CHADEMA kwanini hamjifunzi kutoka CCM?

CHADEMA kwanini hamjifunzi kutoka CCM?

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
Fikiria chadema nayo ingekuwa na Mwenyekiti mpya kila baada ya Miaka 5-10 hamuoni kwamba ingewasaidia kutatua matatizo yenu kwa kuleta mawazo mapya yawe mabaya au hata kama siyo bora kulinganisha na ya uongozi uliopita lkn hii inasaidia Chama kukua na kukomaa!

Sasa hivi ni zamu ya Magufuli na yeye ana timu yake na wana mawazo yao ya jinsi ya kuongoza CCM na haijalishi kama ni mazuri au la lkn moja linabakia baada ya wao kuondoka 2025 CCM itazidi kukomaa!

Sasa chadema Uongozi ule ule kwa zaidi ya miaka 20 mnawezaje kupata Viongozi wazuri kama hamtoi nafasi kwa wengine kuja na mawazo mapya?

I mean msitafute mchawi, ninyi ndiyo tatizo, mnaendekeza Umungu mtu, ...
 
Kwa hiyo unataka tujifunze kuuwa na kiteka watu? Au kuteuwa vichaa wanao jitekenya na kucheka wenyewe?au uwizi wa kutaifisha mali ya watu na kuandika msajili wa majumba?nimesahau kuwa na akili ya kimaskini na kudhani matajiri ni adui zetu?
 
Mleta uzi wachekesha. Mungu Mtu si mnae wenyewe. Na mnashangilia kila kitu chake.


Lkn tofauti Mungu mtu wa CCM ana ukomo, lkn chadema hakuna na wala hakuna anayejua lini Mbowe utawala wake utafikia ukomo, sasa hilo siyo jambo jema kwa ustawi wa Chama!
 
Wanaanzaje wakati
Mwenyekiti mwenyewe ananjaaa ambayo haijawahi TOKEA
 
Najiulizaga Sanaa maswal kwanin ccm mnamuogapa Sana Mbowe.... Baba mbowe shikilia hapohapo siku ukitoka mkalishe Mr lisu waisome namb vzur.
 
Lkn tofauti Mungu mtu wa CCM ana ukomo
Hebu tueleze ukomo wa Mwinyi ulitokeaje, wa Mkapa nao ulimalizwaje na Kikwete na kwa Kikwete naye ukomo wake ulifikaje hata Magufuli akawa Mwenyekiti wenu.

Hivi kwenye chama chenu huwa kunakuwa na uchaguzi wa kumchagua Mwenyekiti Taifa na huwa unaendeshwaje?
 
Boss Barbarosa Ukiona hivyo ujue, Mh. Mbowe kawashika pabaya. Kila mnalopanga kuiua Chadema mnashindwa. Kuna mmoja alisema kabla ya Uchaguzi Chadema itakuwa ishakufa kabisa. Mkashindwa na Akashindwa. Sasa hivi mnanunua Wapinzani, Chadema bado ipo.

Ukishaona mpinzani wako anakushauri, tafakari mara mbili mbili.

Ila la kubadilisha Uongozi kwa awamu, nakuunga mkono hoja.

Ila ushauri wangu kwako na kwenu, msiue Upinzani. Upinzani ni mzuri kwa Afya na Ustawi wa Taifa, Taasisi, Kundi, Ndoa, Familia. Bila Upinzani Imara hakuna maendeleo. Na zama za Ndio Mzee zimepitwa na wakati.

Hamasisheni wananchi kufuata Katiba na Sheria za Nchi.

Fikiria chadema nayo ingekuwa na Mwenyekiti mpya kila baada ya Miaka 5-10 hamuoni kwamba ingewasaidia kutatua matatizo yenu kwa kuleta mawazo mapya yawe mabaya au hata kama siyo bora kulinganisha na ya uongozi uliopita lkn hii inasaidia Chama kukua na kukomaa!

Sasa hivi ni zamu ya Magufuli na yeye ana timu yake na wana mawazo yao ya jinsi ya kuongoza CCM na haijalishi kama ni mazuri au la lkn moja linabakia baada ya wao kuondoka 2025 CCM itazidi kukomaa!

Sasa chadema Uongozi ule ule kwa zaidi ya miaka 20 mnawezaje kupata Viongozi wazuri kama hamtoi nafasi kwa wengine kuja na mawazo mapya?

