CHADEMA kupeleka malalamiko yao UN na Jumuiya ya Kimataifa shambulio la risasi Mbunge Tundu Lissu

Yaaani Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Kimataifa iache kushughulikia mzozo wa Rohingya kule Myanmar, madhara ya vimbunga Irma na Maria, tishio la silaha za kinuklia za Korea Kaskazini, na majanga mengineyo, washughulishwe na uvamizi wa Lissu? Kweli Mbowe atawale chadema milele....
Umenena vyema mkuu .....hta ripoti ya waliomshambulia LISU haijatoka mna kimbikia UN...wakati serikali ikimuhitaji dereva wa lisu ili ijiridhishe na upelelezi mnamficha....hakuna anayependa kilichotokea kwa lisu ila SUBIRA MUHIMU kwnz tusubiri majibu ya upelelezi wa POLICE....
 
Building caste in the Air, and also maybe creating a smoke screen to cover up their bad deeds or involvement in the Lissu saga.

CROCODILE TEARS
 
Huyu Mbowe sjui kawafanya nn hawa vijana wa BAVICHAAAA kwanza watwambie kesi ya Maalim Seif huko ICJ imeishia wapi au bado wanangoja aapishwe?
 
Ni ujuha kutegemea UN wakusaidie....dunia ya leo kila mtu atapambana na hali yake.

Yule bibi anayewanyanyasa wa Rohingya alishwahi pewa tuzo na hizo jumuiya za kinafiki za kimataifa.

Kamuulize Kenyatta, Luto, Charles Tayllor and others wakwamibie habari ya UN. Usisahau na Nkulunziza kumuuliza yanayomsibu na UN.
 
Yaaani Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Kimataifa iache kushughulikia mzozo wa Rohingya kule Myanmar, madhara ya vimbunga Irma na Maria, tishio la silaha za kinuklia za Korea Kaskazini, na majanga mengineyo, washughulishwe na uvamizi wa Lissu? Kweli Mbowe atawale chadema milele....
Ukiwa Chadema unatakiwa kuwa mpumbavu...
 
mh mbowe hatutakii mema taifa letu sioni haja ya kwenda UN kushitaki ingekua vema waka muhudumia mgonjwa kisha mambo mengine wakayamaliza ndani ya nchi, akishasema inasaidia nini?
 
Jana kwake kesho kwako sawa na kuni Kavu kuicheka kuni mbichi haya kuhusu Leo kesho yatakuhusu
 
Naunga mkono hoja ya kumbaini muarifu yoyote dhidi ya lissu atagutwe kwa garama zozote lakini hofu yangu ni viongozi wetu Wa upinzani wamekuwa na matamko yasiyo na mlejesho hivyo napta shida sana kujua ni kweli anayo sema mbowe yatatekelezeka au....wapinzani wenzangu bila kuwa na ngozi ngumu na kufanya maamuzi magumu haya maccm yatatuchezea Dana sasa ni wakati wa siasa za MTU kwa mtu
 
Ni ujuha kutegemea UN wakusaidie....dunia ya leo kila mtu atapambana na hali yake.

Yule bibi anayewanyanyasa wa Rohingya alishwahi pewa tuzo na hizo jumuiya za kinafiki za kimataifa.
mbona kila siku mnahangaika kuomba misaada, juzi nasikia mmesamehewa deni brazil kwanini msipambane na hali yenu
 
safi, ni hatua nzuri ya kupaza sauti ili mataifa waskie, maana humu ndani ni kama kumpigia mbuzi kitaa
ICJ imeishia wapi vile mkuu?? Maalim Seif kafikia wapi mpaka sasa??

hao mnaowaabudu hawana impact yoyote as long as hawana maslahi wanayoyapata kupitia hiko mnachokitaka wawasaidie.
 
Haya si mambo ya kushabikia
ni hatua mbaya sana kwa taifa, wapinzani nadhani si kwamba wanaichukia nchi kama inavyopotoshwa bali hawana imani na mamlaka husika huku ndani na ndo maana wanaamua kwenda nje kwa mamlaka nyingine,
kwa wale wenye uelewa kidogo juu ya uwekeza na wawekezaji kutoka nje, wenye uhuru wa akili juu ya diplomasia lazima washutuke, lakini ukiwa na watu ambao akili zao hazina visa ya kuvuka mipaka hawawezi kuona hatari iliyoko mbeleni,
hii nchi si kisiwa, hii bado change kimaendeleo ingawa ni kubwa kiumri, hii nchi inahitaji marafiki, hii nchi inahitaji umoja na mshikamano wa humu humu ndani na nje ya nchi, anapotoka mtu akataka kutugawa kwa sababu tu ya kuwaza kinyume na anayowaza lazima tukae kutafakari upya maamuzi yetu, lakini niseme kwamba maendeleo yetu hayawezi kuletwa na wanafiki, wambea na waoga, maendeleo yetu yataletwa na watu majasiri.
Akili za nyumbu utaziona . Hamad eti alikwenda nje kutafuta Urais Zanzibar haya ndio ya mwenyekiti anayotudsnganya nayo . Awamu ya tano kila goti litapigwa
 
Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA Mh. Freeman Mbowe amesema watapeleka malalamiko yao kuhusu kupigwa kwa Tundu Lissu Mbunge wa Singida Mashariki na watu wengine wanaopotea kwa UN na Jumuiya ya Kimataifa dhidi ya Serikali.

Naona leo umevuna post zote hizi!Mh! Hongera
 
Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA Mh. Freeman Mbowe amesema watapeleka malalamiko yao kuhusu kupigwa kwa Tundu Lissu Mbunge wa Singida Mashariki na watu wengine wanaopotea kwa UN na Jumuiya ya Kimataifa dhidi ya Serikali.
Wakumbuke kuwa kuna references za CHADEMA kuwaomba hao wa kimataifa watukatie MISAADA lakini wakapuuzwa.... wakumbuke speech zao za kuhamasisha Vurugu za kuvuruga amani na kushabikia mauaji ya kibiti pia bado zipo.... Si waombe ukimbizi KENYA!
 
Back
Top Bottom