CHADEMA kuna Ombwe la Uongozi

CHADEMA kuna Ombwe la Uongozi

Sasa wewe inaonesha ni sawa na mtu aliyekuwa njia panda haelewi afanye nini, maana kwa hali ilivyo tunahitaji kufanya uamuzi wa nani anakuwa rais, kwa kuwa hujaniambia hasa unachokilalamikia ni nini, bila ya kujua njia ya kutatua. Mf ukisema huna pesa, inajulikana watu watakutafutia kazi, sasa unalalamika halafu kichwani kwako hujui hata cha kufanya. Umesema wewe siyo PRO wa Lowassa wala Magufuli, sasa hizo taarifa ulizozitoa ya kwamba wao ni wezi umezitoa wewe kama nani, hakimu au polisi?

Kwa hiyo kwa kunipa kazi ndiyo niipigie CCM au Magufuli???Hivi kujua kwamba mtu mwizi mpaka umuoane anaiba??Hivi Audit report inaposema wizara ya Ujenzi imelipa Bilioni 262 Wakandarasi hewa maana yake nini???SIyo pesa zimepigwa???Waziri wa ujenzi alijikatia ngapi??Maana nina uhakika ndiye aliyeidhinisha malipo au??Ili labda kama wewe ni mfanyakazi wa serikali utatueleza namna pesa nyingi kama hizi zikitoka nani anaziidhinisha....

Pili hivi unapotoa idhini kuuzwa nyumba za serikali na nyingine ungawa kwa ndugu na jamaa unataka tukuone wewe ni mwema mno au???

Hivi unaponunua meli isiyotembea kwa bilioni 8,meli ya mwaka 1970 wakati Azam ananunua Brand new kwa bilioni 6,nani muidhinishaji ni waziri wa ujenzi,tufikirire nini???

Sina PHD lakini nina imani 2+2=4, na 1+1 =2 japo 2x2=4 lakini 1x1 si 2....

Pole sana siyo Pro-Lowassa wala Pro-Magufuli,sababu wote wawili ni wachafu,lakini kama Mtanzania nimeambiwa nichague kati ya wachafu wawili hawa.Basi bado sijaamua nani wa kumchagua lakini siwezi kuipoteza kura yangu kwa kuipigia KURA CCM,hivyo basi sina sababu ya kusema nitampigia KURA Magufuli ambaye leo amejitanabaisha kwamba na yeye pia anaizimia M4Chadema
 
Hivi Mbunge anapoingia BUNGENI akiwa na asilimi 100 ya kuingia huko kwa kutumia RUSHWA tumuitaje?Tumuite SHUJAA au???

Ni vyema mtu akanishika MASIKIO kuliko wewe uliyeshikwa UBONGO maana hata kufikiri ni sifuri.Pole.

For your information mimi siyo Pro-Lowassa wala Pro-Magufuli kwangu mimi wote hawa wawili ni wezi,huyu mmoja anajulikana na huyu mwingine amejivika NGOZI ya kondoo.Usilolijua ni kama usiku wa kiza.

Bora huyu anayejulikana ni rahisi kumcontroll kuliko huyu aliyevaa ngozi ya kondoo.

Pole sana.

Uwezo wako wa kufikiri ndiyo umeshia hapo?
 
Kwa hiyo kwa kunipa kazi ndiyo niipigie CCM au Magufuli???Hivi kujua kwamba mtu mwizi mpaka umuoane anaiba??Hivi Audit report inaposema wizara ya Ujenzi imelipa Bilioni 262 Wakandarasi hewa maana yake nini???SIyo pesa zimepigwa???Waziri wa ujenzi alijikatia ngapi??Maana nina uhakika ndiye aliyeidhinisha malipo au??Ili labda kama wewe ni mfanyakazi wa serikali utatueleza namna pesa nyingi kama hizi zikitoka nani anaziidhinisha....


Pili hivi unapotoa idhini kuuzwa nyumba za serikali na nyingine ungawa kwa ndugu na jamaa unataka tukuone wewe ni mwema mno au???

