Ni matatizo ya ma FL yanayozidi powers za waume zao na hivyo kuwafanya waonekane kituko. Ilikuwa Sitti Mwinyi hivihivi... Kenya kuna Lucy Kibaki hapa sasa Salma Kikwete... na nina hakika Tanzania ijayo Josephina Slaa itakuwa hivihivi na anavyoonyesha kuwa Gold Digger kufuata waume wenye mshiko... Tutakoma!
][*]Unaitumia IKULU kukukampeinia kurudi madarakani. ninaposema ikulu rejea wito wa msajili wa vyama kuamuru myang'oe mabango ya promo yenu kwa kuwa picha zilipigwa na ikulu. Pia matumizi ya USALAMA wa TAIFA kuhakikisha na kutumia taarifa wanazokupa kwa mtaji wa kisiasa. Najua kama siyo wewe rais basi msaidizi wako aliwaagiza UwT wafuatilie suala lililotolewa maamuzi na mahakama kuu dhidi ya Slaa ambapo MNATAKA kuitumia taarifa hiyo kummaliza wiki chache kabla ya uchaguzi. Hii ni dhihaka kwa wananchi na dola
[/LIST][/I]
Itabidi watu wa Chadema wakufungie kutukana CV ya Mgombea Mwenza...!!!Ndio tatizo la watu wa level ya standard 7
Ana kiherehere sana yule mama.
Mama Salma Kikwete ametumia ndege ya Serikali namba 5H TGF kwenye Kampeni za Kikwete. Dr. Slaa ameagiza wanasheria wa Chama kumfungulia kesi Salma Kikwete.
Acha kutusi watu wenye level ya standard seven! Huenda hata mzazi wako ama babu na bibi yako ni wa level hiyo lakini wana hekima na uchungu wa mali za Taifa lao kuliko Mama Salma Kikwete!Ndio tatizo la watu wa level ya standard 7
KUna LORI la Dr. Slaa lilikamatwa na ISHU na serikali ikataka kutaifisha ila Dr. Slaa alikata rufaa mahakama kuu akashinda kesi na kurudishiwa gari lake.Mkuu Msanii,
tuweke bayana na hiyo janja yao waliyopanga kuitumia.
Du kumbe ni standard 7 yule maza!
Ndiyo tunajua tatizo letu ni JK na CCM yake. Lakini wooote tuliowataja wapo ktk system na CCM. Hivyo ni ruksa kumkosoa mke wa rais ambaye ana nafasi kubwa ndani ya CHAMA.Nyie jamaa mnaosema hamumpendi salma nani kasema anampenda mke wenu acheni hizo sisi tatizo letu ni JK na sio familia yake ,kiongozi wa nchi ni JK na ndio tatizo la nchi hii mkiingiza mambo ya familia kwenye siasa mnakosea mnakuwa kama makamba acheni hizo haipendezi tatizo letu sisi ni ccm na kiongozi wake sio familia yake mama salma anafuata mkumbo tuu tena unaweza kuta ana kadi ya chadema na atampigia dr slaa sema tuu kwa vile jk ni mumewe hana ujanja lazima a show up mbele ya jamii,mama salma nakupendaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa eeeeeeeeh;;;jk samahani