Mara zote mleta updates huleta mMkuu sasa nini sababu ya kutoziweka kwenye updates?
Tunashukuru wewe umetuletea jumbe hizo kwa ukamilifu wake.Mkuu sisi tunafatilia tu mwenendo wala siyo kazi yetu kuhukumu ILA tunalohoji ni kwa nini huyo msamalia mwena aliyejitolea kuacha kazi ya kutafuta riziki atumpe mwenendo nusu nusu?! Lengo lake ni nini? Kwa maoni yangu lengo ni kuyumbisha mtazamo wa jamii kuwa upande wa mashitaka hauna ushahidi dhidi ya Mbowe na wenzake
Mbona huwa hatuoni mkitangaza nafasi za kazi za usalama wa taifa wanaomlinda Rais?Mkuu hivi uko CHADEMA ulinzi wa mtu mkubwa kama Mbowe si ungetangazwa wazi tu
sijakuelewa mkuu unaweza kurudia tena kama hutajali?
Hii hawaiandiki wala hawapendi ijulikane hivyoMbona mwandishi anarukaru. Hii hapa iko mwananchi ila hapa hamna
Taarifa ya Uchunguzi:
Shahidi: 13/8/2020 Maabara ya uchunguzi wa Kisayansi ikipokea barua na vielelezo simu nane pamoja na simu card zake kwa ajili ya uchunguzi kubaini Mawasiliano kupitia mitandao ya kijamii Kama vule Whatsapp, Telegram, unumbe mfupi na kupiga nakupigiwa katika namba za simu zilizotangulia, usajili wa namba hizo na Mawasiliano mengine
Kisha shahidi anasoma matokeo ya uchunguzi wake.
Shahidi: Katika uchunguzi huo shahidi anabainisha jinsi namba za simu hizo ambazo amebainisha usajili wake kuwa ni za baadhi ya washtakiwa, hususan Mbowe pamoja na shahidi mtarajiwa wa Jamhuri, Luten Denis Urio, wakijadiliana kuhusu kuwapata vijana ambao wengine wametajwa miongoni mwa washtakiwa.
Shahidi: Ripoti ya uchunguzi huo inabainisha muda wa mawasiliano hayo kupitia mitandao ya kijamii, zote ujumbe mfupi wa maneno, kupiga na kupokea simu na miamala ya fedha huku mmoja akimtahadharisha mwingine kuwa asiwe anatumia namba yake binafsi kwa masuala ya pesa
Wakati Shahidi anaendelea kusoma taarifa hizo, Jaji anahoji kama kuna kusoma taarifa zote hizo na hasa viambatanisho. Anashauri isomwe ripoti ya uchunguzi na wakili Hilla anamuongoza kwenye maneo muhimu ya uchunguzi.
Shahidi anabainisha mawasiliano Kati ya Mbowe na Denis Urio kuanzia Januari 2020 jinsi walivyotafutana kwa njia ya ujumbe wa mitandao na ujumbe na call kupitia telegram na ujumbe wa maneno
Shahidi: 20/7/2020 saa 1:59 asubuhi kupitia telegram Mbowe anasema kaka wale mtu tatu au nne ni muhimu sana siku zimekwisha.
Shahidi: Baadaye alipiga simu kwa telegram
Shahidi: Saa 1:45 asubuhi Denis alimpigia Mbowe
Shahidi: Saa 1:47'46 Mbowe alimpigia Denis
Shahidi: 20/7/2020 saa 2;20 Denis amtumia Mbowe ujumbe, bro kuna memba wawili mmoja yuko Tunduma anashughulika na mabasi ya safari za nje na mwingine yuko Dodoma
Shahidi:Mboye baadaye simu siyo salama
Shahidi: Baadaye Mbowe atuma ujumbe hao wawili kuanzia siyombaya na hawawezi kutelekezwa wameshakwanbia mahitaki yao
Shahidi: Denis anamtumia Mbowe ujumbe mmoja kazaliwa 1980
Shahidi: Baadaye Denis ujumbe kwa Mbowe nitumie nauli ya kwenda nao Moro
Shahidi: Mbowe anajibu hakuna tatizo, kiasi gani
Shahidi: Denis anajibu laki 5
Shahidi: Saa 2:21:48, Mbowe anajibu sawa kaka
Shahidi: 2:22:29 Denis kwa Mbowe Nashukuru nitakujibu jioni
Shahidi: Denis usiwe unatumia namba yako binafsi kutuma pesa tumia wakala au mtu mwingine
Shahidi: Mbowe Ok
Shahidi: 27/7/2020. Denis yule jamaa anayefanya kazi Yard ameshafika
Shahidi: Yule mtu wa Tunduma anakaribia Moro
Shahidi: Denis Ila Kuna maswali wanauliza kuhusu malazi na mishahara yao.