Hivi unaponunua meli isiyotembea kwa bilioni 8,meli ya mwaka 1970 wakati Azam ananunua Brand new kwa bilioni 6,nani muidhinishaji ni waziri wa ujenzi,tufikirire nini???

Sina PHD lakini nina imani 2+2=4, na 1+1 =2 japo 2x2=4 lakini 1x1 si 2....

Pole sana siyo Pro-Lowassa wala Pro-Magufuli,sababu wote wawili ni wachafu,lakini kama Mtanzania nimeambiwa nichague kati ya wachafu wawili hawa.Basi bado sijaamua nani wa kumchagua lakini siwezi kuipoteza kura yangu kwa kuipigia KURA CCM,hivyo basi sina sababu ya kusema nitampigia KURA Magufuli ambaye leo amejitanabaisha kwamba na yeye pia anaizimia M4Chadema

BASI KAMA NI HIVYO, WALIOTUAMINISHA 1+1=2
Ndio hao walionifanya mimi nisimchague tena Lowasa, na kwa kuwa Lowasa yupo CDM na UKAWA, sioni haja ya kuwaunga mkono, maana kama umekubali kuongozwa na mvuta bangi lazima na wewe utakuwa mvuta bangi. Mara kumi uishi na wavuta bangi unaweza usivute bangi
 
BASI KAMA NI HIVYO, WALIOTUAMINISHA 1+1=2
Ndio hao walionifanya mimi nisimchague tena Lowasa, na kwa kuwa Lowasa yupo CDM na UKAWA, sioni haja ya kuwaunga mkono, maana kama umekubali kuongozwa na mvuta bangi lazima na wewe utakuwa mvuta bangi. Mara kumi uishi na wavuta bangi unaweza usivute bangi

Kwa hiyo inamaana kuishi na Mbwia unga kutakufanya na wewe usibwie UNGA???Sidhani.

Ila nina IMANI kwamba MTU MBAYA mungu aweza kumgeuza kama akiamua kuacha yale mabaya na akawa mtu mzuri kabisa.Na ndiyo maana leo WAKRISTU tuna mtu alikuwa MUAJI mkubwa wa wakristu kwa jina la SAULI/SAULO inategemea lafudhi tu,mtu huyu alipofushwa na akabadilishwa kuwa MTANGAZA INJILI na mwisho akawa MTAKATIFU leo tuna mwita Mtakatifu Paulo Mtume.Upo kaka!!!!!!!!!!!!!!

Hata mwizi akitubu kwa dhati na kuomba Muumba wake amasaidie kubadilika,atabadilika tu na kuwa mtu mwema.
 
Kwa hiyo inamaana kuishi na Mbwia unga kutakufanya na wewe usibwie UNGA???Sidhani.

Ila nina IMANI kwamba MTU MBAYA mungu aweza kumgeuza kama akiamua kuacha yale mabaya na akawa mtu mzuri kabisa.Na ndiyo maana leo WAKRISTU tuna mtu alikuwa MUAJI mkubwa wa wakristu kwa jina la SAULI/SAULO inategemea lafudhi tu,mtu huyu alipofushwa na akabadilishwa kuwa MTANGAZA INJILI na mwisho akawa MTAKATIFU leo tuna mwita Mtakatifu Paulo Mtume.Upo kaka!!!!!!!!!!!!!!

Hata mwizi akitubu kwa dhati na kuomba Muumba wake amasaidie kubadilika,atabadilika tu na kuwa mtu mwema.
Saw, ila kama mwizi akitubu anasamehewa, mbona mahakamani hawamsamehi, wewe siyo Mungu useme kwa kuwa umesamehe wewe na wengine watasamehe, hakuna hiyo kitu.
 
Saw, ila kama mwizi akitubu anasamehewa, mbona mahakamani hawamsamehi, wewe siyo Mungu useme kwa kuwa umesamehe wewe na wengine watasamehe, hakuna hiyo kitu.

Umesema vyema sana mimi siyo Mungu na wewe siyo Mungu pia.Na wao siyo Mungu pia.Kama aliiba sioni sababu gani CCM hawakumpeleka mahakamani mpaka alipohama chama.

