goggles
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,417
- 2,356
1. KubeneaMsigwa na kubenea sina imani nao sana
2. Bulaya
3. Selesini
4. E. Matiko
Hao wameanza na mazoezi ya kujiunga na chama cha mapinduzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
1. KubeneaMsigwa na kubenea sina imani nao sana
Nashangaaa sana kuona eti watu kama aina ya Mbowe anadai Demokrasia wakati kwake atakayempinga anapewa sifa ya kuitwa Msaliti, Masalia n.k.Sawa Sawa Acha Tuone.
Kauli Za Waoondoka Baadhi Yao Hawajielewi
Unasema Siasa Sasa Basi, Mara Sitaki Kuwa Na Chama Mara Oops
Nilikaa Bila Chama Siwatendei Haki Watanzania
Kubenea alishasema hawezi kutelekeza mafao yake. Atahama baada ya bunge kuvunjwa.Msigwa na kubenea sina imani nao sana
Jee unajua sababu ya yeye kumwagwa nafasi ya KM?Kwanini hii intelijensia haikutwambia mapema kuwa Mashiji na wenzie watahama chama nakujiunga CCM?
Sent from my iPhone using Tapatalk
CHADEMA asilia watabaki lakini mamluki kama akina mashinji lazima watawafuata. CCM inapanda mbegu mbaya sana shimo hili wanalochimba watatumbukia wenyewe mark my word
Huyu Kigaila hapendagi ujinga ujinga sijui ni mchaga wa wapi huyu au ni mgogo?!Siku kadhaa zimepita tangu nilipokutana na Prof. Abdallah Safari maeneo ya Posta Dar es salaam ambaye pamoja na kusema anahama Chadema wakati wowote alimtupia lawama Mhe. Mbowe na kikundi chake cha kina Sugu, Msigwa, Mdee, Lema na wengineo kuwa wanakiharibu chama. (Nisiingie kwa undani kuhusu hilo maana sio lengo la thread hii) lakini Prof akatoa 'compliment' kwa ndugu Kigaila kwa kusema kwa kimombo...'he is excellent'!
Wakati mwingine nilikuwa Dodoma kikazi ikawa kama coincidence nilikutana na Cecil Mwambe ambaye na yeye pamoja na mameno yake kufanana na ya Prof lakini alisema Kigaila ndio mtu pekee ambaye angeweza kukiunganisha Chama na kwamba ni mtu asiyefisadika!
Baadhi ya wajumbe wa Kamati kuu kwa nyakati tofauti walionekana 'kumpenda' Kigaila.
Kigaila ana nini? Kwa nini wote wanaoondoka Chadema na wenye mpango wa kuondoka Chadema wanasema wasingeondoka kama Kigaila angekuwa Mwwnyekiti Chadema?
Sent using Jamii Forums mobile app