MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,194
Hiki chama kinaongozwa na watu waonabadililika kimisimamo kila mara ambao hawatumii busara kufikia maamuzi. Hukumu iliyoufuta ubunge wa Lema ilipotolewa ilipokelewa na tamko la Lema kuwa atagombea katika uchaguzi mdogo ujao kwa hiyo hatakata rufaa, akielewa rufaa yaweza kuchukuwa muda mrefu kabla ya kufikiwa kwa hukumu husika. Pia alidai kama rufaa ikichukuwa muda mrefu atakuwa amewakosesha wana AR town uwakilishi bungeni.
Majuzi Mbowe kamgeuka Lema na kutoa tamko la kusudio la kukata rufaa; wenye akili tumeshangaa huu msimamo unatoka wapi na kwa maslahi ya nani???
Eleweke kuna mlolongo mkubwa hadi kuanza kusikilizwa rufaa, yaweza kufikia muda wa kikomo kesi za uchaguzi mkuu utafika pasipo AR town kupata mwakilishi wa mjengoni.
Viongozi wa CDM tuimieni BUSARA kwa manufaa ya wananchi wa AR town.
Majuzi Mbowe kamgeuka Lema na kutoa tamko la kusudio la kukata rufaa; wenye akili tumeshangaa huu msimamo unatoka wapi na kwa maslahi ya nani???
Eleweke kuna mlolongo mkubwa hadi kuanza kusikilizwa rufaa, yaweza kufikia muda wa kikomo kesi za uchaguzi mkuu utafika pasipo AR town kupata mwakilishi wa mjengoni.
Viongozi wa CDM tuimieni BUSARA kwa manufaa ya wananchi wa AR town.