Shahidi: Baadaye Denis ampigia Mbowe
Shahidi: 22/7/2020 : 6:26 Denis ampigia Mbowe
Shahidi: 2/7/2020 saa 6: Denis Shikamoo mkuu wale vijana tayari niko nao nimekutana nao na wako tayari kwa kazi
Shahidi: Denis naomba unipe utaratibu wao
Shahidi: Mbowe 7:38 Denis amtumia Mbowe kuwa wamekuja Dar anaomba nauli na mahali pa kukutana
Shahidi: 22/7/2020 saa7:51 Denis kwa nauli na chakula kwa wote ni Sh200.000
Shahidi: Mbowe natuma namba gani
Shahidi: Denis 0787555200
Shahidi: Mbowe ni namba ya nani?
Denis: Namba yangu
Shahidi: Denis uliyotumia juzi
Shahidi: Denis Lakini wewe usitumie namba yako
Shahidi: Mbowe: Ok
Shahidi: Mbowe wakiwa around Mlandizi watume sms wanafika muda gani nitatuma gari kuwapokea Ubungo
Shahidi: Denis: niwape namba gani muweze kuwasiliana?
Shahidi: Siku hiyo 3 Mbowe namba ninayotumia unumbe ni ya dereva wangu wamtafute yeye
Shahidi: Denis sawa, nitumie hiyo namba baadaye Denis
Shahidi: Tayari nimeipata
Shahidi: Denis: Nashukuru nimeelewa nitawapa hiyo namba.
Shahidi: Saa 12:20 jioni Denis: Tayari wameshaondoka wanakaribia Ruvu
Shahidi: Denis wale vijana wengine nimewapata Mwanza, Mtwara na Dodoma
Shahidi: Denis: Naomba kushauri uwe unanitumia fedha za kutosha kwa ajili ya ku-mobilize
Shahidi: Mbowe: kaka bado niko kamati kuu tuma ujumbe please.
Shahidi: Denis: Kuna MSG nilizokutumia kuhusu wale vijana wengine ambao wako tayari.
Shahidi: 13/7/2020 Denis: Naomba rejea msg zangu za jana usiku
Shahidi: 23/7/2020 saa 1:03 jioni Urio anapokea ujumbe wenye jina la Mohamed Abdillahi Ling'wenya
Shahidi: Urio: Mbona hujatuma majina na picha ya Adamoo ( Adamu Hassan Kasekwa, mshtakiwa wa pili?
Shahidi: Baadaye Urio apokea picha nyingine Kisha ujumbe usemao Adamu Hassan Kasekwa
Baada ya shahidi kumaliza kusoma ripoti hizo wakili Hilla anaomba ahirisho.
Jaji Tiganga anaahirisha kesi hiyo hadi saa 7:55 mchana huu ili upande wa mashtaka uendelee kumuongoza shahidi wake kutoa ushahidi wake.
Mahakama imerejea kwaajili Shahdi kuendelea kuhojiwa na wakili wwa serikali Piusi Hilla.
Shahidi: Baada ya kumaliza kufanya uchunguzi vielelezo hivi nilivifunga na kufihifadhi sikuviona tena hadi jana Ijumaa Januari 17.
Shahidi: Ijumaa iliyopita nilipigiwa simu na Inspekta Swilla kutakiwa kuja kutoa ushahidi kuhusiana na uchunguzi niliofanya.
Shahidi: Nilienda kuangalia kwenye register ya maabara ili kufahamu na Jumatatu tuliwasiliana aliniletea vielelezo.
Shahidi: Vielelezo hivyo ni simu nane na kwakuwa nilizifanyia kazi kwa kuangalia stika zilizokuwa kwenye simu zile…..
Shahidi: Hali ya vielelezo hivyo niliona jina langu na juu ya bahasha ilikuwa imeandikwa kwa makapeni.
Shahidi: Nilivihifadhi kwenye begi langu kwaajili ya usalama na kuja navyo mahakamani kwa ajili ya kuvitolea ushahidi.
Shahidi: Lakini jana kutokana na changamoto ya kiafya, nilirudi navyo na kwenda kuvihifadhi ofisini Kitengo cha uchunguzi wa kisayansi katika makao Makuu ya Polisi ya zamani na leo
Bado katika haya maelezo yote sijaona kiashiria chochote kile cha ugaidi! Zaidi tu ya mawasiliano baina ya watu wawili katika kusafirisha watu kutoka eneo moja kwenda lingine.Mbona mwandishi anarukaru. Hii hapa iko mwananchi ila hapa hamna
Taarifa ya Uchunguzi:
Haihitaji uwe wakili msomi kugundua hii kesi siyo ya ugaidi wala uhujumu uchumi. Hii ni kesi ya kupotezeana tu muda kupitia vyombo vya dola.JUMBE fupi za maneno (meseji), zinazodaiwa kuwa za Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na baadhi ya washtakiwa wenzake, katika kesi ya ugaidi inayowakabili, zimesomwa kwenye Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea).
