INGENJA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 4,990
- 4,255
mbona wakati yuko ccm hamkusema haya,rudia kauli ya Mbowe nao wanakili nikuto kujua nakutokana na siasa za kuchafuana za ccm...!!!why Lowassa awe big deal kwenu wakati mmesema hamteteleki na kuondoka kwake??uwezo mdogo na kufail kwa siku nyngi kwa ccm huzaa watu wenye mtazamo finyu kama wewe