Mkuu Mingoi,
Hawa viongozi wa Chadema wanaangaika bure na kupoteza muda wao!
Wakiwa kwenye majukwaa wanasema hawamkubali rais, wengine wanamuita rais dhaifu halafu hao hao leo tena wanamjadili.
Sasa hapo dhaifu sijui ni nani.........
-Sasa kama ni mamluki si ndiyo mngefurahi zaidi? Tangu lini CCM wakawa na uchungu na mamluki wetu?Kama Dr.Slaa ni mamluki basi mamluki wa aina hii ndiyo wanaotufaa kuliko wanasiasa na wanaharakati wengine
Hongera sana CDM, mpo makini sana, hakuna linalopita hivi hivi bila kujua hatma yake. Sio kama CCM na vikao vyao halali vya kujivua gamba kisha katikati wanaingia mitini na hoja ya mwanzo........
Wajadili kadi ya Slaa?Mkuu hicho siyo kikao cha kujadili upuuzi
Hujakosea sana kwenye compliment,ni kiboko ya wanaohujumu CHADEMA.......
Lema ametoa muelekeo mbadala wa kuingia msituni ni bora kamati kuu wakapitisha kwa kura zote.CDM walisema hawakubaliani na utaratibu uliotumika kumweka rais madarakani. Na ndio maana leo hii unauona mchakato wa katiba mpya kitu ambacho hakikuwa kwenye ilani ya mafisadi (ccm)
- Bado wanakwepa kujadili kadi ya Slaa? Kweli Slaa ni kiboko huko Chadema!!
Es!
X: Aithee thi tufanye namna ya kupata hela ya kurudi kuhesabiwa moshi kwenye x-mass baba!!
Y: Vipi tukiitisha mkutano wa haraka haraka tupate posho atiii!!
X: Wazo zuri meku, sasa agenda iwe ni ipi?
Y: Yeleeeewwwi, vipi tukisema tunamjadili mkw.er.e!!!
X: Basi fanya mambo babaaangu tuwahi kususio na mbege marangu.
Hhahhahaah umeni chekesha sana!
Chadema wanamjadili JK kwani wameishamkubali kama rais wao.
- Bado wanakwepa kujadili kadi ya Slaa? Kweli Slaa ni kiboko huko Chadema!!
Es!
Chadema wanamjadili JK kwani wameishamkubali kama rais wao.
- Sasa bro mlitakiwa kujadili mamluki kwanza ndani ya hicho chama ndio mrukie mengine!!
Es!
- Bado wanakwepa kujadili kadi ya Slaa? Kweli Slaa ni kiboko huko Chadema!!
Es!
CHADEMA wana masuala ya msingi sana ambayo rais alipaswa ayachukulie uzito,lakini hakufanya ivyo. Acheni kugeuza kila kitu kuwa ni siasa. Mi siamini yule kamanda wa polisi wa iringa yuko kazini hadi leo?