Soul21
Senior Member
- Apr 8, 2017
- 168
- 281
Raila ni mtu mwenye laana katika mikono ya siasa hakuna kiongozi ambaye hajawahi kupitia mateso ya machafuko huko Kenya bila Raila kutokuhusika anzia Mwai Kibaki, Kenyata na Ruto. Mateso na mauji yote ya upinzani yalitoka kwenye kinywa chake.
Alifanya hivyo miaka yote kwa na ukichunguza aliweza kuteuliwa kwenye nyadhifa mbalimbali.
Juzi uenyekiti wa Afrika alikosa akarudi kuketi na Ruto. Hovyo silka ya si ya kwenda kuwapa CHADEMA ushauri mimi naona wameenda kujikosha tu.
