CHADEMA kujazana mahakamani ili kurekodi mwenendo wa kesi kwa lengo la kupotosha jamii na kutengeneza chuki dhidi ya mahakama siyo sawa

Huyu mleta mada comte, ameshindwa kutuonesha hata neno moja ktk jumbe hizo linalo ashiria njama za kupanga ugaidi, zaidi
Mimi siyo mahakama wala hakimu- wewe baki na hukumu yako ila ikitolewa yenyewe na wenyewe usilie
Mimi sijahukumu, nimekutaka wewe kwa uwezo wako wa uchambuzi "huru" utuoneshe neno lenye element ya hisia ya kupanga ugaidi.

Kuhusu "wenyewe" kutoa hukumu kama ulivyo tumia istilahi "wenyewe" ndilo tegemeo la maksudi la "wadhalimu" kutimiza malengo yao na hili linatarajiwa, maana hata wewe mwenyewe kwa majibu yako unaonesha nafsi imekwisha nusa udhalimu huo Ndiyo maana ukatumia istilahi ya "hukumu ya wenyewe" na si chombo huru.
 
Huyu mleta mada comte, ameshindwa kutuonesha hata neno moja ktk jumbe hizo linalo ashiria njama za kupanga ugaidi, zaidi

Mimi sijahukumu, nimekutaka wewe kwa uwezo wako wa uchambuzi "huru" utuoneshe neno lenye element ya hisia ya kupanga ugaidi.

Kuhusu "wenyewe" kutoa hukumu kama ulivyo tumia istilahi "wenyewe" ndilo tegemeo la maksudi la "wadhalimu" kutimiza malengo yao na hili linatarajiwa, maana hata wewe mwenyewe kwa majibu yako unaonesha nafsi imekwisha nusa udhalimu huo Ndiyo maana ukatumia istilahi ya "hukumu ya wenyewe" na si chombo huru.
Kuna umuhimu gani kwa Mbowe kukusanya makomandoo waliofukuzwa jeshini?

Ni kwa umuhimu gani wa kipekee alionao mbowe tofauti na wenyeviti wenzake ambao hawalindwi na Makomandoo?

Tutajuaje kama hao makomandoo wamekwishatumika huko nyuma kwa matukio ovu dhidi ya mahasimu au kwa malengo maalumu ya chadema na kisha kuipakazia serikali?

Wacheni mashahidi wote ishirini wamalize kutoa ushahidi,nyie endeleeni kuokoteza na kuripoti hii movie yenu ya Vioja Mahakamani.

Mwisho utajulikana soon!
 
Kuna umuhimu gani kwa Mbowe kukusanya makomandoo waliofukuzwa jeshini?

Ni kwa umuhimu gani wa kipekee alionao mbowe tofauti na wenyeviti wenzake ambao hawalindwi na Makomandoo?

Tutajuaje kama hao makomandoo wamekwishatumika huko nyuma kwa matukio ovu dhidi ya mahasimu au kwa malengo maalumu ya chadema na kisha kuipakazia serikali?

Wacheni mashahidi wote ishirini wamalize kutoa ushahidi,nyie endeleeni kuokoteza na kuripoti hii movie yenu ya Vioja Mahakamani.

Mwisho utajulikana soon!
Ni sheria gani inazuia hao makomandoo walioachishwa kazi kuajiriwa na kufanya kazi sehemu nyingine?

Umuhimu wa Mbowe kulindwa na makomandoo wanajua wao maadamu hakuna sheria iliyokiukwa.

Ama kuhusu makomandoo kutumika katika matukio maovu huko nyuma havihusiani maana kama walishahukumiwa au hawakuhukumiwa haiwezi kuwa sehemu ya ushahidi wa ugaidi wa shitaka la Mbowe na pia si sababu ya kuwazuia wasitafute kazi ya kuwaingizia kipato.

