Kampeni hii itakayojulikana kwa jina la “TANZANIA YA WANANCHI” inalenga kuelimisha, kuhamasisha wananchi katika kutambua haki zao za msingi kwa kuzingatia misingi ya katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ambayo pamoja na mambo mengine inatambua: Jamhuri ya Muungano ni nchi ya kidemokrasia na yenye kufuata mfumo wa vyama vingi vya siasa na wananchi ndio msingi wa mamlaka yote.
Pamoja na mambo mengine kampeni hii inalenga vilevile kuvunja kile kinachoelezwa kwamba ni dhana potofu ya “Tanzania ya Magufuli” ambayo inalenga kupoka mamlaka ya umma wa Watanzania ambayo yapo kikatiba.
Mtonyaji anabainisha kwamba maandalizi yameanza na itagegemewa kuzinduliwa rasmi hizi karibuni.
Pamoja na mambo mengine kampeni hii inalenga vilevile kuvunja kile kinachoelezwa kwamba ni dhana potofu ya “Tanzania ya Magufuli” ambayo inalenga kupoka mamlaka ya umma wa Watanzania ambayo yapo kikatiba.
Mtonyaji anabainisha kwamba maandalizi yameanza na itagegemewa kuzinduliwa rasmi hizi karibuni.