CHADEMA kuharibu jiji la utalii (Arusha)

CHADEMA kuharibu jiji la utalii (Arusha)

Mbona kama utalii ni muhimu kwenye bajeti ni sifuri na tena mnawauza wanyama nje ya nchi na waliobaki mnawatoa pembe?
Wakiisha watalii watakuja tena?
Chadema fichueni Majangili na Mafisadi wakose pa kujificha.
 
TUSIPOKUWA MAKINI KWA
JINSI CHADEMA WANAVYOENDESHA SIASA JIJINI ARUSHA HUENDA WATALII
WAKAPUNGUA SN NA KSHUSHA MAPATO YA UTALII, SUALA LA MAANDAMANO NA VURUGU
KWA SASA HAVINA TIJA KWA WANANCHI WA ARUSHA AMBAO WENGI WANATEGEMEA
BIAshara YA UTALII.

So what? go to hell magamba.
 
TUSIPOKUWA MAKINI KWA JINSI CHADEMA WANAVYOENDESHA SIASA JIJINI ARUSHA HUENDA WATALII WAKAPUNGUA SN NA KSHUSHA MAPATO YA UTALII, SUALA LA MAANDAMANO NA VURUGU KWA SASA HAVINA TIJA KWA WANANCHI WA ARUSHA AMBAO WENGI WANATEGEMEA BIAshara YA UTALII.
weli

ndugu maneno yako ni ya ukweli mtupu, wageni walio cancel booking zao za hoteli Arusha wamefikia zaidi ya 9000, toka lile tukio, na wote wameteremkia moshi, hivi sasa moshi hoteli za kitalii hupati chumba, na wanakwenda bungani kutokea huko. hata biashara za kawaida zimeanza kuharibika. Amani ni kitu kizuri, Hivyo mbowe na Lema wanfurahia Arusha ikizidi kudidimia. au hiyo ndio peoples power.
 
Baada ya kushindweni kwa Ukabila hapa A town,sasa mmekuja na Singo nyingine ya Utalii!! Huo utalii binafsi umekunufaishaje? Msipende kukubali kutumiwa kama KONDOM!!

Sisi ndio tunaoishi Arusha kwa hiyo "MBOYOYO" zako hazitutishi. Kwa hiyo tukiichagua CCM ndio utalii utaimarika? Ingekuwa ni hivyo leo CCM imekuwa ndio inaongoza jimbo hili kwa muda mrefu si ingetakiwa Arusha iwe hata kama Moshi?
 
Ni propaganda ya kizamani sana sidhani kama itafanya kazi kwa Mtanzania wa zama hizi.
 
TUSIPOKUWA MAKINI KWA JINSI CHADEMA WANAVYOENDESHA SIASA JIJINI ARUSHA HUENDA WATALII WAKAPUNGUA SN NA KSHUSHA MAPATO YA UTALII, SUALA LA MAANDAMANO NA VURUGU KWA SASA HAVINA TIJA KWA WANANCHI WA ARUSHA AMBAO WENGI WANATEGEMEA BIAshara YA UTALII.

aisifiaye mvua imemtenda jinsi magamba mnavyoangaika na cdm inaonyesha ni kwajinsi gani imewashika maeneo husika.ungwana ni kukubali matokeo
 
Hiyo Halmashauri ya Jiji la Arusha ipo chini ya Pinda
ni saa yoyote anaweza teua TUME YA JIJI LA ARUSHA na visiasa vyenu CHADEMA vikazimika wulizeni NCCR kule DSM walipowekewa Tume ya Keenja na SUMAYE km alijitokeza Mbunge yeyote kuanzia Mrema wa TEMEKE mpaka Lamwai wa UBUNGO
NINYI MGESUBIRI HIYO 14/ Julai kwani hamna ubabe mbele ya Wizara ya Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa iliyo chini ya Pinda

kwa Dar iliwezekana....Arusha ni sawa na kusaga mawe kwa meno........
 
weli

ndugu maneno yako ni ya ukweli mtupu, wageni walio cancel booking zao za hoteli Arusha wamefikia zaidi ya 9000, toka lile tukio, na wote wameteremkia moshi, hivi sasa moshi hoteli za kitalii hupati chumba, na wanakwenda bungani kutokea huko. hata biashara za kawaida zimeanza kuharibika. Amani ni kitu kizuri, Hivyo mbowe na Lema wanfurahia Arusha ikizidi kudidimia. au hiyo ndio peoples power.

tumieni njia nyingine hii imefeli........
 
