Namfahamu Hemed Ally tangu akiwa chuo.Hemed Ally anafaa sana nafasi hiyo
Huyo hafai kabisa. Ni undercover.
Mtiifu kwa CCM na system.
Namfahamu Hemed Ally tangu akiwa chuo.Hemed Ally anafaa sana nafasi hiyo
INA maana ata data ananunua mwenyewe?..Yuko na Kaz nyingine tofauti na ya Chadema?..au anajitolea Kwa makubaliano ya kulipwa chama kikikamata Dola?Makene ni kuwa muda mrefu hana malipo, so unawezaje kufanya kazi kubwa hiyo bila malipo
Unauliza jibu?,hakuna mkate mgumu mbele ya chai,mtanyooka tu,nani afanyie bure ikiwa yeye binafsi na wategemezi wake wana mahitaji?,So unataka kusema Makene nae "Afisa Kificho" au " Afisa Kipenyo"??
Niliweka hapa thread .Huyo checkbob hawezi kazi. Lazima pawepo msemaji makini na sharp . Mbowe alisaidiwa sana na mikakati ya Lowasa . Chadema haijajipanga . Sijui Kama Wana management ya uchaguzi na resources. Kila mmoja anataka ubunge bahati mbaya kwa mtindo huu Kila mtu atakosa ubungeNashangaa huyu Mtu mpaka sasa yupo hapo. Patrobas Katambi tuliwaambia hapa mkadharau.
Kazi ya Makene ni moja, kuhakikisha habari za Chadema haziwafikii wananchi kwa wakati.
Safari hii mnajua hamtakuwa na coverage na vyombo vya habari, lakini bado mmepwaya kwenye uwanjaa huu.