Akili ndogo tu inajua waliompiga risasi TL ndio haohao waliommaliza JPM...kwanini serikali haiundi TUME YA UCHUNGUZI ili ukweli ujulikane?
Msamehe tu.Mamluki wa Slaa ningeshangaa sana usingeandika kitu kwenye uzi huu
Ukweli ni kwamba Chadema inajua ukweli kwamba huyu Dk Slaa anaongea ukweli.Dr Slaa ametumwa kuichafua CHADEMA na zipo tetesi kwamba amelipwa kwa kazi hii Maalum (hili tutalifafanua baadaye).
Nawaomba viongozi wa Kitaifa wa CHADEMA , ambao kuna taarifa kwamba mnapanga vizuri mafaili yenu ili kumlipua huyu mzee aliyekimbia Kanisa Katoliki baada ya kashfa kadhaa, acheni Jambo hilo kwa sasa, hii ni kwa sababu kila mtanzania ameelewa kwamba Dr Slaa ni muongo na ametumwa uongo bila kutafakari .
Hakuna haja ya kumuadhibu kwa kumfedhehesha Mtu ambaye amekwisha, hakuna haja ya "kumvua nguo" kikongwe kama huyu, mila za Kitanzania zinakataza , Mawe na maswali anayotandikwa huko mtandaoni yanamtosha kabisa.
Chonde Chonde CHADEMA, Msifanye hivyo jamani.
100% true said ila tatizo ni ufinyu wa fikra kwa wengi wa wafuasi wao.Akili ndogo tu inajua waliompiga risasi TL ndio haohao waliommaliza JPM.
It was an inside work.
TL alipigwa na maadui wa JPM wa ndani ili kumpaka jina la muuaji. It was a plan A.
na walitaka UCHUNGUZI ukifanyika uoneshe serikali kuhusika na ndio maana walihakikisha tukio linafanyika muda, na katika mazingira yanayoonesha kuhusika kwa serikali.
Plan A iliposhindikana wakapanga Plan B - wakamchomoa.
Kwa bahati mbaya ndani ya CHADEMA ni adimu saana kupata analysts waliotulia kuchanganua mambo.
Tangu akili kubwa za akina Prof Baregu, Prof Safari, Prof Kitila, Dr Slaa waondoke chama hakina uwezo wa kuanalyse mambo.
Ndio maana sasa hivi wengi wameungana na wale waliomchomoa JPM kupambana na MAITI.
Wee jamaa unatufanya mafaaaalaaa !Akili ndogo tu inajua waliompiga risasi TL ndio haohao waliommaliza JPM.
It was an inside work.
TL alipigwa na maadui wa JPM wa ndani ili kumpaka jina la muuaji. It was a plan A.
na walitaka UCHUNGUZI ukifanyika uoneshe serikali kuhusika na ndio maana walihakikisha tukio linafanyika muda, na katika mazingira yanayoonesha kuhusika kwa serikali.
Plan A iliposhindikana wakapanga Plan B - wakamchomoa.
Kwa bahati mbaya ndani ya CHADEMA ni adimu saana kupata analysts waliotulia kuchanganua mambo.
Tangu akili kubwa za akina Prof Baregu, Prof Safari, Prof Kitila, Dr Slaa waondoke chama hakina uwezo wa kuanalyse mambo.
Ndio maana sasa hivi wengi wameungana na wale waliomchomoa JPM kupambana na MAITI.
hakukuwa na haja kwa dr slaa kuongea maneno kama yale inashangaza sana nimejiuliza nimemdharau ni snichi2.Dr Slaa ametumwa kuichafua CHADEMA na zipo tetesi kwamba amelipwa kwa kazi hii Maalum (hili tutalifafanua baadaye).
Nawaomba viongozi wa Kitaifa wa CHADEMA , ambao kuna taarifa kwamba mnapanga vizuri mafaili yenu ili kumlipua huyu mzee aliyekimbia Kanisa Katoliki baada ya kashfa kadhaa, acheni Jambo hilo kwa sasa, hii ni kwa sababu kila mtanzania ameelewa kwamba Dr Slaa ni muongo na ametumwa uongo bila kutafakari .
Hakuna haja ya kumuadhibu kwa kumfedhehesha Mtu ambaye amekwisha, hakuna haja ya "kumvua nguo" kikongwe kama huyu, mila za Kitanzania zinakataza , Mawe na maswali anayotandikwa huko mtandaoni yanamtosha kabisa.
Chonde Chonde CHADEMA, Msifanye hivyo jamani.
Muulize samiaChadema bado ipo?
Stupid, cctv camera Kuna mtu anaweza kuzi access Kama siyo serikaliKila Mtanzania yupi mkuu,mbona mi nimeelewa mpaka kamtaja jina aliyepigwa.
Kama CHADEMA mnatulazimisha tuamini Lissu alipigwa na serikali bila uthibitisho na kuna watu wameamini.
Kwanini watu haohao wanaoamini yasiyothibitishwa wasiamini na hili.
Padri kawa Single Father.Dr Slaa ni used condom. Ukishatumia ukaachia mzigo unaitupa kwenye ndoo ya takataka.
Dr Slaa HAFAI kwa uongozi wa chochote kwa kuwa;
1. Upadri ulimshinda mazima
2. Mke wa kwanza Rose Kamili alimshindwa
3. CHADEMA aliisaliti baada ya kununuliwa na Magufuli kwa kupewa ubalozi
4. Mke wa pili Mushumbushi naye kamshindwa. Kabakia mtu wa kubwabwaja kama malaya anayejipitisha Bar ili wanaume wamuone
kamuulize jiwe aliyesema mpaka 2020 cdm itakuwa imekufa kafa yeye cdm inadundaChadema bado ipo?
nasikia na wewe walikuteka wakakubaka?Hilo genge la wahuni ndani ya saccos Lina mijitu mafia hujawahi kuona.
Mungu ibariki CHADEMA.. Izidi kutamalaki kwenye uvumilivu na hekima
Hata fundi wa tv wa mtaani ukimpa ten anaifungua.Stupid, cctv camera Kuna mtu anaweza kuzi access Kama siyo serikali
Asiyaseme kwa maslahi ya nani?hakukuwa na haja kwa dr slaa kuongea maneno kama yale inashangaza sana nimejiuliza nimemdharau ni snichi2.
Mimi sio zombie, labda wewe.Wewe zombie tu
Itoke wapi basi tu!!!Chadema bado ipo?
kwahiyo ?Itoke wapi basi tu!!!
Huyo mzee ni kasha tupu mwacheni abwabwaje mwisho atatuliza naniu yake.