Makamanda wengine tunakwenda Rorya kwa wanaume sasa kafu wameona wamefika baada ya mvua ya Igunga hutawasikia tena wote watarudi kwao pemba.kuna makamnda wana jianda kwenda Igunga wengine wanajianda kwenda Lushoto....naamini mtapa updates mpaka siku ya fainali....na tumejipanga
Ulichosahau tu ni kubadili AVATAR ni ile ile.Mmmh,kabla sijabadilisha jina hapa nilitoa utabiri wangu juu ya matokeo ya chadema igunga,...
nilitukanwa sana,sasa nasubiri yatimie ndipo niwape quote ya nilicho kisema wakati ule
<br />Mkuu, Igunga ngumu kwa CDM hamna kitu watapost nini Magwanda kama migambo wa City wapo Igunga wanang'aa sharubu tu
kwa nn msiseme ukweli? mambo magumu kw cdm huko igunga! wana igunga sisi-em oyeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Chadema hawakurupuki,chadema ni watu wa kuongea 'classified information' siyo watu wa kuleta thread ilimradi wamepost! Hata hivyo sijui utafiti wako umelalia wapi! maana kunapost kibao za makamanda kuhusu Igunga!
Tumewatanguliza CUF kwa picha za kuchakachua za pemba karibu chenga zinawaishia,
mtanange utakapoanza pumzi kwishiney ni mapovu tu yatawatoka mtasema tena mbona post za CDM zimezidi?
'CUF yafunika urejeshaji fomu'
kuna ka ukweli hapa!!hivi inawezekana ikawa kweli eh?
Umemrithi shekh Yahaya kutabiri??Ukiona hivyo ujuwe magwanda wameshikwa wakashikika hawana pa kupumulia. Wangekuwa wanahisi japo kidogo kuwa kuna kaushindi, ungewaona humu.
Saa hizi magwanda wako kimya wanatafuta njia ya kususa. Kama mnabisha mtanambia.
bwahahahahaahahahahahaaaaaaaaa wameshikwa pabaya kwelikweliUkiona hivyo ujuwe magwanda wameshikwa wakashikika hawana pa kupumulia. Wangekuwa wanahisi japo kidogo kuwa kuna kaushindi, ungewaona humu.
Saa hizi magwanda wako kimya wanatafuta njia ya kususa. Kama mnabisha mtanambia.
<br /><font size="3"><br />
Palipo na CUF lazima pawepo nembo ya CCM!</font>