CHADEMA kujenga Chuo cha kumbukumbu kumuenzi Edwin Mtei

CHADEMA kujenga Chuo cha kumbukumbu kumuenzi Edwin Mtei

Quinine

Platinum Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
25,344
Reaction score
61,309
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimetangaza dhamira yake ya kujenga chuo cha kumbukumbu kwa ajili ya kumuenzi muasisi wa chama hicho, Mzee Edwin Mtei.

Kwa mujibu wa chama hicho, chuo hicho kitajengwa katika moja ya maeneo yanayomilikiwa na Chadema na kitalenga kuwajengea vijana maadili ya uadilifu, uongozi, uchumi pamoja na mbinu za kupinga rushwa, masuala ambayo yalikuwa ni sehemu ya maono ya marehemu Mzee Mtei alipokuwa hai.

G_PyrXWWUAA2OdL.jpeg
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimetangaza dhamira yake ya kujenga chuo cha kumbukumbu kwa ajili ya kumuenzi muasisi wa chama hicho, Mzee Edwin Mtei.

Kwa mujibu wa chama hicho, chuo hicho kitajengwa katika moja ya maeneo yanayomilikiwa na Chadema na kitalenga kuwajengea vijana maadili ya uadilifu, uongozi, uchumi pamoja na mbinu za kupinga rushwa, masuala ambayo yalikuwa ni sehemu ya maono ya marehemu Mzee Mtei alipokuwa hai.

View attachment 3532834
Ili kiwabadili hata chawa wa chukua chako mapema walau wawe wazalendo kidogo
 
Nyumbu zijiandae kwa michango isiyo na kikomo. Ninawapongeza sana viongozi wa CHADEMA kwa mawazo yao ya kijasiriamali yanayowanufaisha binafsi. Kama ofisi ilichukua miaka 30 hadi kupata pagale pale Mikocheni hiki chuo kitachukua hata miaka 60 kukamilika.
 
Nyumbu zijiandae kwa michango isiyo na kikomo. Ninawapongeza sana viongozi wa CHADEMA kwa mawazo yao ya kijasiriamali yanayowanufaisha binafsi. Kama ofisi ilichukua miaka 30 hadi kupata pagale pale Mikocheni hiki chuo kitachukua hata miaka 60 kukamilika.
Sawa hao ni nyumbu Je nyie 'Mbwa wa Mama' mtuambie CCM imejenga chuo kipi ukitoa vyuo vya serikali.

Miaka siyo tatizo hasa kwenye elimu kinachoangaliwa ni Nia.
 
Nyumbu zijiandae kwa michango isiyo na kikomo. Ninawapongeza sana viongozi wa CHADEMA kwa mawazo yao ya kijasiriamali yanayowanufaisha binafsi. Kama ofisi ilichukua miaka 30 hadi kupata pagale pale Mikocheni hiki chuo kitachukua hata miaka 60 kukamilika.
akili zako usiziweke huko makalioni, zinabemendwa, sio kwa muelekeo huu
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimetangaza dhamira yake ya kujenga chuo cha kumbukumbu kwa ajili ya kumuenzi muasisi wa chama hicho, Mzee Edwin Mtei.

Kwa mujibu wa chama hicho, chuo hicho kitajengwa katika moja ya maeneo yanayomilikiwa na Chadema na kitalenga kuwajengea vijana maadili ya uadilifu, uongozi, uchumi pamoja na mbinu za kupinga rushwa, masuala ambayo yalikuwa ni sehemu ya maono ya marehemu Mzee Mtei alipokuwa hai.

View attachment 3532834
Wazo zuri sana. Ni suala la muda tu ila ipo siku CHADEMA watachukua uongozi wa nchi.
 
Chama cha kudandia kila jambo linalotokea.
Kwa akili hizi CCM watatawala Tanzania mpaka wachoke.
Na kule CCM walivyo waroho na madaraka hawachoki.
Kwa ufupi CHADEMA kimeshakufa.
Chama cha hovyo, chama cha kuomba wazungu waje waitawale Tanzania
 
Chama cha kudandia kila jambo linalotokea.
Kwa akili hizi CCM watatawala Tanzania mpaka wachoke.
Na kule CCM walivyo waroho na madaraka hawachoki.
Kwa ufupi CHADEMA kimeshakufa.
Chama cha hovyo, chama cha kuomba wazungu waje waitawale Tanzania
Wazo la kujenga chuo wamedandia kwa chama gani.
 
Nyumbu zijiandae kwa michango isiyo na kikomo. Ninawapongeza sana viongozi wa CHADEMA kwa mawazo yao ya kijasiriamali yanayowanufaisha binafsi. Kama ofisi ilichukua miaka 30 hadi kupata pagale pale Mikocheni hiki chuo kitachukua hata miaka 60 kukamilika.
Pilipili usiyoila yakuwashia nn makalioni?
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimetangaza dhamira yake ya kujenga chuo cha kumbukumbu kwa ajili ya kumuenzi muasisi wa chama hicho, Mzee Edwin Mtei.

Kwa mujibu wa chama hicho, chuo hicho kitajengwa katika moja ya maeneo yanayomilikiwa na Chadema na kitalenga kuwajengea vijana maadili ya uadilifu, uongozi, uchumi pamoja na mbinu za kupinga rushwa, masuala ambayo yalikuwa ni sehemu ya maono ya marehemu Mzee Mtei alipokuwa hai.

View attachment 3532834
Wasituchoshe hawa. Ofisi tu hawana, huo uwezo wa kujenga chuo watautoa wapi??

Akili ya Heche akivuta bangi la Tarime huwa inamtuma kusema lolote
 
Wasituchoshe hawa. Ofisi tu hawana, huo uwezo wa kujenga chuo watautoa wapi??

Akili ya Heche akivuta bangi la Tarime huwa inamtuma kusema lolote
CCM lini walijenga ofisi wanatumia majengo ya shirika la uchumi SUKITA.
 
Back
Top Bottom