Ina maana anataka kuolewa?
Dalili zote zinaonesha hivyo.
Ina maana anataka kuolewa?
picha za kanda ya ziwa tulizipata swadakta. ila picha za shinyanga kwenye mazishi ya comrade Shilembi haukuzirusha mh. Tafadhali bado tunazisubiri. Many thanks Regia. Aluta...........
Wanahanganika na spinning za kitoto.Sisi tunachapa lapa.Thanks, people power. Mpaka kieleweke, watajichuna ngozi sasa.:second:
Wana JF.
Heshima kwa wote.
Ile Ziara ya Maandamano ya Nyanda za Juu Kusini imewadia.Maandalizi yanaendelea vizuri na kesho ndio msafara unaoondoka kwa Convoy kuelekea Mkoani Mbeya.
Maandamano yenyewe yatazinduliwa Mbeya Mjini Siku ya Ijumaa tarehe 6 Mei, tunatarajia kufanya Ziara kwenye Mikoa ya Mbeya,Rukwa,Ruvuma na Iringa respectively.
Mkoa wa Morogoro tumeuondoa kwa sasa kwa kuwa kuna mvua nyingi na sehemu nyingine kuna mafuriko hivyo hatutaweza kufika maeneo yote, Morogoro tutakwenda baada ya Bunge la Bajeti.
Maandamano hayo kuongozwa na Viongozi Wakuu wa Chama. Makamanda Mbowe, Dr Slaa, Zitto na Arfi tukifuatiwa na Wabunge, Watendaji Makao Makuu, Viongozi wa Mikoa, Wilaya na Majimbo.
Ziara inatarajiwa kuwa ya Siku 12 kila Mkoa ni siku tatu.
Kama kawaida nitajitahidi kuwahabarisha kila kitakachojiri kadiri ya uwezo wangu.
Nitaanza na Msafara wa kesho.
Aluta Continua
Regia E Mtema
Waziri Kivuli-Kazi na Ajira
waambieni watu huko kwamba mnamlipa slaa milioni 15 na mnanunua magari mitumba ya mbowe
Wenzio wanaandika na kusoma magazeti ya uhuru na Mzalendo tu huku umepotea njia hutoshi unatakiwa kuwa mwelewa sana na akili timamu ndipo uwe katika blog hii.
Regia Magari mitumba musinunue kabisa nunueni hata moja lakini liwe jipya,mukinunua mitumba mutashwindwa kujitetea kwamba mumeenda kinyume na yale munayootuaminisha
Kitengo chenu cha mawasiliano kiwe live kutoa habari vijana wa Bavicha wanaweza kufanya kazi hiyo ya kutuhabarisha na kutuwekea picha hapa kila la heri mukawasalimie Akina Mbombo ngafu huko Mbeya