Nikitafakari kwa kina naona giza nene lililofunika sakata zima la Richmond.Ningependa liwekwe wazi zaidi na hata lile la Escrow pia lifanyiwe vivyo hivyo.

Kwa sasa tunahitaji chama kitakachofanya kinachoamini ni sahihi .Kurekebisha mfumo mzima wa serikali yetu.Ni mbovu, mchafu haufai.Na kwa uhakika kabuki sa Magufuli hawezi.Pamoja na kwamba anajua namna wanavyopiga pesa za umma.
 
Umesema vyema sana mimi siyo Mungu na wewe siyo Mungu pia.Na wao siyo Mungu pia.Kama aliiba sioni sababu gani CCM hawakumpeleka mahakamani mpaka alipohama chama.

Nikitafakari kwa kina naona giza nene lililofunika sakata zima la Richmond.Ningependa liwekwe wazi zaidi na hata lile la Escrow pia lifanyiwe vivyo hivyo.

Kwa sasa tunahitaji chama kitakachofanya kinachoamini ni sahihi .Kurekebisha mfumo mzima wa serikali yetu.Ni mbovu, mchafu haufai.Na kwa uhakika kabuki sa Magufuli hawezi.Pamoja na kwamba anajua namna wanavyopiga pesa za umma.

Lazima uone giza kwani ni akina nani waliomtuhumu ENL kuwa ni fisadi kama si Mbowe, Slaa, Lissu, Mbatia, Mdee, Mnyika na wengine ambao leo wanamuona shujaa. Tulitegemea wao ndio wampeleke mahakamani, maana wao ndio walituonesha vithibitishi. Na CCM haikumkata ENL isipokuwa alikuwa na kashfa chafu, ndiyo maana. Si kwa sababu hizo mnazozifikiria nyie
 
Lazima uone giza kwani ni akina nani waliomtuhumu ENL kuwa ni fisadi kama si Mbowe, Slaa, Lissu, Mbatia, Mdee, Mnyika na wengine ambao leo wanamuona shujaa. Tulitegemea wao ndio wampeleke mahakamani, maana wao ndio walituonesha vithibitishi. Na CCM haikumkata ENL isipokuwa alikuwa na kashfa chafu, ndiyo maana. Si kwa sababu hizo mnazozifikiria nyie

na kama kweli mnania ya kubadilisha serikali chafu, na mfumo wake, je mamvi ni serekali ,pya??? au ileile ya zamani chafu?? tusing'ang'anie tu kuitoa madarakani ccm, tuangalie tu na factors zingine
 
na kama kweli mnania ya kubadilisha serikali chafu, na mfumo wake, je mamvi ni serekali ,pya??? au ileile ya zamani chafu?? tusing'ang'anie tu kuitoa madarakani ccm, tuangalie tu na factors zingine

Wao wanataka serikali safi, wachukue mifyagio wakasafishe, lakini kama wanataka kumpa IKULU ENL, serikali itakuwa siyo tu chafu, bali itakuwa Dampo, na dampo halisafishiki.
 
I thought kwa CHADEMA kuwa na ''ombwe la uongozi'' ni jambo jema sana kwa CCM maana kila siku tunasema ''adui yako muombee njaa''. Lakini mbona sasa wanaCCM ndo wapo mbele kupiga kelele kwamba kuna shida CHADEMA? Si mfurahie tu kwamba ndio mwanzo wenu kupiga bao? kelele za nini?

I thought pia kwamba CCM ndio kwenye ombwe la uongozi. Chama ambacho wasomi wamekikacha na watu kama Juliana, na Kibajaji ndio wanaokitetea. Chama ambacho mwenyekiti wake analialia jukwaani akibishana na kutupiana maneno na watu wa kawaida kama Lissu. Nadhani saa kila mtu afikirie kivyake na tukutane 25th October
 
Wewe hautakuwa wa Kwanza kuniona Mimi ni mnafiki, lakini pia hautakuwa wa Mwisho, wapo waliokutangulia na wapo watakaufuata baada yako.lakini HOJA yangu itabaki imara na haitabadilika kuwa CHADEMA kuna OMBWE la UONGOZI..ni hoja ambayo nimeisema na kuisimamia tangu nikiwa CHADEMA na nitaendelea kuisema na kuisimamia hata sasa..

