greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,319
- 3,930
Naanza kuelewa ni kwanini chadema walimficha dereva wa lissu.
Hujui kitu weweUnaongelea katiba wewe wakati maboss wenu wamenyuti, tuliwaambia no leadership
Umeandika kinafikiDr Slaa ametumwa kuichafua CHADEMA na zipo tetesi kwamba amelipwa kwa kazi hii Maalum (hili tutalifafanua baadaye).
Nawaomba viongozi wa Kitaifa wa CHADEMA , ambao kuna taarifa kwamba mnapanga vizuri mafaili yenu ili kumlipua huyu mzee aliyekimbia Kanisa Katoliki baada ya kashfa kadhaa, acheni Jambo hilo kwa sasa, hii ni kwa sababu kila mtanzania ameelewa kwamba Dr Slaa ni muongo na ametumwa uongo bila kutafakari .
Hakuna haja ya kumuadhibu kwa kumfedhehesha Mtu ambaye amekwisha, hakuna haja ya "kumvua nguo" kikongwe kama huyu, mila za Kitanzania zinakataza , Mawe na maswali anayotandikwa huko mtandaoni yanamtosha kabisa.
Chonde Chonde CHADEMA, Msifanye hivyo jamani.
Kwani kumjibu mtu kwa hoja haiwezekani bila kumdhalilisha? Au hapo CHADEMA vijana wa kujibu hoja kwa hoja wamekwisha?Dr Slaa ametumwa kuichafua CHADEMA na zipo tetesi kwamba amelipwa kwa kazi hii Maalum (hili tutalifafanua baadaye).
Nawaomba viongozi wa Kitaifa wa CHADEMA , ambao kuna taarifa kwamba mnapanga vizuri mafaili yenu ili kumlipua huyu mzee aliyekimbia Kanisa Katoliki baada ya kashfa kadhaa, acheni Jambo hilo kwa sasa, hii ni kwa sababu kila mtanzania ameelewa kwamba Dr Slaa ni muongo na ametumwa uongo bila kutafakari .
Hakuna haja ya kumuadhibu kwa kumfedhehesha Mtu ambaye amekwisha, hakuna haja ya "kumvua nguo" kikongwe kama huyu, mila za Kitanzania zinakataza , Mawe na maswali anayotandikwa huko mtandaoni yanamtosha kabisa.
Chonde Chonde CHADEMA, Msifanye hivyo jamani.
Ni mimba ya miezi mi8Je, vipi umoja imezaliwa?
Msiukimbue ukweli, kama mnavyoomba serikali ichunguze suala la Lissu na mengine, basi na hili tunawataka msemeDr Slaa ametumwa kuichafua CHADEMA na zipo tetesi kwamba amelipwa kwa kazi hii Maalum (hili tutalifafanua baadaye).
Nawaomba viongozi wa Kitaifa wa CHADEMA , ambao kuna taarifa kwamba mnapanga vizuri mafaili yenu ili kumlipua huyu mzee aliyekimbia Kanisa Katoliki baada ya kashfa kadhaa, acheni Jambo hilo kwa sasa, hii ni kwa sababu kila mtanzania ameelewa kwamba Dr Slaa ni muongo na ametumwa uongo bila kutafakari .
Hakuna haja ya kumuadhibu kwa kumfedhehesha Mtu ambaye amekwisha, hakuna haja ya "kumvua nguo" kikongwe kama huyu, mila za Kitanzania zinakataza , Mawe na maswali anayotandikwa huko mtandaoni yanamtosha kabisa.
Chonde Chonde CHADEMA, Msifanye hivyo jamani.
Dr Slaa ni used condom. Ukishatumia ukaachia mzigo unaitupa kwenye ndoo ya takataka.Dr Slaa ametumwa kuichafua CHADEMA na zipo tetesi kwamba amelipwa kwa kazi hii Maalum (hili tutalifafanua baadaye).
Nawaomba viongozi wa Kitaifa wa CHADEMA , ambao kuna taarifa kwamba mnapanga vizuri mafaili yenu ili kumlipua huyu mzee aliyekimbia Kanisa Katoliki baada ya kashfa kadhaa, acheni Jambo hilo kwa sasa, hii ni kwa sababu kila mtanzania ameelewa kwamba Dr Slaa ni muongo na ametumwa uongo bila kutafakari .
