CHADEMA kumuona Polepole kama shujaa sio ajabu sana bali ni kutokujua wanatoka wapi na wanaenda wapi

CHADEMA kumuona Polepole kama shujaa sio ajabu sana bali ni kutokujua wanatoka wapi na wanaenda wapi

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,124
Reaction score
6,141
Moja ya sàbabu ya mimi kuutaka Urais wa Tanzania ni namna ambavyo kama nchi tunakosa mbadala wa ccm, yaani tunaupinzani ambao ni mabingwa wa kudandia matukio ya kisiasa na na sio ku-stick na mipango yao in short hawajui wanachopigania ni-nini

Nenda kwenye account za mtandao wa x wa lema na boniface Jacob unaona wanavyomsifia polepole serious, ni kweli chadema hawajatoa official statement ila kauli za makada wake maarufu zinatosha kukuonyesha mtizamo wao kama chama

Kwenye barua ya polepole ambayo ina-surface online kuna reaction nyingi
ETI LEO POLEPOLE ANALILIA HAKI 😂🤣🤣 NA BAADHI YA WATU WANAMUONA SHUJAA KUNA MAMBO YANAUMIZA SANA NA KUSIKITISHA SANA KUNA MDA WANASIASA WANATUONAGA SISI NI MAZOMBI
kuna mambo ambayo ningependa kuyaongelea yalifanyika wakati polepole akiwa katibu mwenezi wa ccm na hatukuona mahali popote akiyalalamikia na yaliumiza sana watu wengi;-
  1. Wakati polepole akiwa katibu mwenezi tuliona watu wakiunga juhudi mkono na mda huo huo wakirudishwa kibabe pasipo-kufuata matakwa ya chama cha mapinduzi na kugombea tena swali mbona hatukumsikia polepole akilalamika
  2. Wakati wa utawala wa magufuli kila maeneo chadema waliokuwa na wabunge na madiwani polepole akienda na akiondoka unaskia watu wanaunga mkono juhudi ilikuwa ni biashara ya kununua watu wazi wazi na polepole alikuwa anacheka bila kuonea huruma fedha za wananchi zilizokuwa zinapotea ila leo analilia haki
  3. Mwaka 2020 wagombea wa ccm walikatwa kihuni sana lakin hatukumsikia polepole akilalamika bali alikuwa anacheka mda wote
  4. Mwaka 2020 wako wagombea wa chadema walinyimwa fomu kihuni na wakurugenzi yaani ni haki yao ya kikatiba ila hatukumsikia mahali popote polepole mpenda haki akilalamika
  5. Wakati polepole akiwa katibu mwenezi watu walikuwa wanatekwa mbona hakutoka na kulalamikia utekaji kama kweli ni mpenda haki
  6. Wakati wa utawala wa magufuli shughuli za vyama vya siasa vilishitishwa kinyume na katiba hatukumsikia polepole akilalamikia hili swala
  7. Wakati wa utawala wa magufuli tuliona kilichotokea kwenye uchaguzi wa 2019 na 2020 ila hatukumsikia polepole akilalamika tulimuona akiwa anacheka mpaka gego la mwisho likionekana
  8. Wakati wa utawala wa magufuli professor assad aliondolewa kinyume na katiba ila atakumsikia polepole akilalamika katiba kusiginwa maksudi
Hayo ni baadhi ya matukio machache yapo mengi- kuna wakati tunajiuliza kama kweli ile barua ni ya kweli je polepole ni shujaa kweli na kama tunamchukulia polepole ni shujaa basi kama taifa tunasafari ndefu sana kwenye kuiona Tanzania tunayoitaka sababu hatujui tulipotoka na tunapoelekea

Ni sawa na ndugai wakati wa magufuli anakopo sana kumbuka magufuli ni rais wa pili kukopa sana baada ya samia hakuna sehemu yeyote job ndugai alikuwa analalamika bali alikuwa mda wote anacheka huku amevaa Joho lake la uspika
Kaingia samia ghafla job ndugai kaanza kuona mikopo ni tatizo serious nauhakika kama magufuli angeendelea na kukopa hivi basi job ndugai angeendelea kumsifia

