Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,987
Kwa kweli CAG afanye upesi kuchunguza huu ubadhirifu wa pesa za Wananchi
Hatutakubali
Hatutakubali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku ukijua kuwa serikali sio sehemu ya Maendeleo ya familia yako, mark my words utakuwa umeanza safari ya maendeleo na kuuga umaskini
CAG wako huyo kashindwa kufuatalia bei za ndege zinazo nunuliwa kama mapalachichi ya ngara , kashindwa kufuatilia hela zinazo mwagwa mtaani kila anapodhulu mkuu wetu wa nchi . utasikia mpen huyo mama million mbili , wapeni wasabi million 100 ,mpen mtoto million 5 ,hivi zinatoka wapi ? Ndege etu sa hivi inashikiliwa Canada hatujui mpka mda hatima yake .Halafu jitu limoja linasikika kutoka pangoni CAG afuatilie ruzuku ya chama pinzani. Hivi ww umelogwa na pesa za mgao?Jana kamati kuu ya Chadema imekutana katika moja ya maeneo ya kifahari mno hapa Tanzania
Wamejifungia kule hatujaambiwa walikuwa wanajadili lini
Ila wametoa tamko kuwa watahudhiria maadhimisho ya Uhuru huko mwanza wakiongozwa na Mbowe
Ile kamati kuu kupanda ndege ya go and return
Kwenda kulala five star hotel
Ni gharama za walipa kodi! Kwanini wanafuja pesa za Wananchi? Hizo fedha Kwanini wasingeenda kusaidia kina mama kuanzisha sacos kwenye majimbo yao?
Inasikitisha kwa kweli tuliwaamini tukawachagua watutumikie ila wao wamekuwa wanakula peke yao hii ni haki kweli
Mbona Rais Magufuli alienda mwanza kwa kutumia gari wao Kwanini wasikodishe basi moja waende mwanza? Ili kupunguza gharama
Sisi kama Wananchi tunamwomba CAG afatilie kwa makini hili jambo ili tujue mbivu na bichi
Kama inawezekana ruzuku ziwe zinaenda kwa Wananchi moja kwa moja
Je mama aliyewapigia kura anafaidika vipi na nyinyi?
CAG fanya kazi Tafadhali
Jana kamati kuu ya Chadema imekutana katika moja ya maeneo ya kifahari mno hapa Tanzania
Wamejifungia kule hatujaambiwa walikuwa wanajadili lini
Ila wametoa tamko kuwa watahudhiria maadhimisho ya Uhuru huko mwanza wakiongozwa na Mbowe
Ile kamati kuu kupanda ndege ya go and return
Kwenda kulala five star hotel
Ni gharama za walipa kodi! Kwanini wanafuja pesa za Wananchi? Hizo fedha Kwanini wasingeenda kusaidia kina mama kuanzisha sacos kwenye majimbo yao?
Inasikitisha kwa kweli tuliwaamini tukawachagua watutumikie ila wao wamekuwa wanakula peke yao hii ni haki kweli
Mbona Rais Magufuli alienda mwanza kwa kutumia gari wao Kwanini wasikodishe basi moja waende mwanza? Ili kupunguza gharama
Sisi kama Wananchi tunamwomba CAG afatilie kwa makini hili jambo ili tujue mbivu na bichi
Kama inawezekana ruzuku ziwe zinaenda kwa Wananchi moja kwa moja
Je mama aliyewapigia kura anafaidika vipi na nyinyi?
CAG fanya kazi Tafadhali
Jana kamati kuu ya Chadema imekutana katika moja ya maeneo ya kifahari mno hapa Tanzania
Wamejifungia kule hatujaambiwa walikuwa wanajadili lini
Ila wametoa tamko kuwa watahudhiria maadhimisho ya Uhuru huko mwanza wakiongozwa na Mbowe
Ile kamati kuu kupanda ndege ya go and return
Kwenda kulala five star hotel
Ni gharama za walipa kodi! Kwanini wanafuja pesa za Wananchi? Hizo fedha Kwanini wasingeenda kusaidia kina mama kuanzisha sacos kwenye majimbo yao?