Hakuna haja ya kumuadhibu kwa kumfedhehesha Mtu ambaye amekwisha, hakuna haja ya "kumvua nguo" kikongwe kama huyu, mila za Kitanzania zinakataza , Mawe na maswali anayotandikwa huko mtandaoni yanamtosha kabisa.
Chonde Chonde CHADEMA, Msifanye hivyo jamani.
Atakufa kifo kisicho na heshima.. Atakufa mpwekeDr Slaa ni used condom. Ukishatumia ukaachia mzigo unaitupa kwenye ndoo ya takataka.
Dr Slaa HAFAI kwa uongozi wa chochote kwa kuwa;
1. Upadri ulimshinda mazima
2. Mke wa kwanza Rose Kamili alimshindwa
3. CHADEMA aliisaliti baada ya kununuliwa na Magufuli kwa kupewa ubalozi
4. Mke wa pili Mushumbushi naye kamshindwa. Kabakia mtu wa kubwabwaja kama malaya anayejipitisha Bar ili wanaume wamuone
Pole sana, huyo mzee hanijui hata leo umuwekee TZS Bilioni 100 akwambie kama tunafahamiana atazikosa. Labda mamluki wa kupinga kila hoja feki.Mamluki wa Slaa ningeshangaa sana usingeandika kitu kwenye uzi huu
Nasikia kuna mhuni kampora Mali yk HahahaMungu ibariki CHADEMA.. Izidi kutamalaki kwenye uvumilivu na hekima
Wahuni wanajulikana..Hilo genge la wahuni ndani ya saccos Lina mijitu mafia hujawahi kuona.
Demokrasia na MATAGA wapi na wapi?!!!tusimlazimishe akubaliane na nyie wakati naye ana fikra tofauti na nyie mnavyowaza na hii ndio demokrasia na uhuru wa maoni ambao kila siku tunauhubiri....
Ukisema Dr Slaa MWONGO lazima uthibitishe uongo wake kwa kuweka wazi UKWELI ni upi. Hii itatusaidia wananchi wasioegemea upande wowote kuchanganua. CHADEMA ni chama Cha DEMOKRASIA.Dr Slaa ametumwa kuichafua CHADEMA na zipo tetesi kwamba amelipwa kwa kazi hii Maalum (hili tutalifafanua baadaye).
Nawaomba viongozi wa Kitaifa wa CHADEMA , ambao kuna taarifa kwamba mnapanga vizuri mafaili yenu ili kumlipua huyu mzee aliyekimbia Kanisa Katoliki baada ya kashfa kadhaa, acheni Jambo hilo kwa sasa, hii ni kwa sababu kila mtanzania ameelewa kwamba Dr Slaa ni muongo na ametumwa uongo bila kutafakari .
Hakuna haja ya kumuadhibu kwa kumfedhehesha Mtu ambaye amekwisha, hakuna haja ya "kumvua nguo" kikongwe kama huyu, mila za Kitanzania zinakataza , Mawe na maswali anayotandikwa huko mtandaoni yanamtosha kabisa.
Chonde Chonde CHADEMA, Msifanye hivyo jamani.
uko nyuma sana !Umeandika kinafiki
Katumwa kufanya nini? Au kasema nini kuhusu CDM?
CHADEMA NI CJAMA KINACHOONGOZA KWA UHUNI JILO LIKO WAZI NA NDIYO MAAANA MUNGU ANAWADHIBU HAMTAKAA MTAWALE NCHI HIIDr Slaa ametumwa kuichafua CHADEMA na zipo tetesi kwamba amelipwa kwa kazi hii Maalum (hili tutalifafanua baadaye).
Nawaomba viongozi wa Kitaifa wa CHADEMA , ambao kuna taarifa kwamba mnapanga vizuri mafaili yenu ili kumlipua huyu mzee aliyekimbia Kanisa Katoliki baada ya kashfa kadhaa, acheni Jambo hilo kwa sasa, hii ni kwa sababu kila mtanzania ameelewa kwamba Dr Slaa ni muongo na ametumwa uongo bila kutafakari .
Hakuna haja ya kumuadhibu kwa kumfedhehesha Mtu ambaye amekwisha, hakuna haja ya "kumvua nguo" kikongwe kama huyu, mila za Kitanzania zinakataza , Mawe na maswali anayotandikwa huko mtandaoni yanamtosha kabisa.
Chonde Chonde CHADEMA, Msifanye hivyo jamani.