Ndiyo maana sasa sisi yetu macho na masikio yako mahakamani kusikia na kuona ushahidi huo huku tukijiridhisha nao na si blaa blaa hizi ambazo hadi sasa hatuuoni huo ushahidi wa ugaidi.
 
Mbona mwandishi anarukaru. Hii hapa iko mwananchi ila hapa hamna

Taarifa ya Uchunguzi:

Shahidi: 13/8/2020 Maabara ya uchunguzi wa Kisayansi ikipokea barua na vielelezo simu nane pamoja na simu card zake kwa ajili ya uchunguzi kubaini Mawasiliano kupitia mitandao ya kijamii Kama vule Whatsapp, Telegram, unumbe mfupi na kupiga nakupigiwa katika namba za simu zilizotangulia, usajili wa namba hizo na Mawasiliano mengine

Kisha shahidi anasoma matokeo ya uchunguzi wake.

Shahidi: Katika uchunguzi huo shahidi anabainisha jinsi namba za simu hizo ambazo amebainisha usajili wake kuwa ni za baadhi ya washtakiwa, hususan Mbowe pamoja na shahidi mtarajiwa wa Jamhuri, Luten Denis Urio, wakijadiliana kuhusu kuwapata vijana ambao wengine wametajwa miongoni mwa washtakiwa.

Shahidi: Ripoti ya uchunguzi huo inabainisha muda wa mawasiliano hayo kupitia mitandao ya kijamii, zote ujumbe mfupi wa maneno, kupiga na kupokea simu na miamala ya fedha huku mmoja akimtahadharisha mwingine kuwa asiwe anatumia namba yake binafsi kwa masuala ya pesa

Wakati Shahidi anaendelea kusoma taarifa hizo, Jaji anahoji kama kuna kusoma taarifa zote hizo na hasa viambatanisho. Anashauri isomwe ripoti ya uchunguzi na wakili Hilla anamuongoza kwenye maneo muhimu ya uchunguzi.

Shahidi anabainisha mawasiliano Kati ya Mbowe na Denis Urio kuanzia Januari 2020 jinsi walivyotafutana kwa njia ya ujumbe wa mitandao na ujumbe na call kupitia telegram na ujumbe wa maneno

Shahidi: 20/7/2020 saa 1:59 asubuhi kupitia telegram Mbowe anasema kaka wale mtu tatu au nne ni muhimu sana siku zimekwisha.

Shahidi: Baadaye alipiga simu kwa telegram

Shahidi: Saa 1:45 asubuhi Denis alimpigia Mbowe

Shahidi: Saa 1:47'46 Mbowe alimpigia Denis

Shahidi: 20/7/2020 saa 2;20 Denis amtumia Mbowe ujumbe, bro kuna memba wawili mmoja yuko Tunduma anashughulika na mabasi ya safari za nje na mwingine yuko Dodoma

Shahidi:Mboye baadaye simu siyo salama

Shahidi: Baadaye Mbowe atuma ujumbe hao wawili kuanzia siyombaya na hawawezi kutelekezwa wameshakwanbia mahitaki yao

Shahidi: Denis anamtumia Mbowe ujumbe mmoja kazaliwa 1980

Shahidi: Baadaye Denis ujumbe kwa Mbowe nitumie nauli ya kwenda nao Moro

Shahidi: Mbowe anajibu hakuna tatizo, kiasi gani

Shahidi: Denis anajibu laki 5

Shahidi: Saa 2:21:48, Mbowe anajibu sawa kaka

Shahidi: 2:22:29 Denis kwa Mbowe Nashukuru nitakujibu jioni

Shahidi: Denis usiwe unatumia namba yako binafsi kutuma pesa tumia wakala au mtu mwingine

Shahidi: Mbowe Ok

Shahidi: 27/7/2020. Denis yule jamaa anayefanya kazi Yard ameshafika

Shahidi: Yule mtu wa Tunduma anakaribia Moro

Shahidi: Denis Ila Kuna maswali wanauliza kuhusu malazi na mishahara yao.

