CHADEMA kushindwa vibaya serikali za mitaa

CHADEMA kushindwa vibaya serikali za mitaa

Saanane acha uongo kimsingi cdm imeshapotezwa na zzk. Mmebaki kudandia hoja tu kwa mbeleko ya ukawa.

Huna jipya zaidi ya kuwa shabiki maandazi! Zitto ndiye mdudu gani? Njoo kwetu magu uone huyo mdudu asivyo na umaarufu hata kidogo,alishasahaulika kitambo na sasa CDM/ukawa ndiyo habari ya mujini
 
hii inaonyesha ni kiasi gani CHADEMA inakubalika kila mahali mpaka humu JF mimi naamini CHADEMA ni chama chenye matunda mema kurushiwa mawe ni kawaida ccm uchaguzi huu mtakufa mlalo wa chali kifo cha mende.
 
Chama kina mfumo wa kanda ..kazi inaendelea.Usiwe nyuma ya wakati kiasi hiki.Leo Temeke kulikua na mkutano,Geita kulikua na Mkutano,Nyololo pia mikutano na huko Tanga kulikua na uchaguzi Leo.
Kiongozi bado unasimamia hii kauli yako kuwa Chama akina mfumo wa kanda!!

Mkishindwa kusimamia chaguzi za serikali za mitaa mtaweza mwakani ambako CCM itatumia kila hila kulinda ufisadi waliofanya wabakie madarakani
 
Badilisha heading yako isomeke Chadema yashinda sana Serikali za mitaa. Uongo wako umegonga mwamba! Molembe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom