CHADEMA kuweni serious basi!

CHADEMA kuweni serious basi!

albab

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2018
Posts
2,000
Reaction score
3,395
Kwanza nianze kwa kusema kila mtu ana uhuru wa kupandisha mada yoyote humu na nasikitika wafuasi wa chadema kujiona wao ni bora, wenye elimu zaidi, wenye exposure zaidi ya mtu anaepingana nao. Hii ni dalili nyingine ya UJINGA.

......
Nachelea kusema CHADEMA mnachokifanya ni upuuzi na ni kwa sababu wafuasi wenu wengi hawajui yanayoendelea ndani na yanayofanywa na viongozi. Wanachama wa CHADEMA wana tatizo moja kufuata upepo bila kufikiri jambo kwao harakati ni siasa na siasa ni harakati wakasahau siasa za uanaharakati zinaruka kipengele cha sayansi ya siasa na kuexpose kila kitu mapema. Ndo mana chama kikibanwa kwenye angle moja basi kila kitu kinakufa na vilio vinaanza.

Juzi mmetangaza tarehe ya mikutano yenu kanda ya viktoria ivi kweli nyie ni wa kuupangia mkoa TSH 800,000 ya kufanya mikutano ya hadhara????? Serious kabisaaaa na mnaitaka nchi ?????

Yanii LAKI NANE mkoa wenye wilaya zaidi ya nne na majimbo zaidi ya 6 tena ngome yenu hasa ambapo mngekaza mnaweza kupachukua leo mmetenga laki 8 ,kuendesha mikutano ya hadhara....


Nachelea kusema mtabaki kuzua taharuki tu na kufanya vituko ili kutengeneza publicity ila in out viongozi wenu wanaujua ukweli HAKUNA MNALOFANYA.

Bony Yai na Heche wanajua ukweli mwezi March kiongozi mmoja wa BAVICHA kwa kulinda heshima yake simtaji. Kashindwa kulipa laki 7 kama sehmu ya mkutano wake akashikiliwa maeneo fulani ni busara za jeshi la polisi hii ishu haikwenda viral sasa haka kalikua kamkutano ka kata tu leo 800k ikasimamie Mkoa au Mkutano wa wilaya/jimbo nzima????

Leo hii kila kitu kimekufa kwenye majimbo watu wanahaha pa kupata pesa ili kuwezesha ujio wa viongozi wa kitaifa... TONE TONE inafanya nini mpaka kufikia hali hii??? Wadau na wahisani wako wapi CHADEMA inatapatapa kiasi hiki???

Think tanks zenu hazikuona hili tangu mwanzo... Kwanini mnafosi mambo mengi kwa wakati mmoja na uwezo hamna?? Kwanini msijijenge kwanza kama chama kabla ya kuja front?? Mnajichimbia kaburi bila kujua na ni bora mngeratibu mabadiliko ya ndani kwanza ndipo mje kwa wananchi.

Kwa pamoja tufikirie CHADEMA nje ya hizi vurugu kuna nini?? Kama una akili majibu utayapata na utagundua kwamba ni lazima hizi ziwepo atleat kujipapatua kwamba wapo ila ukweli ni kwamba ndani ya chama ni shimo kubwa lisilo kitu (empty hole)

Msiokijua chama mnachoshabikia karibuni kwa matusi, mnaokijua chama mnachokipenda ni muda wa kujitathimini. Tunaopenda mabadiliko ila hatuoni dhamira ya dhati katika siasa tushike tama.

Ni ukweli mchungu ila inabidi kuumeza.

Ahsanteni.
 
Watu wanashindwa kuvumiliana wao kwa Wao.! Halafu kuwataka wengine wawavumilie..! Haijakaa sawa.
 
Kwanza nianze kwa kusema kila mtu ana uhuru wa kupandisha mada yoyote humu na nasikitika wafuasi wa chadema kujiona wao ni bora, wenye elimu zaidi, wenye exposure zaidi ya mtu anaepingana nao. Hii ni dalili nyingine ya UJINGA.

