Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,031
Hayo mtamalizana wenyewe huko-huko mlipoanzisha vita ya kwenye mitandao.Mh... Matusi na kashfa za uongo!
Naona habari ya wabunge wa viti maalumu imeback fire 🤣🤣🤣
Hayo mtamalizana wenyewe huko-huko mlipoanzisha vita ya kwenye mitandao.Mh... Matusi na kashfa za uongo!
Kumbe ni ni nani huyo asiye gusika?Unashahidi kuwa Ccm inaua na kuteka?
Halafu JF ndio wamejaa tele.yaani ukiwa mgeni Tanzania na ukaingia JF uijue unaweza kuogopa hats kutoka nje. Ila ukitoka nje ukaona na ukisikia ni tofauti na yasemwayo JF.Ustaarabu ni jambo la muhimu kwenye maisha ya kila siku. Iwe ni maisha ya kawaida au kisiasa.
Hakuna ubishi kuwa serikali ya CCM chini ya JPM inakubalika kwa wananchi. Hii ni kwa sababu imeweza kufanya kazi kubwa ya kutekekeza ilani ya uchaguzi vizuri.
Sasa ninyi Chadema mmekosa mahala ambapo mnaweza kuikosoa au kuinanga serikali ya CCM chini ya JPM. Mlichobakiza ni kuweka watu kwenye mitandao mbali mbali kama Twitter ili wawatukane na kuwakashifu viongozi wa Serikali.
Tunafahamu mnajua chama chenu kimefiliska kisiasa na sasa hakina muelekeo. Mlichobakiza ni kutumia wahuni kutukana na kutunga uongo kwenye mitandao ya kijamii.
Hili sio jambo jema hata kidogo na ni uthibitisho kuwa chama chenu ni chama cha wapenda vurugu na matusi. Na October ndio mwisho wa uhai wa chama chenu.
Kwani wabunge viti maalumu kunyanyaswa kingono ilikuwa uongo? Maana wao ndio walisema mbele ya waandishi wa habari haina uhusiano na kutukana viongozi mnakofanya.Hayo mtamalizana wenyewe huko-huko mlipoanzisha vita ya kwenye mitandao.
Naona habari ya wabunge wa viti maalumu imeback fire 🤣🤣🤣
Tulia dawa ikuingie.Kwani wabunge viti maalumu kunyanyaswa kingono ilikuwa uongo? Maana wao ndio walisema mbele ya waandishi wa habari haina uhusiano na kutukana viongozi mnakofanya.
Waendelee kutembea maana ni makubaliano ya wao na wake za watuSijawahi kusikia neno lolote la tusi toka kwa Zitto lakini kila anapokosoa mnamvua uraia mitandaoni na kashfa za kutunga kutembea na wake za watu
Tangu ujifungue una maneno ya kijingaUstaarabu ni jambo la muhimu kwenye maisha ya kila siku. Iwe ni maisha ya kawaida au kisiasa.
Hakuna ubishi kuwa serikali ya CCM chini ya JPM inakubalika kwa wananchi. Hii ni kwa sababu imeweza kufanya kazi kubwa ya kutekekeza ilani ya uchaguzi vizuri.
Sasa ninyi Chadema mmekosa mahala ambapo mnaweza kuikosoa au kuinanga serikali ya CCM chini ya JPM. Mlichobakiza ni kuweka watu kwenye mitandao mbali mbali kama Twitter ili wawatukane na kuwakashifu viongozi wa Serikali.
Tunafahamu mnajua chama chenu kimefiliska kisiasa na sasa hakina muelekeo. Mlichobakiza ni kutumia wahuni kutukana na kutunga uongo kwenye mitandao ya kijamii.
Hili sio jambo jema hata kidogo na ni uthibitisho kuwa chama chenu ni chama cha wapenda vurugu na matusi. Na October ndio mwisho wa uhai wa chama chenu.
Hiyo trillion 1.5 waliipiga Chadema?Kwani kuna chama umesikia kinalipa madeni hewa aliyotengeneza mwenyekiti wake zaidi ya Chadema?
Suala la Tril 1.5 lilipatiwa majibu bungeni na PAC. Sema wewe haufuatilii masuala ya kitaifa. Unajibu hoja kwa ushabiki tuHiyo trillion 1.5 waliipiga Chadema?
Waziri aliyetumbuliwa kwa ufisadi alikuwa wa Chadema?
Kwani wewe umesikia Chadema wana hati chafu Kama ccm? Kamuulize CAG atakwambia ni chama gani kinapiga pesa,usisikilize propaganda za yule waziri mtafuta fursa kupitia jina la MboweKwani kuna chama umesikia kinalipa madeni hewa aliyotengeneza mwenyekiti wake zaidi ya Chadema?