Usiwalaumu bure wachangia mada, ye mleta mada kwanini kwanini asimtaje huyo mama au kwanini hakumpa namba ya watu watu wanaofahamika kama akina mnyika, makene, zitto, wenje, heche nk..kiujumla ni MUONGO!!Kuna watu tunapenda vibaya sana!kwan viongoz wa chadema ni malaika?mtawatisha watu wasitoe uozo wakiuona hayo makosa ya lugha ni kitu kidogo suala ni kufanya uchunguz kama ni kweli hiyo tuhuma?otherwise mnatupeleka kulekule kwenye mbinu za ccm kila tuhuma wao ni lete ushahid au ni majungu..
kuna viongozi wana njaa sana hapo makao makuu yenu,ndugu yangu anaishi nje ya nchi na wanataka kusaidia kujenga chama kwa watanzania wanaoishi pale,nimempa contact kiongozi mmoja wa Chadema mwanamke eti amemwambia ndugu yangu huyo atampa kadi 10 za bure halafu kila kadi na katiba watakayoitaji atawatoza 10usd??????????????????huu ni upuuzi uliokithiri,hata kama ccm tumechoka nao angalieni sana kuna watu hapo njaa zinawasumbua na watawaletea matatizo lazimaaa shauri yenu,ndugu yangu amekata tamaa na ameachana na upuuzi wa kumtengenezea mtu pesa
Huyu anayeongea haya ni shabiki wa Chadema refer post zake za nyuma.
Chama cha msimu
mkuu ulitaka tukae kimya?mimi ni mwanachama hai wa chadema ndio maana nasema haya hadharani kwa kuwa nakitakia mema chama changu,nyie ccm mmezoea kuficha maovu ndio maana moto unawawakia
Mkuu episodes mimi nakuamini kwasababu hapa jamvin hata comment zako huwa naziona lakini nafikiri ni vyema kuwareport ili wachukuliwe hatua nafikiri wanaishi karibu na lumumba hao ndio maana wana tabia mbovu hivyomimi nashangaa sana na hawa washabiki wa chadema,mimi sio shabiki mimi ni real,hawa viongozi hawajatoka mbinguni,wala sio watakatifu,na kwa taarifa ya wanachadema wote ni kwamba viongozi wote wa chadema walikuwa ccm mwanzoni,tuhuma kama hizi nilifikiri zitafanyiwa kazi na uongozi na kuandaa idara maalamu ya kushughulikia watanzania wanao ishi nje ya nchi
mimi nashangaa sana na hawa washabiki wa chadema,mimi sio shabiki mimi ni real,hawa viongozi hawajatoka mbinguni,wala sio watakatifu,na kwa taarifa ya wanachadema wote ni kwamba viongozi wote wa chadema walikuwa ccm mwanzoni,tuhuma kama hizi nilifikiri zitafanyiwa kazi na uongozi na kuandaa idara maalamu ya kushughulikia watanzania wanao ishi nje ya nchi