......
Nachelea kusema CHADEMA mnachokifanya ni upuuzi na ni kwa sababu wafuasi wenu wengi hawajui yanayoendelea ndani na yanayofanywa na viongozi. Wanachama wa CHADEMA wana tatizo moja kufuata upepo bila kufikiri jambo kwao harakati ni siasa na siasa ni harakati wakasahau siasa za uanaharakati zinaruka kipengele cha sayansi ya siasa na kuexpose kila kitu mapema. Ndo mana chama kikibanwa kwenye angle moja basi kila kitu kinakufa na vilio vinaanza.

Juzi mmetangaza tarehe ya mikutano yenu kanda ya viktoria ivi kweli nyie ni wa kuupangia mkoa TSH 800,000 ya kufanya mikutano ya hadhara????? Serious kabisaaaa na mnaitaka nchi ?????

Yanii LAKI NANE mkoa wenye wilaya zaidi ya nne na majimbo zaidi ya 6 tena ngome yenu hasa ambapo mngekaza mnaweza kupachukua leo mmetenga laki 8 ,kuendesha mikutano ya hadhara....


Nachelea kusema mtabaki kuzua taharuki tu na kufanya vituko ili kutengeneza publicity ila in out viongozi wenu wanaujua ukweli HAKUNA MNALOFANYA.

Bony Yai na Heche wanajua ukweli mwezi March kiongozi mmoja wa BAVICHA kwa kulinda heshima yake simtaji. Kashindwa kulipa laki 7 kama sehmu ya mkutano wake akashikiliwa maeneo fulani ni busara za jeshi la polisi hii ishu haikwenda viral sasa haka kalikua kamkutano ka kata tu leo 800k ikasimamie Mkoa au Mkutano wa wilaya/jimbo nzima????

Leo hii kila kitu kimekufa kwenye majimbo watu wanahaha pa kupata pesa ili kuwezesha ujio wa viongozi wa kitaifa... TONE TONE inafanya nini mpaka kufikia hali hii??? Wadau na wahisani wako wapi CHADEMA inatapatapa kiasi hiki???

Think tanks zenu hazikuona hili tangu mwanzo... Kwanini mnafosi mambo mengi kwa wakati mmoja na uwezo hamna?? Kwanini msijijenge kwanza kama chama kabla ya kuja front?? Mnajichimbia kaburi bila kujua na ni bora mngeratibu mabadiliko ya ndani kwanza ndipo mje kwa wananchi.

Kwa pamoja tufikirie CHADEMA nje ya hizi vurugu kuna nini?? Kama una akili majibu utayapata na utagundua kwamba ni lazima hizi ziwepo atleat kujipapatua kwamba wapo ila ukweli ni kwamba ndani ya chama ni shimo kubwa lisilo kitu (empty hole)

Msiokijua chama mnachoshabikia karibuni kwa matusi, mnaokijua chama mnachokipenda ni muda wa kujitathimini. Tunaopenda mabadiliko ila hatuoni dhamira ya dhati katika siasa tushike tama.

Ni ukweli mchungu ila inabidi kuumeza.

Ahsanteni.
We mrema acha kitapatapa. You are gone already
 
Kwanza nianze kwa kusema kila mtu ana uhuru wa kupandisha mada yoyote humu na nasikitika wafuasi wa chadema kujiona wao ni bora, wenye elimu zaidi, wenye exposure zaidi ya mtu anaepingana nao. Hii ni dalili nyingine ya UJINGA.

......
Nachelea kusema CHADEMA mnachokifanya ni upuuzi na ni kwa sababu wafuasi wenu wengi hawajui yanayoendelea ndani na yanayofanywa na viongozi. Wanachama wa CHADEMA wana tatizo moja kufuata upepo bila kufikiri jambo kwao harakati ni siasa na siasa ni harakati wakasahau siasa za uanaharakati zinaruka kipengele cha sayansi ya siasa na kuexpose kila kitu mapema. Ndo mana chama kikibanwa kwenye angle moja basi kila kitu kinakufa na vilio vinaanza.

Juzi mmetangaza tarehe ya mikutano yenu kanda ya viktoria ivi kweli nyie ni wa kuupangia mkoa TSH 800,000 ya kufanya mikutano ya hadhara????? Serious kabisaaaa na mnaitaka nchi ?????