Shahidi: Baadaye Denis ampigia Mbowe

Shahidi: 22/7/2020 : 6:26 Denis ampigia Mbowe

Shahidi: 2/7/2020 saa 6: Denis Shikamoo mkuu wale vijana tayari niko nao nimekutana nao na wako tayari kwa kazi

Shahidi: Denis naomba unipe utaratibu wao

Shahidi: Mbowe 7:38 Denis amtumia Mbowe kuwa wamekuja Dar anaomba nauli na mahali pa kukutana

Shahidi: 22/7/2020 saa7:51 Denis kwa nauli na chakula kwa wote ni Sh200.000

Shahidi: Mbowe natuma namba gani

Shahidi: Denis 0787555200

Shahidi: Mbowe ni namba ya nani?

Denis: Namba yangu

Shahidi: Denis uliyotumia juzi

Shahidi: Denis Lakini wewe usitumie namba yako

Shahidi: Mbowe: Ok

Shahidi: Mbowe wakiwa around Mlandizi watume sms wanafika muda gani nitatuma gari kuwapokea Ubungo

Shahidi: Denis: niwape namba gani muweze kuwasiliana?

Shahidi: Siku hiyo 3 Mbowe namba ninayotumia unumbe ni ya dereva wangu wamtafute yeye

Shahidi: Denis sawa, nitumie hiyo namba baadaye Denis

Shahidi: Tayari nimeipata

Shahidi: Denis: Nashukuru nimeelewa nitawapa hiyo namba.

Shahidi: Saa 12:20 jioni Denis: Tayari wameshaondoka wanakaribia Ruvu

Shahidi: Denis wale vijana wengine nimewapata Mwanza, Mtwara na Dodoma

Shahidi: Denis: Naomba kushauri uwe unanitumia fedha za kutosha kwa ajili ya ku-mobilize

Shahidi: Mbowe: kaka bado niko kamati kuu tuma ujumbe please.

Shahidi: Denis: Kuna MSG nilizokutumia kuhusu wale vijana wengine ambao wako tayari.

Shahidi: 13/7/2020 Denis: Naomba rejea msg zangu za jana usiku

Shahidi: 23/7/2020 saa 1:03 jioni Urio anapokea ujumbe wenye jina la Mohamed Abdillahi Ling'wenya

Shahidi: Urio: Mbona hujatuma majina na picha ya Adamoo ( Adamu Hassan Kasekwa, mshtakiwa wa pili?

Shahidi: Baadaye Urio apokea picha nyingine Kisha ujumbe usemao Adamu Hassan Kasekwa

Baada ya shahidi kumaliza kusoma ripoti hizo wakili Hilla anaomba ahirisho.

Jaji Tiganga anaahirisha kesi hiyo hadi saa 7:55 mchana huu ili upande wa mashtaka uendelee kumuongoza shahidi wake kutoa ushahidi wake.

Mahakama imerejea kwaajili Shahdi kuendelea kuhojiwa na wakili wwa serikali Piusi Hilla.

Shahidi: Baada ya kumaliza kufanya uchunguzi vielelezo hivi nilivifunga na kufihifadhi sikuviona tena hadi jana Ijumaa Januari 17.

Shahidi: Ijumaa iliyopita nilipigiwa simu na Inspekta Swilla kutakiwa kuja kutoa ushahidi kuhusiana na uchunguzi niliofanya.

Shahidi: Nilienda kuangalia kwenye register ya maabara ili kufahamu na Jumatatu tuliwasiliana aliniletea vielelezo.

Shahidi: Vielelezo hivyo ni simu nane na kwakuwa nilizifanyia kazi kwa kuangalia stika zilizokuwa kwenye simu zile…..

Shahidi: Hali ya vielelezo hivyo niliona jina langu na juu ya bahasha ilikuwa imeandikwa kwa makapeni.

Shahidi: Nilivihifadhi kwenye begi langu kwaajili ya usalama na kuja navyo mahakamani kwa ajili ya kuvitolea ushahidi.