Mimi sio katika wale ambao wanataka UPINZANI ufe kabisa, na wala sio katika wale wanaoamini kuwa salama ya CCM ni Upinzani dhaifu..mimi naamini kuwa NGUVU ya CCM, Uimara wake na UTENDAJI wake utakuwa bora zaidi kukiwepo Upinzani Madhubuti, ambao utawakumbusha CCM wanapojisahau..

Mimi ni MwanaCCM, tena sio tu mwanachama bali ni Mtumishi wa CHAMA, naamini katika CCM lakini kama nilivyotangulia kusema kuwa SIAMINI kuwa salama ya CCM ama ya TANZANIA ni kufa kwa Upinzani...siamini hivyo.

If you were a goat, we could have benefited from your meat...too bad you are human... there is nothing we can do with you....I hope one day u look your kids on the face and tell them this...

Pole sana... there is no cure for stupidity! that is why... 1.Elimu 2.Elimu 3.Elimu.
 
Lazima uone giza kwani ni akina nani waliomtuhumu ENL kuwa ni fisadi kama si Mbowe, Slaa, Lissu, Mbatia, Mdee, Mnyika na wengine ambao leo wanamuona shujaa. Tulitegemea wao ndio wampeleke mahakamani, maana wao ndio walituonesha vithibitishi. Na CCM haikumkata ENL isipokuwa alikuwa na kashfa chafu, ndiyo maana. Si kwa sababu hizo mnazozifikiria nyie

Kesi yake ni ya uhujumu uchumi, serikali ndiyo iliyotakiwa kumfungulia kesi hiyo maana ni kesi ya jinai.JK alimpigia promo Mwaka 2010 kwamba ni mtu safi kabisa hana mawaa ilikuwa ni ajali ya kisiasa tu.Sasa mimi na wewe tujiulize kumetokea nini leo?? Kwanini nguvu yote hii.Siyo mpenzi wa Lowassa wala Magufuli sababu wote ni wezi.Lakini ningependa haki itendeke tu.Kwamba kama kufungua kesi basi hata akina Magufuli wanastahili kushtakiwa kwa ubadhirifu wa mali za umma
 
Kesi yake ni ya uhujumu uchumi, serikali ndiyo iliyotakiwa kumfungulia kesi hiyo maana ni kesi ya jinai.JK alimpigia promo Mwaka 2010 kwamba ni mtu safi kabisa hana mawaa ilikuwa ni ajali ya kisiasa tu.Sasa mimi na wewe tujiulize kumetokea nini leo?? Kwanini nguvu yote hii.Siyo mpenzi wa Lowassa wala Magufuli sababu wote ni wezi.Lakini ningependa haki itendeke tu.Kwamba kama kufungua kesi basi hata akina Magufuli wanastahili kushtakiwa kwa ubadhirifu wa mali za umma

Kwa maana hiyo, basi hata wewe utafungwa, kwa sasa tunahitaji rais, kuna vigezo vya msingi vya kuvizingatia kama wananchi katika kumchagua rais, kwa mantiki hiyo inaonesha wewe hujaridhiwa na wagombea hawa wawili basi ungesimama wewe kugombea urais, tukuchague. Hata mzani huwa haulinganishi uzito kisawasawa bali hujaribu kuhsabiisha uzito wa jiwe na kitu kinachopimwa. Kwa maana hiyo hakuna kitu kilicho kamili, na hivyo hivyo tunafnya kwa mwanaadamu, hakuna aliye sahihi kisawasawa ila usahihi unazidiana, tumia akili za kuzaliwa. Wewe unatumia sana akili za shule, that's why
 
Wewe hautakuwa wa Kwanza kuniona Mimi ni mnafiki, lakini pia hautakuwa wa Mwisho, wapo waliokutangulia na wapo watakaufuata baada yako.lakini HOJA yangu itabaki imara na haitabadilika kuwa CHADEMA kuna OMBWE la UONGOZI..ni hoja ambayo nimeisema na kuisimamia tangu nikiwa CHADEMA na nitaendelea kuisema na kuisimamia hata sasa..