Yanii LAKI NANE mkoa wenye wilaya zaidi ya nne na majimbo zaidi ya 6 tena ngome yenu hasa ambapo mngekaza mnaweza kupachukua leo mmetenga laki 8 ,kuendesha mikutano ya hadhara....


Nachelea kusema mtabaki kuzua taharuki tu na kufanya vituko ili kutengeneza publicity ila in out viongozi wenu wanaujua ukweli HAKUNA MNALOFANYA.

Bony Yai na Heche wanajua ukweli mwezi March kiongozi mmoja wa BAVICHA kwa kulinda heshima yake simtaji. Kashindwa kulipa laki 7 kama sehmu ya mkutano wake akashikiliwa maeneo fulani ni busara za jeshi la polisi hii ishu haikwenda viral sasa haka kalikua kamkutano ka kata tu leo 800k ikasimamie Mkoa au Mkutano wa wilaya/jimbo nzima????

Leo hii kila kitu kimekufa kwenye majimbo watu wanahaha pa kupata pesa ili kuwezesha ujio wa viongozi wa kitaifa... TONE TONE inafanya nini mpaka kufikia hali hii??? Wadau na wahisani wako wapi CHADEMA inatapatapa kiasi hiki???

Think tanks zenu hazikuona hili tangu mwanzo... Kwanini mnafosi mambo mengi kwa wakati mmoja na uwezo hamna?? Kwanini msijijenge kwanza kama chama kabla ya kuja front?? Mnajichimbia kaburi bila kujua na ni bora mngeratibu mabadiliko ya ndani kwanza ndipo mje kwa wananchi.

Kwa pamoja tufikirie CHADEMA nje ya hizi vurugu kuna nini?? Kama una akili majibu utayapata na utagundua kwamba ni lazima hizi ziwepo atleat kujipapatua kwamba wapo ila ukweli ni kwamba ndani ya chama ni shimo kubwa lisilo kitu (empty hole)

Msiokijua chama mnachoshabikia karibuni kwa matusi, mnaokijua chama mnachokipenda ni muda wa kujitathimini. Tunaopenda mabadiliko ila hatuoni dhamira ya dhati katika siasa tushike tama.

Ni ukweli mchungu ila inabidi kuumeza.

Ahsanteni.
We pandikizi G55 si uende CCM au kwa wenzenu ACT Wazalendo
 
Chadema hakiwezi kushindana bajeti na CCM ambayo imejimilisha Mali zote za Tanganyika. Hata hiyo 800k bado ni hatua maana chadema kwa sehemu kubwa inawezeshwa na wanachama
Umesahau na vyama vya upinde popote vilipo. Umesahau Lissu kila anapohamasisha kukinukisha anawataja na marafiki zao nje ya nchi😅😅
 
CCM anaihurumia CHADEMA eti nakuipa ushauri,kweli?
 
mbowe alikuwa mjasiliamali, alikuwa anatoa pesa yake mfukoni kuendesha shuguli za chama, ruzuku ikitoka anazungusha kwenye biashara zake anarudisha na faida sasa huyu heche, biashara ya michomoko tarime ilimshida lissu law firm yake haijawahi shinda kesi hatamoja, mwenye prado nae anadai.
 
Watu wanashindwa kuvumiliana wao kwa Wao.! Halafu kuwataka wengine wawavumilie..! Haijakaa sawa.
Kuna dhana fulani kwa wanachama na wafuasi wa chadema kwa wanachama wa vyama vingine na sio nzuri hasa mitandaoni wao ni bora sanaaa na viongozi wao wamelijua hilo so wanaenda nao kibwege hivyo hivyo
Chadema ni chama kinachoendeshwa kilaghai...
Wafuasi wake hawawezi kuona hili kamwe ila ndo ukweli.
 
