CHADEMA kushindwa vibaya serikali za mitaa

CHADEMA kushindwa vibaya serikali za mitaa

Chama kina mfumo wa kanda ..kazi inaendelea.Usiwe nyuma ya wakati kiasi hiki.Leo Temeke kulikua na mkutano,Geita kulikua na Mkutano,Nyololo pia mikutano na huko Tanga kulikua na uchaguzi Leo.

Ben saa8 uchaguzi wa BAVICHA ni lini??
 
CHADEMA inahiraji sura mpya ya uongozi hili ndilo ninaloweza kusema,Akina Mbowe wapumzike sasa wakabidhi vijiti kwa wengine la sivyo future siyo nzuri huko tuendako.CHADEMA and UKAWA story is like grasping at straws!!!
 
hiyo mikutano na chaguzi ni ya ndani au hadhara? mbona kwenye media hatusikii na kuona kama cdm wanafanya hayo yote, au ndo wamebadili strategy?

SP

ulitaka uone kupitia hizi media za mafisadi ya ccm? Nipo mwanza na tunasubiri muda tu!
 
CHADEMA inahiraji sura mpya ya uongozi hili ndilo ninaloweza kusema,Akina Mbowe wapumzike sasa wakabidhi vijiti kwa wengine la sivyo future siyo nzuri huko tuendako.CHADEMA and UKAWA story is like grasping at straws!!!

tulia wewe gamba!
 
CDM inawafanyia mbaya sana CCM.Viongozi wa kitaifa wapo kimya lakini kuna vijana wanavuruga vijijini vibaya mno
 
Anayepoteza muda kwa kufikiri chadema kitafanya vizuri katika chaguzi anahitaji maombi, chama kimekwisha iliyobaki ni propaganda tu za viongozi na wapambe wao.
 
Ukweli ni kwamba CHADEMA itapata vitongoji na vijiji kuzidi inavyovishikiria kwa sasa isipokuwa haitaishinda CCM kutokana na propaganda za CCM ilizozijaza kwa wananchi wa vijijini ambao wengi wao wana elimu duni.
 
Tatizo la watu ni kukariri vibaya, wanafikiri CDM kufanya kazi ni mpaka DR.Slaa au Mbowe awe ziarani. Decentralization inafanya kazi. tulieni.
 
Ccm ina nafasi sana vijijini kuliko chama chochote kile na sijaona kiongozi yeyote wa upinzani ambaye anaweza kupewa nafasi kubwa kama ya uraisi nchini tz kidogo wange mteuwa zito kabwe lakini hawa wengine wana wapakuliya ccm tu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
ccm ina nafasi sana vijijini kuliko chama chochote kile na sijaona kiongozi yeyote wa upinzani ambaye anaweza kupewa nafasi kubwa kama ya uraisi nchini tz kidogo wange mteuwa zito kabwe lakini hawa wengine wana wapakuliya ccm tu

sent from my blackberry 9320 using jamiiforums

mi ccm bhana. Yhani mipango yenu ovu ya lumumba ndo unaitapika apa?? Elewa sasa ivi mpango ni ukawa. Apo chadema inatoka wapi ??
 
ccm ina nafasi sana vijijini kuliko chama chochote kile na sijaona kiongozi yeyote wa upinzani ambaye anaweza kupewa nafasi kubwa kama ya uraisi nchini tz kidogo wange mteuwa zito kabwe lakini hawa wengine wana wapakuliya ccm tu

sent from my blackberry 9320 using jamiiforums

mi ccm bhana. Yhani mipango yenu ovu ya lumumba ndo unaitapika apa?? Elewa sasa ivi mpango ni ukawa. Apo chadema inatoka wapi ??
 
Kweli LA INI kwa mfano huku kilindi Tanga no CCM turn hakuna mpinzani
 
Kwa Arusha lawama zote zimwendee Mbunge Lema kwa kushindwa kutekeleza ahadi alizoahidi kuzitekeleza hapo 2010 mfano machinga com, Hospitali ya kinamama na watt, Trekta, Gari la Wagonjwa na kusomesha watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi kwa kushindwa kutekeleza ahadi hizi ni shida sana cdm kushinda kwenye chaguzi za serikali za mitaa hapo trh 14/12/2014
 
Nifahamisheni wadau kuhusu uandikishaji wa Manuka ya wananch Kafka chaguz ndogo za serkar ya mitaaa
 
hata me inatia mashaka chama hakionyeshi jitihada za kusonga mbele, wahusika mje mjibu maswali hapa yanawahusu,,mna mpango gn?

ziwe tatu,mbili,moja au kumi mwananchi wa chini anachotaka ni maendeleo mbowe yuko bize kugawana vyeo tu. Ha ha ha!
 
Back
Top Bottom