Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,977
- 25,303
we mavi kunuka toa ujinga wako hapa
...jibu swali matusi hayaruhusiwi hapa.....
we mavi kunuka toa ujinga wako hapa
Dodoma, Singida, Mbeya, Lindi, nk. wanaishi kwa utalii? acha kutishia watu wewe!
Huo utalii unakufaidisha wew na hao mashetani wauaji.
Kwa hiyo tunyamaze maccm waendelee kubaka nchi kwa kisingizio kwamba utalii unashuka na kuhatarisha amani? Usirudie tena kuleta taarifa za uoga kama hii.
Watalii wote wamekimbilia Kenye, wanaogopa fujo za Chadema.
Watalii wote wamekimbilia Kenye, wanaogopa fujo za Chadema.
Watalii wote wamekimbilia Kenye, wanaogopa fujo za Chadema.
Kama "muuaji wa tembo" atadhibitiwa, hakuna shida!Watalii wote wamekimbilia Kenye, wanaogopa fujo za Chadema.
....Mkuu ulipitia U CIA?
Mkuu kuna mijitu ina ID mia mbili humu kazi kulifanya jukwaa lionekane halina thamani
Baadhi ya Waarusha akili zenu ni ndogo. Mnahisi mtashiba hivo viroba. Mleta mada kaongea fact lakini mnakuja na mibangi yenu.
....Mkuu umekalopoa mpaka kamekasirika.....kwa uzoefu wangu katakuwa tayari kameathirika kisaikolojia.....
kila maandamano yana malengo yake kama kweli wewe ni mkweli ebu tueleze maandamano ya chadema Arusha yalikuwa na ujumbe gani? vinginevyo kama utakuwa unasema tu,maandamano ya vurugu,utaonekana ni mjinga na zaidi utakuwa unawapa sifa chadema maana utaonekana huna hoja kama walivyo magambaTUSIPOKUWA MAKINI KWA JINSI CHADEMA WANAVYOENDESHA SIASA JIJINI ARUSHA HUENDA WATALII WAKAPUNGUA SN NA KSHUSHA MAPATO YA UTALII, SUALA LA MAANDAMANO NA VURUGU KWA SASA HAVINA TIJA KWA WANANCHI WA ARUSHA AMBAO WENGI WANATEGEMEA BIAshara YA UTALII.
TUSIPOKUWA MAKINI KWA JINSI CHADEMA WANAVYOENDESHA SIASA JIJINI ARUSHA HUENDA WATALII WAKAPUNGUA SN NA KSHUSHA MAPATO YA UTALII, SUALA LA MAANDAMANO NA VURUGU KWA SASA HAVINA TIJA KWA WANANCHI WA ARUSHA AMBAO WENGI WANATEGEMEA BIAshara YA UTALII.
na utalii ni zaid chadema
...jibu swali matusi hayaruhusiwi hapa.....
Hii thread ni nzuri sana ila naomba mods Au mleta hoja ubadili heading na isomeke hivi. (SERIKALI kupitia CCM)Kuharibu soko la utalii Tanzania. Arusha sio Kenya na chadema hawaui Nawasilisha
Acha U-pinda ar ipo chin ya CDM polisi na waume zao wana lazimisha.
we mavi kunuka toa ujinga wako hapa