Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
Aige ukerewe na Musoma mjini mbona wao wanafanya kazi za Taifa na JiMboni ?
Sasa NewVision umeenda mbali mgekuwa mnawadai maendeleo kiasi hicho wabunge wa CCM ambao wengine wamekaa zaidi ya miaka 20 na zaidi si mngekuwa mbali sana, sugu ana miaka mingapi mpaka umshutumu kiasi kile, hizo barabra mmekuwa nazo hivyo kwa mda gani? Hao ma RC na wakurugenzi dyanamic si ndo walio ibua vurugu na machinga Sugu akatuliza? Wewe si chadema umedandia mjadala go to hell, Sugu sisi tunamkubali!