CHADEMA kushindwa vibaya serikali za mitaa

CHADEMA kushindwa vibaya serikali za mitaa

Kama mbowe yuko bize selikari yako ya ccm huioni inafanya ujambazi kwa pesa umma fanya ubadilike na wewe yawezekana na mwizi.
 
Mie naamini watz wengi vijana wanaojitambua wanatoa mchango wa mawazo ktk kuboresha udhaifu uliopo.
Inashangaza vijana tunalalamika kuwa Chadema itapoteza kwenye uchaguzi wa serikali za mtaa,wakati vijana wenyewe hatuendi kujiandikisha na kupiga kura.
Unafikiri Mbowe au uongozi wote wa Chadema wa naweza kushinda pekee yao?
Wao wanachokifanya ni kuhamasisha baada ya kutoa elimu juu ya madudu yaliyopo serikalini.
Jukumu tunaachiwa sie wapiga kura kuibadilisha hii nchi.
Lakini tutabaki kukosoa tu na kuona kama wapinzani wameshindwa,kumbe ni kutokana na vijana wasiojitambua au wanaowasapoti mafisadi.
Tujielewe,uwajibikaji wetu katika kupiga kura ndo suluhu ya hii nchi na sio kuwalaumu wazalendo wa chama wanaojitoa maisha yap kuipigania hii nchi
 
Unapotoa hoja inabidi uifanyie uchunguzi je ni kweli kwamba ccm ndicho chama pekee kikomtaani,mwkt Mbowe hajazunguka mikoa ya Tabora,Rukwa,Kg ktk operation tokomeza ccm kisha akapokeza kijiti na katibu mkuu Dr Slaa na sasa ktb mkuu msaidizi kwa upande wa Zanzibar yuko mzugoni sema neno lingine
 
Nipo kijiji kabisa uru hakuna anayezungumzia ccm hata kikongwe ni CDM/UKAWA pekee
 
Chama kina mfumo wa kanda ..kazi inaendelea.Usiwe nyuma ya wakati kiasi hiki.Leo Temeke kulikua na mkutano,Geita kulikua na Mkutano,Nyololo pia mikutano na huko Tanga kulikua na uchaguzi Leo.

Saanane acha uongo kimsingi cdm imeshapotezwa na zzk. Mmebaki kudandia hoja tu kwa mbeleko ya ukawa.
 
Jaman kuzunguka mbuyu si vizur,kwa kwel ccm itashnda kwa asilimia 80, bila shaka kitendo cha wapizan kuungana wameharibu utamu wa biscut na watajutia hicho kitendo,nawapa pole chadema na cuf wote na wapizan kwa ujumla,
 
KUNA WATU HAWANA KAZI KABISA. ULIFANYA LINI RESEARCH?

Suala la kushindaama kushindwa litajulikanabaada ya matokeo. We endelea kuingiza chako mfukoni kwa kupiga porojo humu ndani. wenzako tutasema na KISANDUKU CHA KUPIGIA KURA.
Utafunga mwaka kwa kibarua kuota nyasi
 
maisha bl chama cha maescroow yanaenda bila shidaa na tena tujuandae kuzika mawazir wake weziii
 
kwa vyovyote patakuwa na great positive change kwa cdm ukilinganisha na chaguzi zlizopita ila uchaguzi wa 2015 CCM itafanywa kama Brazil ilivyofanywa
 
Wakishindwa huko kwenu wakachukua majimbo ya ubunge kwani kuna tatizo?
 
Sawa Sheikh Molembe Bin Yahaya
 
Last edited by a moderator:
Wamesoma alama za nyakati wanajua fika chadema wanakubalika kwao tu arusha na moshi
 
Muda wa mabadiliko jamani twapasa kujua tumechshwa na ahadi za kuwadanganywa wananchi kama watoto.Tufanye mabadiliko yatakayo leta uwazi na ukweli
 
Wakati katibu mkuu wa chama cha mafisadi (ccm) akifanya ziara na kuleta uhai wa chama ili kishiriki katika chaguzi za serikali za mitaa hapo mwishoni mwa mwaka CDM chenyewe kimesinzia kama si kulala usingizi wa pono haiwezekani chama kinafanya mikutano yao Dar es salaam na Arusha ambako kimsingi watu wameshazinduka, ni kwanini juhudi hizo zisielekezwe vijijini ambako ndo kuna wapiga kura wengi, sasa hivi chama kimekalia serikali tatu ambazo kimsingi haziwezi kusaidia kubadilisha matokeo serikali za mitaa, Madhara ya Kinana mtayaona hapo october kwenye uchaguzi serikali za mitaa endeleeni kulala.

Katibu mkuu wa chama cha mafisadi ana hela nyingi za kuzunguka, ni mzee wa kusakama wale wanyama wakubwa sana kama ng'ombe
 
Back
Top Bottom