I mean msitafute mchawi, ninyi ndiyo tatizo, mnaendekeza Umungu mtu, ...
 
Fikiria chadema nayo ingekuwa na Mwenyekiti mpya kila baada ya Miaka 5-10 hamuoni kwamba ingewasaidia kutatua matatizo yenu kwa kuleta mawazo mapya yawe mabaya au hata kama siyo bora kulinganisha na ya uongozi uliopita lkn hii inasaidia Chama kukua na kukomaa!

Sasa hivi ni zamu ya Magufuli na yeye ana timu yake na wana mawazo yao ya jinsi ya kuongoza CCM na haijalishi kama ni mazuri au la lkn moja linabakia baada ya wao kuondoka 2025 CCM itazidi kukomaa!

Sasa chadema Uongozi ule ule kwa zaidi ya miaka 20 mnawezaje kupata Viongozi wazuri kama hamtoi nafasi kwa wengine kuja na mawazo mapya?

I mean msitafute mchawi, ninyi ndiyo tatizo, mnaendekeza Umungu mtu, ...
mnamtaka mwenyekiti dhaifu na maskini mwenye njaa ili mumnunue? shenzi kabisa wewe kuku a mdondo
 
Mleta uzi wachekesha. Mungu Mtu si mnae wenyewe. Na mnashangilia kila kitu chake.
Chama kilicho kosa mielekeo kwa miaka zaidi ya hamsini kitaitwa je na chama chenye fikra mpya? Yaani badala ya kutekeleza ahadi na sera zao wamebaki kuwa nunua viongozi wa upinzani na kuwafanya midoli kila kona.
Leteni zile 50m miluzi tuahidi
 
Hebu tueleze ukomo wa Mwinyi ulitokeaje, wa Mkapa nao ulimalizwaje na Kikwete na kwa Kikwete naye ukomo wake ulifikaje hata Magufuli akawa Mwenyekiti wenu.

Hivi kwenye chama chenu huwa kunakuwa na uchaguzi wa kumchagua Mwenyekiti Taifa na huwa unaendeshwaje?


Vyovyote vile lkn kuna Uongozi mpya unakuja kila baada ya miaka 5-10, na hii ni muhimu kwa ustawi wa Chama kwani kinakaribisha mawazo mapya na pia kutoa fursa ya kujifunza ktkana na Uingozi uliopita na kujaribu kuboresha, sasa chadema hakuna kubadilisha Uongozi mawazo hayo hayo ya watu hao hao kwa miaka zaidi ya 20, mnategemea mabadiliko hapo?

Kwa mfano kwa maoni yangu Mbowe hakupaswa kuwa KUB tena alishakalia hiyo nafasi angetoa fursa kwa wengine pia ili kupima uwezo waona pia kuwapa imani Wanachama wengine kwamba wana nafasi ya kufika juu!
 
Fikiria chadema nayo ingekuwa na Mwenyekiti mpya kila baada ya Miaka 5-10 hamuoni kwamba ingewasaidia kutatua matatizo yenu kwa kuleta mawazo mapya yawe mabaya au hata kama siyo bora kulinganisha na ya uongozi uliopita lkn hii inasaidia Chama kukua na kukomaa!

Sasa hivi ni zamu ya Magufuli na yeye ana timu yake na wana mawazo yao ya jinsi ya kuongoza CCM na haijalishi kama ni mazuri au la lkn moja linabakia baada ya wao kuondoka 2025 CCM itazidi kukomaa!

Sasa chadema Uongozi ule ule kwa zaidi ya miaka 20 mnawezaje kupata Viongozi wazuri kama hamtoi nafasi kwa wengine kuja na mawazo mapya?

I mean msitafute mchawi, ninyi ndiyo tatizo, mnaendekeza Umungu mtu, ...
Huu ni mkuki kwa jamaa zetu, subiri makombora, yule ni wa maisha
 
Mbowe anawatesa sana Lumumba book7 mpaka mkaamua kutumia Siraha za Kivita kuvurumisha marisasi majumbani mwao.

Na hatumtoi Mbowe mpka mnyooke huko naona Pogba akilala ana wewesekaga usiku ktk ndoto akisema Mkamateni Mbowe huyo ana nitesa janii
 
endeleeni na siasa zenu za majitaka za kununua wabunge na madiwani
 
Back
Top Bottom