Mimi sio katika wale ambao wanataka UPINZANI ufe kabisa, na wala sio katika wale wanaoamini kuwa salama ya CCM ni Upinzani dhaifu..mimi naamini kuwa NGUVU ya CCM, Uimara wake na UTENDAJI wake utakuwa bora zaidi kukiwepo Upinzani Madhubuti, ambao utawakumbusha CCM wanapojisahau..

Mimi ni MwanaCCM, tena sio tu mwanachama bali ni Mtumishi wa CHAMA, naamini katika CCM lakini kama nilivyotangulia kusema kuwa SIAMINI kuwa salama ya CCM ama ya TANZANIA ni kufa kwa Upinzani...siamini hivyo.
YERICKO NYERERE Anaishi katika uongo na uzushi, mpaka kila mmoja amemmpuuza, Mwanakijiji, Chahali na WATABE wengine wa maandishi yenye adili, wameikacha CHADEMA, bado CDM haijiulizi, inajivunia kuwa na YERICKO. Wasomi, watumishi, na wanataaluma wameikacha CHADEMA, bado CDM haijiulizi, wanajivunia madereva bodaboda.
 
Kwa maana hiyo, basi hata wewe utafungwa, kwa sasa tunahitaji rais, kuna vigezo vya msingi vya kuvizingatia kama wananchi katika kumchagua rais, kwa mantiki hiyo inaonesha wewe hujaridhiwa na wagombea hawa wawili basi ungesimama wewe kugombea urais, tukuchague. Hata mzani huwa haulinganishi uzito kisawasawa bali hujaribu kuhsabiisha uzito wa jiwe na kitu kinachopimwa. Kwa maana hiyo hakuna kitu kilicho kamili, na hivyo hivyo tunafnya kwa mwanaadamu, hakuna aliye sahihi kisawasawa ila usahihi unazidiana, tumia akili za kuzaliwa. Wewe unatumia sana akili za shule, that's why
YERICKO NYERERE Anaishi katika uongo na uzushi, mpaka kila mmoja amemmpuuza, Mwanakijiji, Chahali na WATABE wengine wa maandishi yenye adili, wameikacha CHADEMA, bado CDM haijiulizi, inajivunia kuwa na YERICKO. Wasomi, watumishi, na wanataaluma wameikacha CHADEMA, bado CDM haijiulizi, wanajivunia madereva bodaboda.
 
Kesi yake ni ya uhujumu uchumi, serikali ndiyo iliyotakiwa kumfungulia kesi hiyo maana ni kesi ya jinai.JK alimpigia promo Mwaka 2010 kwamba ni mtu safi kabisa hana mawaa ilikuwa ni ajali ya kisiasa tu.Sasa mimi na wewe tujiulize kumetokea nini leo?? Kwanini nguvu yote hii.Siyo mpenzi wa Lowassa wala Magufuli sababu wote ni wezi.Lakini ningependa haki itendeke tu.Kwamba kama kufungua kesi basi hata akina Magufuli wanastahili kushtakiwa kwa ubadhirifu wa mali za umma
YERICKO NYERERE Anaishi katika uongo na uzushi, mpaka kila mmoja amemmpuuza, Mwanakijiji, Chahali na WATABE wengine wa maandishi yenye adili, wameikacha CHADEMA, bado CDM haijiulizi, inajivunia kuwa na YERICKO. Wasomi, watumishi, na wanataaluma wameikacha CHADEMA, bado CDM haijiulizi, wanajivunia madereva bodaboda.
 
AMANI IWE JUU YENU ENYI WAJA WEMA WA BWANA MUNGU WANGU...!!

Katika muendelezo wa kuwafikirisha, nimeona leo niwaandikie kuhusu hali ya Upinzani na kampeni zinavyoendelea hapa nchini, ambapo hali ya sintofahamu ikiendelea kudhirihi kwa CHADEMA na Kambi yote ya Upinzani hapa nchini, wachambuzi mbalimbali, wasomi na waandishi wameendelea kuandika wakijaribu kuonyesha tatizo lililoikumba kambi hiyo, wengi wao wakisema FEDHA, vipande vya rupia vilivyoingia CHADEMA vimewafarakanisha. Nami Binafsi ktk muendelezo huo huo wa kuchambua hali hiyo nitaeleza CHANZO ama SABABU halisi ya SINTOFAHAMU inayoikumba kambi ya Upinzani.