mbowe alikuwa mjasiliamali, alikuwa anatoa pesa yake mfukoni kuendesha shuguli za chama, ruzuku ikitoka anazungusha kwenye biashara zake anarudisha na faida sasa huyu heche, biashara ya michomoko tarime ilimshida lissu law firm yake haijawahi shinda kesi hatamoja, mwenye prado nae anadai.
Mbowe alikua na mikakati, watu wenye akili walikua tayari kumsaidia kubeba maono ya chama. Sasa huvi maono ya CHADEMA hayajulikani zaidi ya kuhemka kila kukicha
 
Kwanza nianze kwa kusema kila mtu ana uhuru wa kupandisha mada yoyote humu na nasikitika wafuasi wa chadema kujiona wao ni bora, wenye elimu zaidi, wenye exposure zaidi ya mtu anaepingana nao. Hii ni dalili nyingine ya UJINGA.

......
Nachelea kusema CHADEMA mnachokifanya ni upuuzi na ni kwa sababu wafuasi wenu wengi hawajui yanayoendelea ndani na yanayofanywa na viongozi. Wanachama wa CHADEMA wana tatizo moja kufuata upepo bila kufikiri jambo kwao harakati ni siasa na siasa ni harakati wakasahau siasa za uanaharakati zinaruka kipengele cha sayansi ya siasa na kuexpose kila kitu mapema. Ndo mana chama kikibanwa kwenye angle moja basi kila kitu kinakufa na vilio vinaanza.

Juzi mmetangaza tarehe ya mikutano yenu kanda ya viktoria ivi kweli nyie ni wa kuupangia mkoa TSH 800,000 ya kufanya mikutano ya hadhara????? Serious kabisaaaa na mnaitaka nchi ?????

Yanii LAKI NANE mkoa wenye wilaya zaidi ya nne na majimbo zaidi ya 6 tena ngome yenu hasa ambapo mngekaza mnaweza kupachukua leo mmetenga laki 8 ,kuendesha mikutano ya hadhara....


Nachelea kusema mtabaki kuzua taharuki tu na kufanya vituko ili kutengeneza publicity ila in out viongozi wenu wanaujua ukweli HAKUNA MNALOFANYA.

Bony Yai na Heche wanajua ukweli mwezi March kiongozi mmoja wa BAVICHA kwa kulinda heshima yake simtaji. Kashindwa kulipa laki 7 kama sehmu ya mkutano wake akashikiliwa maeneo fulani ni busara za jeshi la polisi hii ishu haikwenda viral sasa haka kalikua kamkutano ka kata tu leo 800k ikasimamie Mkoa au Mkutano wa wilaya/jimbo nzima????

Leo hii kila kitu kimekufa kwenye majimbo watu wanahaha pa kupata pesa ili kuwezesha ujio wa viongozi wa kitaifa... TONE TONE inafanya nini mpaka kufikia hali hii??? Wadau na wahisani wako wapi CHADEMA inatapatapa kiasi hiki???

Think tanks zenu hazikuona hili tangu mwanzo... Kwanini mnafosi mambo mengi kwa wakati mmoja na uwezo hamna?? Kwanini msijijenge kwanza kama chama kabla ya kuja front?? Mnajichimbia kaburi bila kujua na ni bora mngeratibu mabadiliko ya ndani kwanza ndipo mje kwa wananchi.

Kwa pamoja tufikirie CHADEMA nje ya hizi vurugu kuna nini?? Kama una akili majibu utayapata na utagundua kwamba ni lazima hizi ziwepo atleat kujipapatua kwamba wapo ila ukweli ni kwamba ndani ya chama ni shimo kubwa lisilo kitu (empty hole)

Msiokijua chama mnachoshabikia karibuni kwa matusi, mnaokijua chama mnachokipenda ni muda wa kujitathimini. Tunaopenda mabadiliko ila hatuoni dhamira ya dhati katika siasa tushike tama.

Ni ukweli mchungu ila inabidi kuumeza.

