CHADEMA kupeleka majina mengine ya wabunge Viti Maalum Bungeni

PNC

JF-Expert Member
Feb 3, 2015
8,107
14,352
CHADEMA kupeleka majina ya wabunge Viti Maalum Bungeni pamoja na kuanza kuchukua ruzuku ambayo wameigomea kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa.

Bunge kuridhia Halima Mdee na wenzake kuondolewa bungeni baada ya kikao cha Baraza kuu kutupilia mbali rufaa zao keshokutwa.

Chanzo: Darmpya
 
Back
Top Bottom