Kwa Muhtasari sana, niseme CHANZO na SABABU HALISI ya Upinzani kukosa muelekeo na kufikia hapa tulipo ni OMBWE la UONGOZI katika kambi hiyo ikiongozwa na CHADEMA..Mimi niliwahi kuwa mwanachama wa CHADEMA, tena Kiongozi Mkubwa katika jumuiya yake ya Vijana, nilipata fursa ya kushiriki, kuhudhuria na kuchangia katika vikao na mikutano mikubwa, muhimu na nyeti ya Chama hicho.

Ilikuwa bayana kwetu kuwa, ilipofikia CHADEMA ilihitaji UONGOZI mpya utakaokuja na dira, maono na tafakuri mpya ambayo ingeki-transform chama hicho kuwa chama kamili cha siasa na kuondoa uongozi wa hamasa na mihemko ya kiuanaharakati..

Nikiwa ndani ya Vikao vya CHADEMA nikaliweka hili BAYANA kuwa tunalo ombwe la uongozi ndani ya CHADEMA, sikueleweka, nikaonekana natishia maslahi ya wakubwa na nafasi zao kwenye Chama, nikaonekana ADUI na nikapewa jina MSALITI.

Ukweli ni kwamba FEDHA ambayo leo imetajwa mara kadhaa kuwa ndio sababu kuu ya mfarakano ndani ya CHADEMA, imepata njia kutokana na Ukweli kuwa CHADEMA kuna Ombwe la Uongozi ambao umekosa Vision na Mission, ndio maana wakadhani FEDHA na UMAARUFU wa mtu ni mtaji wa wao kuingia Ikulu, wakasahau misingi, dhamira, imani na kiu ya Watanzania.

CHADEMA haina tabia ya kujitafakari, haijisahihishi, na wamezoea kuishi kimazoea, wanadhani kila siku ni jumapili na kila walisemalo watanzania watalikubali tu madhari limesemwa na wao, na kwamba kila muongeaji basi anasikilizwa. SIO HIVYO...!!

Leo waongeaji wa CHADEMA na WATETEZI wakuu kwenye mitandao ni YERICKO NYERERE, A man with 0.001 IQ, Anaishi katika uongo na uzushi, mpaka kila mmoja amemmpuuza, Mwanakijiji, Chahali na WATABE wengine wa maandishi yenye adili, wameikacha CHADEMA, bado CDM haijiulizi, inajivunia kuwa na YERICKO. Wasomi, watumishi, na wanataaluma wameikacha CHADEMA, bado CDM haijiulizi, wanajivunia madereva bodaboda.

Moja ya sifa ya Mwerevu, ni yule ambae haumwi na nyoka mara mbili, anayejikwaa akaanguka kisha asiishie kuangalia alipoangukia bali hugeuka kwa umakini na kutazama alipojikwaa, ni nini hasa kimemuangusha..Popularity ya CHADEMA na Upinzani imeshuka na inaendelea kushuka kwa kasi, HAWAJIULIZI.

Viongozi wameacha kuchangia hoja za msingi ndani ya Vikao, wameshikwa na woga na wengine wamesusa, Mwenyekiti Mbowe ambae Mimi binafsi nilishamuita ZERO tukiwa ndani ya Kikao changu cha Mwisho nikiwa KAMANDA wa CDM, ameendelea kwenda Mrama kwa kasi ya ajabu...kila jipya analoliamua ni baya kuliko la jana..
YERICKO NYERERE Anaishi katika uongo na uzushi, mpaka kila mmoja amemmpuuza, Mwanakijiji, Chahali na WATABE wengine wa maandishi yenye adili, wameikacha CHADEMA, bado CDM haijiulizi, inajivunia kuwa na YERICKO. Wasomi, watumishi, na wanataaluma wameikacha CHADEMA, bado CDM haijiulizi, wanajivunia madereva bodaboda.
 
Back
Top Bottom