Shahidi: Lakini jana kutokana na changamoto ya kiafya, nilirudi navyo na kwenda kuvihifadhi ofisini Kitengo cha uchunguzi wa kisayansi katika makao Makuu ya Polisi ya zamani na leo
Wapotoshaji wabambokaji kama wewe ndio tunaowamilika🤔.
 
Mkuu sisi tunafatilia tu mwenendo wala siyo kazi yetu kuhukumu ILA tunalohoji ni kwa nini huyo msamalia mwena aliyejitolea kuacha kazi ya kutafuta riziki atumpe mwenendo nusu nusu?! Lengo lake ni nini? Kwa maoni yangu lengo ni kuyumbisha mtazamo wa jamii kuwa upande wa mashitaka hauna ushahidi dhidi ya Mbowe na wenzake
Of course mbona hilo liko wazi. Angali mwenendo wo kuripoti maendeleo ya kesi mahakamani!
Lakini zaidi angalia clip au text fupifupi za kupotosha na kujenga image potofu juu ya ukweli wa kesi zinavyosambazwa kwenye magroup ya whatsap.
Binafsi hilo halinishangazi sababu siasa za CHADEMA hasa tangu 2015 zimejengwa juu ya propaganda za kudanganya, kujenga chuki, kuaminisha uongo, hasa kupitia social media lakini na channel nyingine.
 
Mkuu sijui mengine mnayatoa wapi- hoja yangu siyo tujadili kuhusu nani mkweli na ni nani muungo. Hoja yangu ni kwa nini mleta update alete taarifa nusunusu- anaficha nini? Ni kitu gani hataki tukijue? na KWA NINI?
Toka kesi inaanza kuna mibarua kibao zinawakilishwa kahakamani. Mleta update anatuambiaga shaidi anasoma barua/document lakini hatuambii kile kinachosomwa. Na siku zote hulalamiki, kwanink leo unalalamika??
 
Toka kesi inaanza kuna mibarua kibao zinawakilishwa kahakamani. Mleta update anatuambiaga shaidi anasoma barua/document lakini hatuambii kile kinachosomwa. Na siku zote hulalamiki, kwanink leo unalalamika??
nimepata version iliyokamilika tofauti na upotoshaji wa kumkinga GAIDI Mbowe
 
Yule aliyeleta updates humu jana- hakuweka kabisa alichosoma shahidi baada ya vielelezo kupokelewa. REASON?
kwa hiyo we fara mwenendo wa hii kesi unafuatilia JF tu? hayo ma msg tuliyasoma jana na kiufupi ushaidi wa jana ni mendelezo wa upuuzi wa serikali , hakuna ushaidi ulioonyesha hata dhumuni tu la kupanga ugaidi zaidi ya mbowe kutafuta walinzi binafsi.
Halafu huyo urio ni mtu mbaya kama alikuwa na nia njema na nchi yake na raia wake sana unawezaje kuwachukua watu raia wema waliokuwa na shughuli zao nyingine halali baada ya kufutwa jeshini na kuwasingizia kesi hii. Hivi kweli Raia mwema wa nchi anaweza kweli kumuuza raia mwenzake mwema kama alivyofanya Urio?
Nashanaa sana na intelliencia ya nchii ii yaani DCI anapewa taarifa kwamba mtu anataka kufanya ugaidi halafu anaambiwa eti nenda kaendelee naye.
Uwongo wao upo hivi baada ya taarifa za Urio kama ni za kweli DCI aneweza kuteua vijana wake undercover au angeweza kuwasiliana na mkuu wa majeshi akampatia ma intelliencia wa jeshi ili wapelekwe wakaajiriwe na mbowe. Hao ndio wangetakiwa wapeleleze na kujua ukweli wa taarifa ya urio na sio na kilichofanyika cha kuwa implicate vijana raia wema akina kusekwa ambao walifukuzwa jeshi na kuwaingiza kwenye shughuli haramu bila conset yao.
 
Back
Top Bottom