Chadema wamewakimbiza Watalii wamekimbilia KENYA. kila siku maandamano.

bora chadema kuliko yule anaeuwa tembo wetu
sijui wajukuu wetu kama watawakuta tembo nazani wanaangalia kwenye vitabu kama history
 
kwa Dar iliwezekana....Arusha ni sawa na kusaga mawe kwa meno........
Hicho ni Kijiji kwa Pinda,
aliiweza Halmashauri ya Ujiji iliyokuwa na Madiwani sawa kwa CCM na CHADEMA aje aishindwe Arusha au Mwanza,
Kwa vile Fredrick Tulwaye Sumaye yupo tutamshauri auone Pinda hako ka Jiji kawekewe tume angalau kwa miaka mitano

cc Chris Lukosi
 
Last edited by a moderator:
Hicho ni Kijiji kwa Pinda,
aliiweza Halmashauri ya Ujiji iliyokuwa na Madiwani sawa kwa CCM na CHADEMA aje aishindwe Arusha au Mwanza,
Kwa vile Fredrick Tulwaye Sumaye yupo tutamshauri auone Pinda hako ka Jiji kawekewe tume angalau kwa miaka mitano

cc Chris Lukosi
Thread yako wameifunga kuhusu Jiji la Arusha
 
Baadhi ya Waarusha akili zenu ni ndogo. Mnahisi mtashiba hivo viroba. Mleta mada kaongea fact lakini mnakuja na mibangi yenu.

Nafuu mnywa viroba maana misho wa siku anafurahia pesa yake mwenyewe.Wenye matatizo siyo CHADEMA bali serikali yetu sikivu kwa kuamua kuua raia wake sababu tu ya UDIWANI,je ingekuwa ubunge ingekuwaje?Serikali ya CCM kama kwa dhati kabisa waliridhia vyama vingi basi wawe wapole na wakubali UPINZANI wasitumie Jeshi,polisi au nafasi yao kama watawala kudumaza UPINZANI.Tujikumbushe tu kuwa MTANZANIA wa JANA si wa leo na wala hatakuwa wakesho.
 
TUSIPOKUWA MAKINI KWA JINSI CHADEMA WANAVYOENDESHA SIASA JIJINI ARUSHA HUENDA WATALII WAKAPUNGUA SN NA KSHUSHA MAPATO YA UTALII, SUALA LA MAANDAMANO NA VURUGU KWA SASA HAVINA TIJA KWA WANANCHI WA ARUSHA AMBAO WENGI WANATEGEMEA BIAshara YA UTALII.

unaleta u-kayanza pinda, ni hivi CCM haitakiwi Arusha waeleze waume zako kwamba haka kapropaganda kamfeli pia.
 
weli

ndugu maneno yako ni ya ukweli mtupu, wageni walio cancel booking zao za hoteli Arusha wamefikia zaidi ya 9000, toka lile tukio, na wote wameteremkia moshi, hivi sasa moshi hoteli za kitalii hupati chumba, na wanakwenda bungani kutokea huko. hata biashara za kawaida zimeanza kuharibika. Amani ni kitu kizuri, Hivyo mbowe na Lema wanfurahia Arusha ikizidi kudidimia. au hiyo ndio peoples power.
Usiwe PINDA kama mleta mada hii watalii wanajuwa wao hawaguswi kwa hiyo hawawezi kuacha kuja.maana mabamu hawapigwi wao.
 
CCM haiwapendi watanzania, inapenda madaraka tu, wanafanya fujo makusudi Arusha, ili wao wanufaike kisiasa. Sijawahi kuona serikali ya kipumbavu kama hii! Kwa Arusha msahau hata mkitufanya tulale njaa kila siku hatuwapi kura zetu ng'oooo.
 
weli

ndugu maneno yako ni ya ukweli mtupu, wageni walio cancel booking zao za hoteli Arusha wamefikia zaidi ya 9000, toka lile tukio, na wote wameteremkia moshi, hivi sasa moshi hoteli za kitalii hupati chumba, na wanakwenda bungani kutokea huko. hata biashara za kawaida zimeanza kuharibika. Amani ni kitu kizuri, Hivyo mbowe na Lema wanfurahia Arusha ikizidi kudidimia. au hiyo ndio peoples power.

Hizi propaganda hazina nafasi kwa Kizazi cha sasa na baadae. Huu ujinga kamueleze aliekuzaa kwani alifanya sana Makosa!!
Huo ukabila mnaotaka kupandikiza watu wa ARUSHA,kwa maelekezo ya Lowassa Mshindwe kwa Jina la YESU.! POROJO hazina nafasi kwa dunia ya sasa.

Nyie msijenge CCM chenu bakini kuimba ukabila na CDM. Watu wazima mnaacha kutafuta mbinu za kushawishi watu wawaamini badala yake mnahangaika na CDM. Hamjui CDM kimetumia muda mrefu kujijenga wakati huo nyie mnahangaika na Ufisadi huku mkidhani kuwa watu ni wale wale wa siku zote na miaka yote!?
 
TUSIPOKUWA MAKINI KWA JINSI CHADEMA WANAVYOENDESHA SIASA JIJINI ARUSHA HUENDA WATALII WAKAPUNGUA SN NA KSHUSHA MAPATO YA UTALII, SUALA LA MAANDAMANO NA VURUGU KWA SASA HAVINA TIJA KWA WANANCHI WA ARUSHA AMBAO WENGI WANATEGEMEA BIAshara YA UTALII.
Hamchoki? Hamna jopya la kuandika ni hauohayo tu. CCM haina nafasi hapa
 
Back
Top Bottom