CHADEMA kupeleka malalamiko yao UN na Jumuiya ya Kimataifa shambulio la risasi Mbunge Tundu Lissu

Haya si mambo ya kushabikia
ni hatua mbaya sana kwa taifa, wapinzani nadhani si kwamba wanaichukia nchi kama inavyopotoshwa bali hawana imani na mamlaka husika huku ndani na ndo maana wanaamua kwenda nje kwa mamlaka nyingine,
kwa wale wenye uelewa kidogo juu ya uwekeza na wawekezaji kutoka nje, wenye uhuru wa akili juu ya diplomasia lazima washutuke, lakini ukiwa na watu ambao akili zao hazina visa ya kuvuka mipaka hawawezi kuona hatari iliyoko mbeleni,
hii nchi si kisiwa, hii bado change kimaendeleo ingawa ni kubwa kiumri, hii nchi inahitaji marafiki, hii nchi inahitaji umoja na mshikamano wa humu humu ndani na nje ya nchi, anapotoka mtu akataka kutugawa kwa sababu tu ya kuwaza kinyume na anayowaza lazima tukae kutafakari upya maamuzi yetu, lakini niseme kwamba maendeleo yetu hayawezi kuletwa na wanafiki, wambea na waoga, maendeleo yetu yataletwa na watu majasiri.
Ujasiri wa kutetea mabeberu au?? Hatuhitaji wasaliti hapa TZ kamwe!!
 
Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA Mh. Freeman Mbowe amesema watapeleka malalamiko yao kuhusu kupigwa kwa Tundu Lissu Mbunge wa Singida Mashariki na watu wengine wanaopotea kwa UN na Jumuiya ya Kimataifa dhidi ya Serikali.

- UN ya wapi hiyo inayosikiliza habari bila evidence?

le Mutuz
 
Haya si mambo ya kushabikia
ni hatua mbaya sana kwa taifa, wapinzani nadhani si kwamba wanaichukia nchi kama inavyopotoshwa bali hawana imani na mamlaka husika huku ndani na ndo maana wanaamua kwenda nje kwa mamlaka nyingine,
kwa wale wenye uelewa kidogo juu ya uwekeza na wawekezaji kutoka nje, wenye uhuru wa akili juu ya diplomasia lazima washutuke, lakini ukiwa na watu ambao akili zao hazina visa ya kuvuka mipaka hawawezi kuona hatari iliyoko mbeleni,
hii nchi si kisiwa, hii bado change kimaendeleo ingawa ni kubwa kiumri, hii nchi inahitaji marafiki, hii nchi inahitaji umoja na mshikamano wa humu humu ndani na nje ya nchi, anapotoka mtu akataka kutugawa kwa sababu tu ya kuwaza kinyume na anayowaza lazima tukae kutafakari upya maamuzi yetu, lakini niseme kwamba maendeleo yetu hayawezi kuletwa na wanafiki, wambea na waoga, maendeleo yetu yataletwa na watu majasiri.
Unaongeavujasiri up wakati unaogopa mabadiliko, kwamba uchumi na MAENDELEO ya nchi yaendelee kuendeshwa na mabaki ya pesa chafu za wauza bangi na mihadarati?! Tulikofikia hatuwezi kurudishwa Tena nyuma. You are either with us or our enemies.
Soma mada kwa makini
 
Unaongeavujasiri up wakati unaogopa mabadiliko, kwamba uchumi na MAENDELEO ya nchi yaendelee kuendeshwa na mabaki ya pesa chafu za wauza bangi na mihadarati?! Tulikofikia hatuwezi kurudishwa Tena nyuma. You are either with us or our enemies.

nonsense nonsense nonsense.
Not too far, we are too close to call.
just hold and check how things will be tested in blue flame.
The best answer to stupid people is to ignore them.
 
Yaaani Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Kimataifa iache kushughulikia mzozo wa Rohingya kule Myanmar, madhara ya vimbunga Irma na Maria, tishio la silaha za kinuklia za Korea Kaskazini, na majanga mengineyo, washughulishwe na uvamizi wa Lissu? Kweli Mbowe atawale chadema milele....
Yaani UN sasa kazi kubwa ni kushughulikia ujambazi unaotokea ktk nchi mbalimbali. Hawa CHADEMA kweli wamekosa la kufanya
 
Yamekua hayo; hao jamaa si juzi tu wamesema tunaundugu na NK, wakipelekewa hili nalo watatuelewaje?
 
Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA Mh. Freeman Mbowe amesema watapeleka malalamiko yao kuhusu kupigwa kwa Tundu Lissu Mbunge wa Singida Mashariki na watu wengine wanaopotea kwa UN na Jumuiya ya Kimataifa dhidi ya Serikali.
Hii imechelewa sana walipaswa wawe wemeishitaki serikali ya visasi, kukomoana kuwabambikia kesi mapema pengine hata Lisu asingepigwa Risasi na Maliyamungu Bashite, Unyanyasaji huu umeanza kipindi na pesa za misaada toka nje na Kodi anapewa Lipumba azitumie kwa mambo ya hovyo hovyo huku wakimlinda kwa gharama kubwa.
 
Back
Top Bottom