Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,684
- 26,176
Zile kesi zao za ICC zimeishia wapi?Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA Mh. Freeman Mbowe amesema watapeleka malalamiko yao kuhusu kupigwa kwa Tundu Lissu Mbunge wa Singida Mashariki na watu wengine wanaopotea kwa UN na Jumuiya ya Kimataifa dhidi ya Serikali.