Fair
Member
- Aug 20, 2018
- 34
- 161
Nashangaa huyu Mtu mpaka sasa yupo hapo. Patrobas Katambi tuliwaambia hapa mkadharau. Kazi ya Makene ni moja, kuhakikisha habari za CHADEMA haziwafikii wananchi kwa wakati.
Safari hii mnajua hamtakuwa na coverage na vyombo vya habari, lakini bado mmepwaya kwenye uwanjaa huu.
Safari hii mnajua hamtakuwa na coverage na vyombo vya habari, lakini bado mmepwaya kwenye uwanjaa huu.