Itakua miujiza,mimi ni CHADEMA Lakini kwa hapo nahisi hata management ya CHADEMA Imeliona hilo ndio maana haijatumia nguvu nyingi za Kipesa kwenye kampaini kama ilivyokuwa KALENGA,walichokifanya ni kuonyesha chama kina uhai na kama marketing tools ya kukitangaza chama eneo hilo ambalo dorminant wake ni MACCM