CHADEMA Makao Makuu isihangaike kumjibu Dkt. Slaa, ametumwa

..kwanini serikali haiundi TUME YA UCHUNGUZI ili ukweli ujulikane?
Akili ndogo tu inajua waliompiga risasi TL ndio haohao waliommaliza JPM.
It was an inside work.
TL alipigwa na maadui wa JPM wa ndani ili kumpaka jina la muuaji. It was a plan A.
na walitaka UCHUNGUZI ukifanyika uoneshe serikali kuhusika na ndio maana walihakikisha tukio linafanyika muda, na katika mazingira yanayoonesha kuhusika kwa serikali.
Plan A iliposhindikana wakapanga Plan B - wakamchomoa.
Kwa bahati mbaya ndani ya CHADEMA ni adimu saana kupata analysts waliotulia kuchanganua mambo.
Tangu akili kubwa za akina Prof Baregu, Prof Safari, Prof Kitila, Dr Slaa waondoke chama hakina uwezo wa kuanalyse mambo.
Ndio maana sasa hivi wengi wameungana na wale waliomchomoa JPM kupambana na MAITI.
 
Dr Slaa ametumwa kuichafua CHADEMA na zipo tetesi kwamba amelipwa kwa kazi hii Maalum (hili tutalifafanua baadaye).

Nawaomba viongozi wa Kitaifa wa CHADEMA , ambao kuna taarifa kwamba mnapanga vizuri mafaili yenu ili kumlipua huyu mzee aliyekimbia Kanisa Katoliki baada ya kashfa kadhaa, acheni Jambo hilo kwa sasa, hii ni kwa sababu kila mtanzania ameelewa kwamba Dr Slaa ni muongo na ametumwa uongo bila kutafakari .

Hakuna haja ya kumuadhibu kwa kumfedhehesha Mtu ambaye amekwisha, hakuna haja ya "kumvua nguo" kikongwe kama huyu, mila za Kitanzania zinakataza , Mawe na maswali anayotandikwa huko mtandaoni yanamtosha kabisa.

Chonde Chonde CHADEMA, Msifanye hivyo jamani.
Ukweli ni kwamba Chadema inajua ukweli kwamba huyu Dk Slaa anaongea ukweli.

Kama ni Uongo wajaribu kwenda Mahakamani kumshitaki,kwa sababu anachokifanya kinachafua Image ya Chama cha Chadema.

Lazima kina @Kibatalla wamekwisha washauri kukaa kimya maana wanajua kwa kwenda mahakamani wataumbuka zaidi.

Msisahau kifo cha Chacha Wangwe kilifunikwa,ila Mbowe anajua yaliyomkuta kule Tarime baadae.
Hadi akageuka kuwa rafiki wa Tanpol.

Chadema Kumchokonoa Dk Slaa ni sawa na kujifunga bomu la .

Kwa hali ya siasa iliyopo nchini,wala Chadema si tishio kwa Serikali ya Samia labda kwa Zitto Kabwe.

Slaa anaamua kufunguka kadri mnavyomchokoza nyinyi.
 
Akili ndogo tu inajua waliompiga risasi TL ndio haohao waliommaliza JPM.
It was an inside work.
TL alipigwa na maadui wa JPM wa ndani ili kumpaka jina la muuaji. It was a plan A.
na walitaka UCHUNGUZI ukifanyika uoneshe serikali kuhusika na ndio maana walihakikisha tukio linafanyika muda, na katika mazingira yanayoonesha kuhusika kwa serikali.
Plan A iliposhindikana wakapanga Plan B - wakamchomoa.
Kwa bahati mbaya ndani ya CHADEMA ni adimu saana kupata analysts waliotulia kuchanganua mambo.
Tangu akili kubwa za akina Prof Baregu, Prof Safari, Prof Kitila, Dr Slaa waondoke chama hakina uwezo wa kuanalyse mambo.
Ndio maana sasa hivi wengi wameungana na wale waliomchomoa JPM kupambana na MAITI.
100% true said ila tatizo ni ufinyu wa fikra kwa wengi wa wafuasi wao.
 