Mkuu sijui mengine mnayatoa wapi- hoja yangu siyo tujadili kuhusu nani mkweli na ni nani muungo. Hoja yangu ni kwa nini mleta update alete taarifa nusunusu- anaficha nini? Ni kitu gani hataki tukijue? na KWA NINI?Bado katika haya maelezo yote sijaona kiashiria chochote kile cha ugaidi! Zaidi tu ya mawasiliano baina ya watu wawili katika kusafirisha watu kutoka eneo moja kwenda lingine.
Hakuna sehemu imetolewa sababu ya kuwasafirisha! Zaidi tu ya mvutano! Watuhumiwa na upande wa utetezi kwa ujumla wakisema walisafirishwa kwa ajili ya VIP proyection, huku upande wa serikali/mashtaka wakilazimisha ni kwa sababu za kigaidi.
By the way, kama hii kesi haina harufu ya mchongo kwa namna yoyote ile, mbona huyo Dennis Urio haonekani mahakamani? Au zamu yake ya kutoa ushahidi kwa upande wa mashtaka bado haijafika?
Mkuu wakumbuke wapenda ukweli bado tupo humu-siyo CHADEMA siyo CCM ila wapenda UKWELIHii hawaiandiki wala hawapendi ijulikane hivyo
Wao wamekariri neno...moja tu Mchongo.
Ahsante@comte kwa kunyoosha mistari.
Kwenye ili Updates yao wamekiruka hiki kipengele chote kinachomhusu Mbowe !
Basi jibu ni hili hapa; Analeta nusunusu hizo taarifa kwa sababu ya utashi wake tu. Maana amejitolea, na hatumlipi. Hata akiamua kutoleta kabisa, bado hatuna cha kumfanya. Sisi wengine tunamshukuru hata kwa hicho kidogo anacho tuletea humu jukwaani.Mkuu sijui mengine mnayatoa wapi- hoja yangu siyo tujadili kuhusu nani mkweli na ni nani muungo. Hoja yangu ni kwa nini mleta update alete taarifa nusunusu- anaficha nini? Ni kitu gani hataki tukijue? na KWA NINI?
Sikujua- na yaho ndiyo madhara ya kutaka kuishi Kidola wakati huna dolaMbona huwa hatuoni mkitangaza nafasi za kazi za usalama wa taifa wanaomlinda Rais?
Ushawahi kujua namna wanavyorecruit hao watu?
The same reason,Mbowe akitangaza nafasi za walinzi binafsi,TISS haishindwi kupenyeza watu wao nao wakaombe!
Kama ujuavyo Kwa nchi hii,vyombo vya Dola vipo kuihudumia na kuipambania CCM!
Mimi siyo mahakama wala hakimu- wewe baki na hukumu yako ila ikitolewa yenyewe na wenyewe usilieTunashukuru wewe umetuletea jumbe hizo kwa ukamilifu wake.
Sasa tujadili kwa maslahi ya taifa letu kama wananchi huru,
Kwako wewe kuna mahali ktka jumbe hizo umeona neno hata moja linaloashiria kuwa walikuwa wakipanga ugaidi? Maana jumbe hizi ndiyo msingi mkuu wa ushahidi tulioambiwa na Siro kuwa upo ushahidi wa kutosha.
Kama hii Ndiyo msingi wa ushahidi basi, kuna shida ktk jeshi la polisi.
Na unaona ni sawa?Basi jibu ni hili hapa; Analeta nusunusu hizo taarifa kwa sababu ya utashi wake tu. Maana amejitolea, na hatumlipi. Hata akiamua kutoleta kabisa, bado hatuna cha kumfanya. Sisi wengine tunamshukuru hata kwa hicho kidogo anacho tuletea humu jukwaani.
Na unaona ni sawa?Basi jibu ni hili hapa; Analeta nusunusu hizo taarifa kwa sababu ya utashi wake tu. Maana amejitolea, na hatumlipi. Hata akiamua kutoleta kabisa, bado hatuna cha kumfanya. Sisi wengine tunamshukuru hata kwa hicho kidogo anacho tuletea humu jukwaani.
Hayo mambo yapo!Mbona kina mond,harmonize Wana walinzi kibao tu!!Sikujua- na yaho ndiyo madhara ya kutaka kuishi Kidola wakati huna dola
Mkuu kwa uelewa wako hutakaa uelewe.Mleta mada sikui umewaza ninini hadi kuweka hili bandiko!
Watu kwenda mahakamani kusikiliza kesi ya mpendwa wao itatengenezaje chuki dhidi ya mahakama?
Nilitamani kuona andiko lako kuelezea lakini siaona!