Umbea ni kutoa taarifa za upande mmoja kupeleka upande wa pili bila ridhaa ya mhusika, huu sio umbea ni kupeana habari juu ya yanayojiri katika siasaAcha umbea toka lini ccm ikawa mshauri wa CHADEMA:what::banghead:ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni nikuambie kitu hii nchi ni yetu sote tunajua baya na jema kwa hiyo usipoteze pumzi kutuambia hii nyeusi wakati ni nyeupe ni m.baya jully angalizo ukiwa mnafiki ujanani uzeeni utakuwa mchawi.