Polepole ni architect wa mabaya na mambo mengine wanayofanyiwa chadema leo hii inakuaje ghafla chadema wanamsifia inamaan mara hii wameshasahau inafikirisha sana

Mimi simpingi polepole na wala simsupport kwa sababu asilimia kubwA ya mambo anayolalamikia leo yalianza yeye akiwa katibu mwenezi wa ccm

 
Kiongozi hakuna mtu mwenye akili zake timamu Tanzania (average kwa wengi wao) wanaodhani CDM ya Lissu ni suluhisho.
Moja ya sàbabu ya mimi kuutaka Urais wa Tanzania ni namna ambavyo kama nchi tunakosa mbadala wa ccm, yaani tunaupinzani ambao ni mabingwa wa kudandia matukio ya kisiasa na na sio ku-stick na mipango yao in short hawajui wanachopigania ni-nini

Kwenye barua ya polepole ambayo ina-surface online kuna reaction nyingi lakina kuna mambo ambayo ningependa kuyaongelea wakati polepole akiwa katibu mwenezi wa ccm
  1. Wakati polepole akiwa katibu mwenezi tuliona watu wakiunga juhudi mkono na mda huo huo wakirudishwa kibabe pasipo-kufuata matakwa ya chama cha mapinduzi na kugombea tena swali mbona hatukumsikia polepole akilalamika
  2. Mwaka 2020 wagombea walikatwa kihuni lakin hatukumsikia polepole akilalamika bali alikuwa anacheka mda wote
  3. Wakati polepole akiwa katibu mwenezi watu walikuwa wanatekwa mbona hakutoka na kulalamikia utekaji kama kweli ni mpenda haki
  4. Wakati wa utawala wa magufuli shughuli za vyama vya siasa vilishitishwa kinyume na katiba hatukumsikia polepole akilalamikia hili swala
  5. Wakati wa utawala wa magufuli tuliona kilichotokea kwenye uchaguzi wa 2019 na 2020 ila hatukumsikia polepole akilalamika tulimuona akiwa anacheka mpaka gego la mwisho likionekana
  6. Wakati wa utawala wa magufuli professor assad aliondolewa kinyume na utaratibu ila atakumsikia polepole akilalamika
Hayo ni baadhi ya matukio machache yapo mengi- kuna wakati tunajiuliza kama kweli ile barua ni ya kweli je polepole ni shujaa kweli na kama tunamchukulia polepole ni shujaa basi kama taifa tunasafari ndefu sana kwenye kuiona Tanzania tunayoitaka sababu hatujui tulipotoka na tunapoelekea

Ni sawa na ndugai wakati wa magufuli anakopo sana kumbuka magufuli ni rais wa pili kukopa sana baada ya samia hakuna sehemu yeyote job ndugai alikuwa analalamika bali alikuwa mda wote anacheka huku amevaa Joho lake la uspika
Kaingia samia ghafla job ndugai kaanza kuona mikopo ni tatizo serious nauhakika kama magufuli angeendelea na kukopa hivi basi job ndugai angeendelea kumsifia

Polepole ni architect wa mabaya na mambo mengine wanayofanyiwa chadema leo hii inakuaje ghafla chadema wanamsifia inamaan mara hii wameshasahau inafikirisha sana

Mimi simpingi polepole na wala simsupport kwa sababu asilimia kubwA ya mambo anayolalamikia leo yalianza yeye akiwa katibu mwenezi wa ccm
Upuuzi na dramma mfanye wana CCM halafu mkiona mnashindwa namna ya kujadili mnalazimisha kwa ku drag in wengine ili tu mpate angle ya kujadili.

CHADEMA mmejaribu kuifungia, Tundu Lissu yupo gerezani lakini bado mnaweweseka nao.
 