Akili ndogo tu inajua waliompiga risasi TL ndio haohao waliommaliza JPM.
It was an inside work.
TL alipigwa na maadui wa JPM wa ndani ili kumpaka jina la muuaji. It was a plan A.
na walitaka UCHUNGUZI ukifanyika uoneshe serikali kuhusika na ndio maana walihakikisha tukio linafanyika muda, na katika mazingira yanayoonesha kuhusika kwa serikali.
Plan A iliposhindikana wakapanga Plan B - wakamchomoa.
Kwa bahati mbaya ndani ya CHADEMA ni adimu saana kupata analysts waliotulia kuchanganua mambo.
Tangu akili kubwa za akina Prof Baregu, Prof Safari, Prof Kitila, Dr Slaa waondoke chama hakina uwezo wa kuanalyse mambo.
Ndio maana sasa hivi wengi wameungana na wale waliomchomoa JPM kupambana na MAITI.
Wee jamaa unatufanya mafaaaalaaa !
 
Dr Slaa ametumwa kuichafua CHADEMA na zipo tetesi kwamba amelipwa kwa kazi hii Maalum (hili tutalifafanua baadaye).

Nawaomba viongozi wa Kitaifa wa CHADEMA , ambao kuna taarifa kwamba mnapanga vizuri mafaili yenu ili kumlipua huyu mzee aliyekimbia Kanisa Katoliki baada ya kashfa kadhaa, acheni Jambo hilo kwa sasa, hii ni kwa sababu kila mtanzania ameelewa kwamba Dr Slaa ni muongo na ametumwa uongo bila kutafakari .

Hakuna haja ya kumuadhibu kwa kumfedhehesha Mtu ambaye amekwisha, hakuna haja ya "kumvua nguo" kikongwe kama huyu, mila za Kitanzania zinakataza , Mawe na maswali anayotandikwa huko mtandaoni yanamtosha kabisa.

Chonde Chonde CHADEMA, Msifanye hivyo jamani.
hakukuwa na haja kwa dr slaa kuongea maneno kama yale inashangaza sana nimejiuliza nimemdharau ni snichi2.
 
Kila Mtanzania yupi mkuu,mbona mi nimeelewa mpaka kamtaja jina aliyepigwa.

Kama CHADEMA mnatulazimisha tuamini Lissu alipigwa na serikali bila uthibitisho na kuna watu wameamini.

Kwanini watu haohao wanaoamini yasiyothibitishwa wasiamini na hili.
Stupid, cctv camera Kuna mtu anaweza kuzi access Kama siyo serikali
 
Dr Slaa ni used condom. Ukishatumia ukaachia mzigo unaitupa kwenye ndoo ya takataka.

Dr Slaa HAFAI kwa uongozi wa chochote kwa kuwa;
1. Upadri ulimshinda mazima

2. Mke wa kwanza Rose Kamili alimshindwa

3. CHADEMA aliisaliti baada ya kununuliwa na Magufuli kwa kupewa ubalozi

4. Mke wa pili Mushumbushi naye kamshindwa. Kabakia mtu wa kubwabwaja kama malaya anayejipitisha Bar ili wanaume wamuone
Padri kawa Single Father.
Ni kumwombea tu,kachanganyikiwa
 
Stupid, cctv camera Kuna mtu anaweza kuzi access Kama siyo serikali
Hata fundi wa tv wa mtaani ukimpa ten anaifungua.

Serikali gani ya kijinga ijiingize mkenge kama huo.

Slaa anajua mengi kuliko nyinyi mnaobwabwaja humu.
 
Nimeishia kusoma hapo ulipo andika "Zipo tetesi kwamba amelipwa kwa kazi hii.."

Nilijua utaweka vivid evidence.
 
Moja ya udhaifu wa Chadema ni kutokupenda na kukubali kukosolewa, hupenda kujibu hoja kwa matusi na kebehi

Aliyoyasema Dr Slaa hayashangazi kwakuwa Mbowe alishatajwa sana kuhusika ktk kifo tata cha Chacha Wangwe

Pia Zitto Kabwe kipindi anafukuzwa Chadema alitoa onyo kuwa wasije wakajaribu kumfanya kama alivyofanywa Chacha Wangwe kwani yeye katokea Kigoma na ana baraka za wazee

Hata Kubenea alishawahi kusema kupotea kwa Ben Saanane ahojiwe Mbowe kwa kina
 
28 Reactions
Reply
Back
Top Bottom