huku mtaani nayashuhudia matatizo ambayo hayaelezeki! Kuna mdada namfahamu jana kapokea mshahara shs.15,000 per month, kisa bosi haingizi fedha coz of umeme! Mimi mwenyewe jana ndo nimemaliza elimu ya juu,mfukoni nimebakiwa na elfu 3 tu,kwetu ni songea nauli ni 40000,mother nimeshampiga mizinga hadi naona aibu, ajira sitegemei kupata leo wala kesho! Slaa watu wamegive up!! Mbona umetulia sana dr.!? Hivi huioni hii opportunity? Au unawaogopa ccm? Au wimbo wa amani umekuingia na wewe? Amani ni heroine and cocaine wanayoitumia ccm kuwalevya watu, pls slaa uckubali nawe kulewa! Zile harakati zako za mwanzoni naona zimepungua sana,au unaumwa? Hawa ccm siyo wastaarabu so huitaji kuwaendea kistaarabu!! Vipi mbowe? We need ukurupukaji wako, ccm ukiwaendea kislowly wataendelea kutuumiza! PLS SLAA START THE BOMB! ITISHA MAANDAMANO NCHI NZIMA BABA TUWAONDOE HAWA MAJAMBAZI! Me naamini kama kuna mtu anaisapoti ccm basi ni chizi au anajifanya chizi! SLAA WHY?WHY?WHY....U FAIL TO USE THIS OPPORTUNITY???WHY? Lianzishe bana!!
 
Wewe mdanganye tu mwenzako aanzishe maandamano ya nchi nzima aone moto wake. Atapigwa jela ya maisha na asahau kabisa kitu kinachoitwa siasa. Huu ushauri mnapaswa kuumalizia hukohuko vijiweni, mtakuja kujuta CHADEMA.
 
Nataka nilianzishe maana, yeyote atakaye lianzisha tunachukua hakuna kitu sidhani kama kuna askali ana akili yake anaweza kulinda huu uozo.

Lakini Slaa aliwakata kuipa CCM kura hamkusia kabisa.
 
Even Baba madiba alipigwa jela ya maisha na watu wapuuzi na wanyonyaji kama wewe! Then kilichotokea later nadhani una kaufahamu ka kufahamu
Wewe mdanganye tu mwenzako aanzishe maandamano ya nchi nzima aone moto wake. Atapigwa jela ya maisha na asahau kabisa kitu kinachoitwa siasa. Huu ushauri mnapaswa kuumalizia hukohuko vijiweni, mtakuja kujuta CHADEMA.
 
Nashindwa kuwaelewa watu wanaoipigia kura ccm, i dont know niwaweke kwenye kundi gani la watu
Nataka nilianzishe maana, yeyote atakaye lianzisha tunachukua hakuna kitu sidhani kama kuna askali ana akili yake anaweza kulinda huu uozo.Lakini Slaa aliwakata kuipa CCM kura hamkusia kabisa.
 
Dakitariii Slaa..plse msikilize kijana, maneno ya busara kabisa hayo, yakuingie baba. Plse we are tired with this government... Pliiiiiz tupo tayari kama Malawi mpaka kieleweke...
 
Sijawahi kushuhudia kipindi ambacho watanzania wamechoka,kata tamaa and wana matatizo mengi kama hiki! People are tired of CCM AND GOVERMENT YA JK! Watu wengi wapo tayari kwa lolote including me! Wazee huku mtaani nayashuhudia matatizo ambayo hayaelezeki! Kuna mdada namfahamu jana kapokea mshahara shs.15,000 per month, kisa bosi haingizi fedha coz of umeme! Mimi mwenyewe jana ndo nimemaliza elimu ya juu,mfukoni nimebakiwa na elfu 3 tu,kwetu ni songea nauli ni 40000,mother nimeshampiga mizinga hadi naona aibu, ajira sitegemei kupata leo wala kesho! Slaa watu wamegive up!! Mbona umetulia sana dr.!? Hivi huioni hii opportunity? Au unawaogopa ccm? Au wimbo wa amani umekuingia na wewe? Amani ni heroine and cocaine wanayoitumia ccm kuwalevya watu, pls slaa uckubali nawe kulewa! Zile harakati zako za mwanzoni naona zimepungua sana,au unaumwa? Hawa ccm siyo wastaarabu so huitaji kuwaendea kistaarabu!! Vipi mbowe? We need ukurupukaji wako, ccm ukiwaendea kislowly wataendelea kutuumiza! PLS SLAA START THE BOMB! ITISHA MAANDAMANO NCHI NZIMA BABA TUWAONDOE HAWA MAJAMBAZI! Me naamini kama kuna mtu anaisapoti ccm basi ni chizi au anajifanya chizi! SLAA WHY?WHY?WHY....U FAIL TO USE THIS OPPORTUNITY???WHY? Lianzishe bana!!
Nilijua tu haya ni mawazo ya mtoto. asante kwa kujitambulisha kuwa ndio umemaliza chuo jana. bado utineja unakusumbua.
 
Naona mtoa mada ashazipigia hesabu nyumba za oysterbay na masaki kwamba atamtoa yule na yule aingie yeye. Au atatumia kigezo hicho cha maandamano na yeye kupora gari ya fulani kwa kisingizio kwamba ni fisadi. Jamani haya mambo watu wengine wanatafuta pa kutokea tu kimaisha. Wako choka mbaya kama mshkaji ana buku 3, ana girlfriend Songea anamsubiri msomi chokesti, sasa hili la maandamano likitokea, atapata kitu kwa kupora mali za raia wasio na hatia na wala wasio mafisadi. Nakushauri utafute tu kazi,, hela utapata tu, usitafute njia za mkato. Kama vipi, Songea pale anzisha hata biashara ya malimao au maembe
 
HIvi vingine ndio kwanza havijajua hata kujinunulia wenyewe maji ya kuoshea wanaanza chokochoko, mngejua tumetoka wapi haya ya leo mngeyaona ni neema kubwa sana. Tanzania ndio ilikuwa hivi miaka 25 nyuma?

Kijana uliza wazee wako.
 
HIvi vingine ndio kwanza havijajua hata kujinunulia wenyewe maji ya kuoshea wanaanza chokochoko, mngejua tumetoka wapi haya ya leo mngeyaona ni neema kubwa sana. Tanzania ndio ilikuwa hivi miaka 25 nyuma?

Kijana uliza wazee wako.

mmmh bibie foxy acha kudanganya watu, hali ya sasa ni ngumu mno, bora hata zamani. Sasa hv ni too much
 
Back
Top Bottom