Moja ya sàbabu ya mimi kuutaka Urais wa Tanzania ni namna ambavyo kama nchi tunakosa mbadala wa ccm, yaani tunaupinzani ambao ni mabingwa wa kudandia matukio ya kisiasa na na sio ku-stick na mipango yao in short hawajui wanachopigania ni-nini

Kwenye barua ya polepole ambayo ina-surface online kuna reaction nyingi lakina kuna mambo ambayo ningependa kuyaongelea wakati polepole akiwa katibu mwenezi wa ccm
  1. Wakati polepole akiwa katibu mwenezi tuliona watu wakiunga juhudi mkono na mda huo huo wakirudishwa kibabe pasipo-kufuata matakwa ya chama cha mapinduzi na kugombea tena swali mbona hatukumsikia polepole akilalamika
  2. Mwaka 2020 wagombea walikatwa kihuni lakin hatukumsikia polepole akilalamika bali alikuwa anacheka mda wote
  3. Wakati polepole akiwa katibu mwenezi watu walikuwa wanatekwa mbona hakutoka na kulalamikia utekaji kama kweli ni mpenda haki
  4. Wakati wa utawala wa magufuli shughuli za vyama vya siasa vilishitishwa kinyume na katiba hatukumsikia polepole akilalamikia hili swala
  5. Wakati wa utawala wa magufuli tuliona kilichotokea kwenye uchaguzi wa 2019 na 2020 ila hatukumsikia polepole akilalamika tulimuona akiwa anacheka mpaka gego la mwisho likionekana
  6. Wakati wa utawala wa magufuli professor assad aliondolewa kinyume na utaratibu ila atakumsikia polepole akilalamika
Hayo ni baadhi ya matukio machache yapo mengi- kuna wakati tunajiuliza kama kweli ile barua ni ya kweli je polepole ni shujaa kweli na kama tunamchukulia polepole ni shujaa basi kama taifa tunasafari ndefu sana kwenye kuiona Tanzania tunayoitaka sababu hatujui tulipotoka na tunapoelekea

Ni sawa na ndugai wakati wa magufuli anakopo sana kumbuka magufuli ni rais wa pili kukopa sana baada ya samia hakuna sehemu yeyote job ndugai alikuwa analalamika bali alikuwa mda wote anacheka huku amevaa Joho lake la uspika
Kaingia samia ghafla job ndugai kaanza kuona mikopo ni tatizo serious nauhakika kama magufuli angeendelea na kukopa hivi basi job ndugai angeendelea kumsifia

Polepole ni architect wa mabaya na mambo mengine wanayofanyiwa chadema leo hii inakuaje ghafla chadema wanamsifia inamaan mara hii wameshasahau inafikirisha sana

Mimi simpingi polepole na wala simsupport kwa sababu asilimia kubwA ya mambo anayolalamikia leo yalianza yeye akiwa katibu Mwenezi wa ccm
Kwani ni Chadema tu? Wote wanaopenda haki Pamoja na Chadema wanachukulia hii ni kuvuja kwa pakacha ndiyo nafuu maana ile kasi ya kuwakaba wapinzani inapungua kwa sababu lazima CCM waanze kuziba hilo tobo.

Sioni kama unaweza kutatua matatizo kama utakuwa Rais halafu bando unaongelea kuhusu JPM, JPM hakuleta lolote jipya kwenye nchi hii zaidi ya kutekeleza mambo ya CCM kivyake, hakuna Rais Ambaye amewahi kufanya vizuri kwa wananchi wake kama Nyerere ingawa Uchumi ulimshinda kwa sababu ya siasa mbaya. You have to fight against "SYSTEM", system mbayo "institutionalized" na CCM, kama anavofanya Lisu, anapigana na SYSTEM, Reforms, na bila reforms hata Uchumi hauwezi kukua, private secotor haiwezi kukua na kuzalisha ajira. Tupo shaghala bagala.

Polepole anaonyesha njia lakini siyo kwamba ana nafasi ya kuaminika achukue nchi, ni kua ameonyesha njia kwa wale ambayo walikua wanasita. Baada ya Reforms hata Polepole akigombea na kuto sera zake, na kuhojiwa na wananchi kwa nini alifanya mabaya haya yote, na akaeleweka ni juu ya wananchi kwenye "Ballot Box". Uwezo..

That is why we support Tundu, hata Tundu akikosea hivyo hivyo tutamtoa, kwa sababu wananchi ndiyo wanachangua kwa kuangalia uwezo wako. Siyo sasa Mchengerwa na Abdul ndiyo wanapanga kila kitu, na wapo juu ya sheria.
 
