Hoshea
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 5,415
- 3,761
Ni kodi za wananchi, kwann isimuhusu, bavicha mnalea ujinga afu mkikataliwa na wananchi mnasema mmeibiwa kura.Kwanini uumizwe na mambo yasiyo kuhusu?
Ni kodi za wananchi, kwann isimuhusu, bavicha mnalea ujinga afu mkikataliwa na wananchi mnasema mmeibiwa kura.Kwanini uumizwe na mambo yasiyo kuhusu?
Hapo bado hawajashikilia nchi, me nasemaga upinzani ukishika dola, watu ndio watagundua bora ccmWanapenda sana starehe
Ni kodi za wananchi, kwann isimuhusu, bavicha mnalea ujinga afu mkikataliwa na wananchi mnasema mmeibiwa kura.
Hapo bado hawajashikilia nchi, me nasemaga upinzani ukishika dola, watu ndio watagundua bora ccm
Deni la Taifa limefika shing'ngapi vile?Kodi zetu ndizo wanafuja ndio maana Naumia
Unaishi kwa dhana!Tupo concerned na mambo ya Chadema kwasababu ni chama cha siasa na ipo (Ila sina uhakika) siku inaweza kuchukua dola. Hofu yetu, mambo ya ovyo wanayofanya chamani wanaweza yafanya serikalini! Unless Mshana Jr ututhibitishie kuwa Chadema haitaingia madarakani hivyobtuachane nayo. Ukinithibitishia hill, sitaiongelea tens Chadema.
Kodi zetu ndizo wanafuja ndio maana Naumia
Umasikini utakuuwa au kukugeuza BwabwaHuu ni muendelezo wa kutumia vibaya na kufuja Mali za umma kwa nini wakutane kwenye kumbi za gharama halafu eti ndo mnasema mtashika dolla labda dollars ya Marekani matumizi ya hovyohovyo ya Mali za umma utakuta wamejiandikia mahela meeengi ukizingatia mkewe ndiye mtunza hazina
Hela Penut sana kulipia huo ukumbiKodi zetu ndizo wanafuja ndio maana Naumia
Ccm inakutawaleni mnaopenda kutawaliwa, sisi wengine hadi kuletewa box la kura wanaogopa!!!Wewe nawe Chadema mtashika dollars tu za marekani utazeeka na kuiacha CCM IKITAWALA
Wangeomba hukumbi wa jakaya Ikului. Au kuomba JNICC. WangepewaHuu ni muendelezo wa kutumia vibaya na kufuja Mali za umma kwa nini wakutane kwenye kumbi za gharama halafu eti ndo mnasema mtashika dolla labda dollars ya Marekani matumizi ya hovyohovyo ya Mali za umma utakuta wamejiandikia mahela meeengi ukizingatia mkewe ndiye mtunza hazina
Kodi zetu ndizo wanafuja ndio maana Naumia
Kujenga majengo na kukodisha kumbi kipi ni gharama zaidi?Huu ni muendelezo wa kutumia vibaya na kufuja Mali za umma kwa nini wakutane kwenye kumbi za gharama halafu eti ndo mnasema mtashika dolla labda dollars ya Marekani matumizi ya hovyohovyo ya Mali za umma utakuta wamejiandikia mahela meeengi ukizingatia mkewe ndiye mtunza hazina
Mleta mada ni new comer hapo Lumumba ni hii ni intake mpya ya buku 3, sio ile Lumumba ya zamani ya intake yenu ya buku 7.Kwani huo ukumbi wa Mlimani City umejengwa kwa ajili ya kazi gani?!
Tupunguze umbumbumbu!
Nilidhani wamefanyia msikitini au kanisani.......kumbe ukumbini!!