Inasikitisha kwa kweli tuliwaamini tukawachagua watutumikie ila wao wamekuwa wanakula peke yao hii ni haki kweli
Mbona Rais Magufuli alienda mwanza kwa kutumia gari wao Kwanini wasikodishe basi moja waende mwanza? Ili kupunguza gharama
Sisi kama Wananchi tunamwomba CAG afatilie kwa makini hili jambo ili tujue mbivu na bichi
Kama inawezekana ruzuku ziwe zinaenda kwa Wananchi moja kwa moja
Je mama aliyewapigia kura anafaidika vipi na nyinyi?
CAG fanya kazi Tafadhali
His thinking capacity is below minimum!Siku ukijua kuwa serikali sio sehemu ya Maendeleo ya familia yako, mark my words utakuwa umeanza safari ya maendeleo na kuuga umaskini
CAG wako huyo kashindwa kufuatalia bei za ndege zinazo nunuliwa kama mapalachichi ya ngara , kashindwa kufuatilia hela zinazo mwagwa mtaani kila anapodhulu mkuu wetu wa nchi . utasikia mpen huyo mama million mbili , wapeni wasabi million 100 ,mpen mtoto million 5 ,hivi zinatoka wapi ? Ndege etu sa hivi inashikiliwa Canada hatujui mpka mda hatima yake .Halafu jitu limoja linasikika kutoka pangoni CAG afuatilie ruzuku ya chama pinzani. Hivi ww umelogwa na pesa za mgao?
Sisi kama wananchi?! Wewe na nani?!
Tumekusikia bwana mkubwa bila kusema Chadema hamlali walioiba hela za EPA mbona hamwambii CAG awakagueJana kamati kuu ya Chadema imekutana katika moja ya maeneo ya kifahari mno hapa Tanzania
Wamejifungia kule hatujaambiwa walikuwa wanajadili lini
Ila wametoa tamko kuwa watahudhiria maadhimisho ya Uhuru huko mwanza wakiongozwa na Mbowe
Ile kamati kuu kupanda ndege ya go and return
Kwenda kulala five star hotel
Ni gharama za walipa kodi! Kwanini wanafuja pesa za Wananchi? Hizo fedha Kwanini wasingeenda kusaidia kina mama kuanzisha sacos kwenye majimbo yao?
Inasikitisha kwa kweli tuliwaamini tukawachagua watutumikie ila wao wamekuwa wanakula peke yao hii ni haki kweli
Mbona Rais Magufuli alienda mwanza kwa kutumia gari wao Kwanini wasikodishe basi moja waende mwanza? Ili kupunguza gharama
Sisi kama Wananchi tunamwomba CAG afatilie kwa makini hili jambo ili tujue mbivu na bichi
Kama inawezekana ruzuku ziwe zinaenda kwa Wananchi moja kwa moja
Je mama aliyewapigia kura anafaidika vipi na nyinyi?
CAG fanya kazi Tafadhali
Ukiwa na fikra za kimaskini shida sanaSafi sana Kawe wape vidonge vyao lazima wanywe.
matumizi ya ruzuku chama cha mapinduzi hutumika vipi?Kwa kweli CAG afanye upesi kuchunguza huu ubadhirifu wa pesa za Wananchi
Hatutakubali
matumizi ya ruzuku chama cha mapinduzi hutumika vipi?
unasema hamtakubali, na nani?
Tumekusikia bwana mkubwa bila kusema Chadema hamlali walioiba hela za EPA mbona hamwambii CAG awakague
Ruzuku ya chadema inakuwashia nini?Sisi Wananchi Hatutakubali kama ruzuku itaendelea kuchezewa na viongozi wa chache
Then chadema kutumia euzuku ya chama kugharamia ukumbi unaita matumizi mabaya ya dedha za Umma???