Moja ya sàbabu ya mimi kuutaka Urais wa Tanzania ni namna ambavyo kama nchi tunakosa mbadala wa ccm, yaani tunaupinzani ambao ni mabingwa wa kudandia matukio ya kisiasa na na sio ku-stick na mipango yao in short hawajui wanachopigania ni-nini

Kwenye barua ya polepole ambayo ina-surface online kuna reaction nyingi lakina kuna mambo ambayo ningependa kuyaongelea wakati polepole akiwa katibu mwenezi wa ccm
  1. Wakati polepole akiwa katibu mwenezi tuliona watu wakiunga juhudi mkono na mda huo huo wakirudishwa kibabe pasipo-kufuata matakwa ya chama cha mapinduzi na kugombea tena swali mbona hatukumsikia polepole akilalamika
  2. Mwaka 2020 wagombea walikatwa kihuni lakin hatukumsikia polepole akilalamika bali alikuwa anacheka mda wote
  3. Wakati polepole akiwa katibu mwenezi watu walikuwa wanatekwa mbona hakutoka na kulalamikia utekaji kama kweli ni mpenda haki
  4. Wakati wa utawala wa magufuli shughuli za vyama vya siasa vilishitishwa kinyume na katiba hatukumsikia polepole akilalamikia hili swala
  5. Wakati wa utawala wa magufuli tuliona kilichotokea kwenye uchaguzi wa 2019 na 2020 ila hatukumsikia polepole akilalamika tulimuona akiwa anacheka mpaka gego la mwisho likionekana
  6. Wakati wa utawala wa magufuli professor assad aliondolewa kinyume na utaratibu ila atakumsikia polepole akilalamika
Hayo ni baadhi ya matukio machache yapo mengi- kuna wakati tunajiuliza kama kweli ile barua ni ya kweli je polepole ni shujaa kweli na kama tunamchukulia polepole ni shujaa basi kama taifa tunasafari ndefu sana kwenye kuiona Tanzania tunayoitaka sababu hatujui tulipotoka na tunapoelekea

Ni sawa na ndugai wakati wa magufuli anakopo sana kumbuka magufuli ni rais wa pili kukopa sana baada ya samia hakuna sehemu yeyote job ndugai alikuwa analalamika bali alikuwa mda wote anacheka huku amevaa Joho lake la uspika
Kaingia samia ghafla job ndugai kaanza kuona mikopo ni tatizo serious nauhakika kama magufuli angeendelea na kukopa hivi basi job ndugai angeendelea kumsifia

Polepole ni architect wa mabaya na mambo mengine wanayofanyiwa chadema leo hii inakuaje ghafla chadema wanamsifia inamaan mara hii wameshasahau inafikirisha sana

Mimi simpingi polepole na wala simsupport kwa sababu asilimia kubwA ya mambo anayolalamikia leo yalianza yeye akiwa katibu mwenezi wa ccm
Ndiyo maana mimi huwa nasema wewe ni Rais mtarajiwa ambaye ni andazi! Umemsikia kiongozi gani wa CHADEMA anayepongeza? Yaani usikie mabumunda menzio ndiyo uhitimishe kwamba ni CHADEMA hao? Hebu kuwa na heshima! Umesoma ujumbe wa Lema anavyompinga Polepole katika hili?
 
Upuuzi na dramma mfanye wana CCM halafu mkiona mnashindwa namna ya kujadili mnalazimisha kwa ku drag in wengine ili tu mpate angle ya kujadili.

CHADEMA mmejaribu kuifungia, Tundu Lissu yupo gerezani lakini bado mnaweweseka nao.
I know you are better than that.

Soma muktadha wa mada.

Post za wachangiaji in relation to muktadha.

Then respond appropriately.

Polepole kwenye hitimisho lake kasema yeye atabaki kuwa mwana CCM.

CDM wao wanaona kama vile Polepole kasema anaamia chama chao kesho.

Ndio mleta mada anawakumbusha akili zao finyu. Binafsi ndio nilicho support.

Respond appropriately, we all know CDM hawana direction; hata mwenyekiti wao mstaafu amekiri hakuna uongozi pale.
 
