Ninawatakia kila la heri na Mungu aliye hai aonaye haki na ukweli awatangulie. Watasema mengi kuhusu mikutano ya chadema, watakebihi kuhusu uongozi, watawatangazia kwamba ni mafisadi. Mungu aonaye uchungu wa ukweli ulio ndani ya viongozi wa chadenana wanachadema atawaangaza siku moja. Neno ni moja tu. Haki ya mtu haipotei, mwanadamu mwenzio atajaribu kuichelewesha lakini siku ya siku ikifika; hata mbingu zinaachia. Mungu awe nanyi na tunaomba picha za kila tukio. Safari njema wote mnaoelekea huko pamoja na uongozi mzima Mungu aweke maneno vinywani mwenu.Peoples Power!!!