Osaka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 1,762
- 551
Propaganda machinery at work!
Kwani kuna mtu anataka kura? ndio maana mnagomea hata sensa kwa sababu ya uwezo wenu mdogo kufikiri plud shule hakuna!
achana na wapuuzi posho ya siku moja inawafanya bibi zao kufa pale hospitali ya mkoa karibu st patrice waende wakaone kinachoendelea waone moto pumbavu zaoKwani kuna mtu anataka kura? ndio maana mnagomea hata sensa kwa sababu ya uwezo wenu mdogo kufikiri plud shule hakuna!
hawawezi kuthubutu kutinga kati kati ya mji na upuuzi wao huo ndio maana wamepigia katika ofisi za chama chao kwanza hatutaki kura za mafisadi na hatutazipata kwa vyovyote vile sasa wanajipendekeza nini?well, inaonekana wamevaa/wamevalishwa Jezi na pia kwa nyuma hizo langi za kijani zinanilazimisha kuamini kwamba hayo maeneo ni ofisi za ccm, lakini ujumbe wa kutowapa kura ndio unaonichanganya zaidi, kura zipi? kuna mchakato utakaoishia na kupiga kura unaendelea hivi sasa? hata wao watampigia nani?
si sahihi mkuu tutulize jazba their job is to obey orders., to obey orders for people die that's all. wa kushughulikiwa ni watoa ordersSasa ni roho kwa roho, Polisi akiuwa raia mmoja, inapaswa wauwawe Polisi 5.