Moja ya sàbabu ya mimi kuutaka Urais wa Tanzania ni namna ambavyo kama nchi tunakosa mbadala wa ccm, yaani tunaupinzani ambao ni mabingwa wa kudandia matukio ya kisiasa na na sio ku-stick na mipango yao in short hawajui wanachopigania ni-nini

Kwenye barua ya polepole ambayo ina-surface online kuna reaction nyingi lakina kuna mambo ambayo ningependa kuyaongelea wakati polepole akiwa katibu mwenezi wa ccm
  1. Wakati polepole akiwa katibu mwenezi tuliona watu wakiunga juhudi mkono na mda huo huo wakirudishwa kibabe pasipo-kufuata matakwa ya chama cha mapinduzi na kugombea tena swali mbona hatukumsikia polepole akilalamika
  2. Mwaka 2020 wagombea walikatwa kihuni lakin hatukumsikia polepole akilalamika bali alikuwa anacheka mda wote
  3. Wakati polepole akiwa katibu mwenezi watu walikuwa wanatekwa mbona hakutoka na kulalamikia utekaji kama kweli ni mpenda haki
  4. Wakati wa utawala wa magufuli shughuli za vyama vya siasa vilishitishwa kinyume na katiba hatukumsikia polepole akilalamikia hili swala
  5. Wakati wa utawala wa magufuli tuliona kilichotokea kwenye uchaguzi wa 2019 na 2020 ila hatukumsikia polepole akilalamika tulimuona akiwa anacheka mpaka gego la mwisho likionekana
  6. Wakati wa utawala wa magufuli professor assad aliondolewa kinyume na utaratibu ila atakumsikia polepole akilalamika
Hayo ni baadhi ya matukio machache yapo mengi- kuna wakati tunajiuliza kama kweli ile barua ni ya kweli je polepole ni shujaa kweli na kama tunamchukulia polepole ni shujaa basi kama taifa tunasafari ndefu sana kwenye kuiona Tanzania tunayoitaka sababu hatujui tulipotoka na tunapoelekea

Ni sawa na ndugai wakati wa magufuli anakopo sana kumbuka magufuli ni rais wa pili kukopa sana baada ya samia hakuna sehemu yeyote job ndugai alikuwa analalamika bali alikuwa mda wote anacheka huku amevaa Joho lake la uspika
Kaingia samia ghafla job ndugai kaanza kuona mikopo ni tatizo serious nauhakika kama magufuli angeendelea na kukopa hivi basi job ndugai angeendelea kumsifia

Polepole ni architect wa mabaya na mambo mengine wanayofanyiwa chadema leo hii inakuaje ghafla chadema wanamsifia inamaan mara hii wameshasahau inafikirisha sana

Mimi simpingi polepole na wala simsupport kwa sababu asilimia kubwA ya mambo anayolalamikia leo yalianza yeye akiwa katibu mwenezi wa ccm
Wewe ni toilet paper 🧻 🧻 🧻 🧻 🧻 kama walivyo CHAWA wengine
 
Moja ya sàbabu ya mimi kuutaka Urais wa Tanzania ni namna ambavyo kama nchi tunakosa mbadala wa ccm, yaani tunaupinzani ambao ni mabingwa wa kudandia matukio ya kisiasa na na sio ku-stick na mipango yao in short hawajui wanachopigania ni-nini

Kwenye barua ya polepole ambayo ina-surface online kuna reaction nyingi lakina kuna mambo ambayo ningependa kuyaongelea wakati polepole akiwa katibu mwenezi wa ccm
  1. Wakati polepole akiwa katibu mwenezi tuliona watu wakiunga juhudi mkono na mda huo huo wakirudishwa kibabe pasipo-kufuata matakwa ya chama cha mapinduzi na kugombea tena swali mbona hatukumsikia polepole akilalamika
  2. Mwaka 2020 wagombea walikatwa kihuni lakin hatukumsikia polepole akilalamika bali alikuwa anacheka mda wote
  3. Wakati polepole akiwa katibu mwenezi watu walikuwa wanatekwa mbona hakutoka na kulalamikia utekaji kama kweli ni mpenda haki
  4. Wakati wa utawala wa magufuli shughuli za vyama vya siasa vilishitishwa kinyume na katiba hatukumsikia polepole akilalamikia hili swala
  5. Wakati wa utawala wa magufuli tuliona kilichotokea kwenye uchaguzi wa 2019 na 2020 ila hatukumsikia polepole akilalamika tulimuona akiwa anacheka mpaka gego la mwisho likionekana
  6. Wakati wa utawala wa magufuli professor assad aliondolewa kinyume na utaratibu ila atakumsikia polepole akilalamika
Hayo ni baadhi ya matukio machache yapo mengi- kuna wakati tunajiuliza kama kweli ile barua ni ya kweli je polepole ni shujaa kweli na kama tunamchukulia polepole ni shujaa basi kama taifa tunasafari ndefu sana kwenye kuiona Tanzania tunayoitaka sababu hatujui tulipotoka na tunapoelekea