Ahsanteni.
Ni mwendo wa tonetone we jiongezee
 
Mbowe alikua na mikakati, watu wenye akili walikua tayari kumsaidia kubeba maono ya chama. Sasa huvi maono ya CHADEMA hayajulikani zaidi ya kuhemka kila kukicha
Uko sahihi mihemko ya kiuanaharakati ndo imekibomoa chama kwa kipindi hiki..... Na hii itamsumbua sana LISUU
 
Mkuuu jibu hoja G55 naifahamu in out kuzidi wewe mfuasi wa chadema.
Na ndio kaliba yao wengi hawajui nini kinaendelea wao ni bendera kila mahali kila hoja bila kujua undani wake wanadandia
 
chadema wakae chini wabadili mikakati wabadili uongozi waanze upya, mnyika anapitia maisha magumu sana, mbowe arudi kwa wazee wautishe uchaguzi wapate viongozi wenye strategy
 
Kwanza nianze kwa kusema kila mtu ana uhuru wa kupandisha mada yoyote humu na nasikitika wafuasi wa chadema kujiona wao ni bora, wenye elimu zaidi, wenye exposure zaidi ya mtu anaepingana nao. Hii ni dalili nyingine ya UJINGA.

......
Nachelea kusema CHADEMA mnachokifanya ni upuuzi na ni kwa sababu wafuasi wenu wengi hawajui yanayoendelea ndani na yanayofanywa na viongozi. Wanachama wa CHADEMA wana tatizo moja kufuata upepo bila kufikiri jambo kwao harakati ni siasa na siasa ni harakati wakasahau siasa za uanaharakati zinaruka kipengele cha sayansi ya siasa na kuexpose kila kitu mapema. Ndo mana chama kikibanwa kwenye angle moja basi kila kitu kinakufa na vilio vinaanza.

Juzi mmetangaza tarehe ya mikutano yenu kanda ya viktoria ivi kweli nyie ni wa kuupangia mkoa TSH 800,000 ya kufanya mikutano ya hadhara????? Serious kabisaaaa na mnaitaka nchi ?????

Yanii LAKI NANE mkoa wenye wilaya zaidi ya nne na majimbo zaidi ya 6 tena ngome yenu hasa ambapo mngekaza mnaweza kupachukua leo mmetenga laki 8 ,kuendesha mikutano ya hadhara....


Nachelea kusema mtabaki kuzua taharuki tu na kufanya vituko ili kutengeneza publicity ila in out viongozi wenu wanaujua ukweli HAKUNA MNALOFANYA.

Bony Yai na Heche wanajua ukweli mwezi March kiongozi mmoja wa BAVICHA kwa kulinda heshima yake simtaji. Kashindwa kulipa laki 7 kama sehmu ya mkutano wake akashikiliwa maeneo fulani ni busara za jeshi la polisi hii ishu haikwenda viral sasa haka kalikua kamkutano ka kata tu leo 800k ikasimamie Mkoa au Mkutano wa wilaya/jimbo nzima????

Leo hii kila kitu kimekufa kwenye majimbo watu wanahaha pa kupata pesa ili kuwezesha ujio wa viongozi wa kitaifa... TONE TONE inafanya nini mpaka kufikia hali hii??? Wadau na wahisani wako wapi CHADEMA inatapatapa kiasi hiki???

Think tanks zenu hazikuona hili tangu mwanzo... Kwanini mnafosi mambo mengi kwa wakati mmoja na uwezo hamna?? Kwanini msijijenge kwanza kama chama kabla ya kuja front?? Mnajichimbia kaburi bila kujua na ni bora mngeratibu mabadiliko ya ndani kwanza ndipo mje kwa wananchi.

Kwa pamoja tufikirie CHADEMA nje ya hizi vurugu kuna nini?? Kama una akili majibu utayapata na utagundua kwamba ni lazima hizi ziwepo atleat kujipapatua kwamba wapo ila ukweli ni kwamba ndani ya chama ni shimo kubwa lisilo kitu (empty hole)

Msiokijua chama mnachoshabikia karibuni kwa matusi, mnaokijua chama mnachokipenda ni muda wa kujitathimini. Tunaopenda mabadiliko ila hatuoni dhamira ya dhati katika siasa tushike tama.

Ni ukweli mchungu ila inabidi kuumeza.

Ahsanteni.
Wewe bora ungeenda tu kuwa houseboy wa Mbowe badala ya kuishi maisha ya kutapatapa.
 
Back
Top Bottom