Ni sawa na ndugai wakati wa magufuli anakopo sana kumbuka magufuli ni rais wa pili kukopa sana baada ya samia hakuna sehemu yeyote job ndugai alikuwa analalamika bali alikuwa mda wote anacheka huku amevaa Joho lake la uspika
Kaingia samia ghafla job ndugai kaanza kuona mikopo ni tatizo serious nauhakika kama magufuli angeendelea na kukopa hivi basi job ndugai angeendelea kumsifia

Polepole ni architect wa mabaya na mambo mengine wanayofanyiwa chadema leo hii inakuaje ghafla chadema wanamsifia inamaan mara hii wameshasahau inafikirisha sana

Mimi simpingi polepole na wala simsupport kwa sababu asilimia kubwA ya mambo anayolalamikia leo yalianza yeye akiwa katibu mwenezi wa ccm
Hopeless a rotten head
 
Wapi taarifa official kutoka mamlaka halali ya CDM imesema haya unayo yadai.?

Au unaokotaokota maneno ya watu mbalimbali na kufanya msimamo?
As in official statement ya CDM I can’t attest to my allegations.

Lakini mimi naongelea mambo ya michango ya JF, sio huko kwengine duniani.

Na utaratibu wa humu ndani unga-unga kutokana na michango ya vyama; unaruhusiwa kuja na conclusion yeyote as far as I am concerned.
 
Moja ya sàbabu ya mimi kuutaka Urais wa Tanzania ni namna ambavyo kama nchi tunakosa mbadala wa ccm, yaani tunaupinzani ambao ni mabingwa wa kudandia matukio ya kisiasa na na sio ku-stick na mipango yao in short hawajui wanachopigania ni-nini

Kwenye barua ya polepole ambayo ina-surface online kuna reaction nyingi lakina kuna mambo ambayo ningependa kuyaongelea wakati polepole akiwa katibu mwenezi wa ccm
  1. Wakati polepole akiwa katibu mwenezi tuliona watu wakiunga juhudi mkono na mda huo huo wakirudishwa kibabe pasipo-kufuata matakwa ya chama cha mapinduzi na kugombea tena swali mbona hatukumsikia polepole akilalamika
  2. Mwaka 2020 wagombea walikatwa kihuni lakin hatukumsikia polepole akilalamika bali alikuwa anacheka mda wote
  3. Wakati polepole akiwa katibu mwenezi watu walikuwa wanatekwa mbona hakutoka na kulalamikia utekaji kama kweli ni mpenda haki
  4. Wakati wa utawala wa magufuli shughuli za vyama vya siasa vilishitishwa kinyume na katiba hatukumsikia polepole akilalamikia hili swala
  5. Wakati wa utawala wa magufuli tuliona kilichotokea kwenye uchaguzi wa 2019 na 2020 ila hatukumsikia polepole akilalamika tulimuona akiwa anacheka mpaka gego la mwisho likionekana
  6. Wakati wa utawala wa magufuli professor assad aliondolewa kinyume na utaratibu ila atakumsikia polepole akilalamika
Hayo ni baadhi ya matukio machache yapo mengi- kuna wakati tunajiuliza kama kweli ile barua ni ya kweli je polepole ni shujaa kweli na kama tunamchukulia polepole ni shujaa basi kama taifa tunasafari ndefu sana kwenye kuiona Tanzania tunayoitaka sababu hatujui tulipotoka na tunapoelekea

Ni sawa na ndugai wakati wa magufuli anakopo sana kumbuka magufuli ni rais wa pili kukopa sana baada ya samia hakuna sehemu yeyote job ndugai alikuwa analalamika bali alikuwa mda wote anacheka huku amevaa Joho lake la uspika
Kaingia samia ghafla job ndugai kaanza kuona mikopo ni tatizo serious nauhakika kama magufuli angeendelea na kukopa hivi basi job ndugai angeendelea kumsifia

Polepole ni architect wa mabaya na mambo mengine wanayofanyiwa chadema leo hii inakuaje ghafla chadema wanamsifia inamaan mara hii wameshasahau inafikirisha sana

Mimi simpingi polepole na wala simsupport kwa sababu asilimia kubwA ya mambo anayolalamikia leo yalianza yeye akiwa katibu mwenezi wa ccm
Wewe ndiye hijifahamu kwa kuandika usicho kifahamu kwa kutojifahamu unacho andika
 
Moja ya sàbabu ya mimi kuutaka Urais wa Tanzania ni namna ambavyo kama nchi tunakosa mbadala wa ccm, yaani tunaupinzani ambao ni mabingwa wa kudandia matukio ya kisiasa na na sio ku-stick na mipango yao in short hawajui wanachopigania ni-nini

Kwenye barua ya polepole ambayo ina-surface online kuna reaction nyingi lakina kuna mambo ambayo ningependa kuyaongelea wakati polepole akiwa katibu mwenezi wa ccm
  1. Wakati polepole akiwa katibu mwenezi tuliona watu wakiunga juhudi mkono na mda huo huo wakirudishwa kibabe pasipo-kufuata matakwa ya chama cha mapinduzi na kugombea tena swali mbona hatukumsikia polepole akilalamika
  2. Mwaka 2020 wagombea walikatwa kihuni lakin hatukumsikia polepole akilalamika bali alikuwa anacheka mda wote
  3. Wakati polepole akiwa katibu mwenezi watu walikuwa wanatekwa mbona hakutoka na kulalamikia utekaji kama kweli ni mpenda haki
  4. Wakati wa utawala wa magufuli shughuli za vyama vya siasa vilishitishwa kinyume na katiba hatukumsikia polepole akilalamikia hili swala
  5. Wakati wa utawala wa magufuli tuliona kilichotokea kwenye uchaguzi wa 2019 na 2020 ila hatukumsikia polepole akilalamika tulimuona akiwa anacheka mpaka gego la mwisho likionekana
  6. Wakati wa utawala wa magufuli professor assad aliondolewa kinyume na utaratibu ila atakumsikia polepole akilalamika
Hayo ni baadhi ya matukio machache yapo mengi- kuna wakati tunajiuliza kama kweli ile barua ni ya kweli je polepole ni shujaa kweli na kama tunamchukulia polepole ni shujaa basi kama taifa tunasafari ndefu sana kwenye kuiona Tanzania tunayoitaka sababu hatujui tulipotoka na tunapoelekea

Ni sawa na ndugai wakati wa magufuli anakopo sana kumbuka magufuli ni rais wa pili kukopa sana baada ya samia hakuna sehemu yeyote job ndugai alikuwa analalamika bali alikuwa mda wote anacheka huku amevaa Joho lake la uspika
Kaingia samia ghafla job ndugai kaanza kuona mikopo ni tatizo serious nauhakika kama magufuli angeendelea na kukopa hivi basi job ndugai angeendelea kumsifia

Polepole ni architect wa mabaya na mambo mengine wanayofanyiwa chadema leo hii inakuaje ghafla chadema wanamsifia inamaan mara hii wameshasahau inafikirisha sana

Mimi simpingi polepole na wala simsupport kwa sababu asilimia kubwA ya mambo anayolalamikia leo yalianza yeye akiwa katibu mwenezi wa ccm
Chadema ni jamii ya watu waliokata tamaa, wameishiwa mbinu kwao wao kila atakayetofautiana na serikali ni shujaa.
 
As in official statement ya CDM I can’t attest to my allegations.

Lakini mimi naongelea mambo ya michango ya JF, sio huko kwengine duniani.

Na utaratibu wa humu ndani unga-unga kutokana na michango ya vyama; unaruhusiwa kuja na conclusion yeyote as far as I am concerned.
Kama ni blabla na ungaunga hainashida.
Zinabaki tu maoni. Hupaswi tolea hitimisho kuwa msimamo wa taasisi fulani
 
Back
Top Bottom